Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeandika uhalisia. Mbappe hana tofauti na Christiano maana asset yake kuu ni mbio. Messi anakupa kila kitu uwanjani.Team Messi huwa mnajiona nyinyi ndio wenye haki ya kuwasema negative wachezaji wengine ila ikitokea mtu kam-criticize Messi mtamuita hater.
Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichikiDi Maria yule mtu na nusu,jana kounde alimshukuru kocha fala wa Argentine kumtoa na kuingia Acuna.
Mbappe anachenga ya aina moja tu na mbio ndio maana jana imemchukua dakika 78 kuanza kuonekana uwanjani.
Ukiandika wewe kuhusu wachezaji wengine inakuwa uhalisia, tukiandika sisi kuhusu Messi ni haters?Mimi nimeandika uhalisia. Mbappe hana tofauti na Christiano maana asset yake kuu ni mbio. Messi anakupa kila kitu uwanjani.
1. Ronaldo hajapotea akiwa na miaka 30, sasas hivi ana miaka 38 na msimu uliopita tu alikuwa anagombania ufungaji bora, mchezaji akifika miaka 38 ni mkubwa sana, malegend wengi wanastaafu chini ya miaka 35.Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.
Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Na Messi kwa umri huo wa 23 usikute alikuwa na penati 841. Ronaldo hajapotea akiwa na miaka 30, sasas hivi ana miaka 38 na msimu uliopita tu alikuwa anagombania ufungaji bora, mchezaji akifika miaka 38 ni mkubwa sana, malegend wengi wanastaafu chini ya miaka 35.
2. Mbappe hahitaji hata kufika miaka 30 kuweka legacy yake, jamaa ana stats za kutisha sana, kama Rooney, Owen, Neymar na golden boy wengine huwa wanastaafu mapema sababu wameanza kucheza at top level wakiwa wadogo.
View attachment 2452173
Yule mtangazaji ni fala sana😂 Kila sekunde...anatamka (Acuna) akunya akunya akunya hata asipokuwa na mpira.Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichiki
Kwa hiyo nawewe ulikuwa unamsikiliza Nazareth Upete na kumuamini?
Eti chenga ya aina moja' we ulitaka awe nazo pea ngapi?
Alivyokuwa na umri kama wa mbappe alivyokuwa benficaDi Maria ulimuona wapi akikimbia kwa kasi kama mbappe?
Una ujua mpira kweli, yani mbambe akimbie kushinda di Maria?ndio maana kila mchezaji ana nafasi yake ,winga lazima awe na kasi ,di Maria Ni wingaDi Maria ulimuona wapi akikimbia kwa kasi kama mbappe?
Kwanza naye alikuwa haoni vizuri kama sisi tuYule mtangazaji ni fala sana? Kila sekunde...anatamka akunya akunya...acuna
Walikuwa wanaharibu ladha ya mpira kabisa, anatangaza anaacha mara achambue..hovyo hovyo tuKwanza naye alikuwa haoni vizuri kama sisi tu
Nimeshuhudia matukio mawili akiyatafsiri ndivyo sivyo kulingana na low quality ya streaming
Hadi kwenye sub napo alikuwa anachemka anataja watu wasio husika kama ndio wanaofanya mabadiliko
Ni kweli mbappe statistics zinatuonesha anaweza kuvunja rekodi nyingi lakini kwa ile kasi yake bado nina mashaka kama atakuwa bora baada ya miaka 30.1. Ronaldo hajapotea akiwa na miaka 30, sasas hivi ana miaka 38 na msimu uliopita tu alikuwa anagombania ufungaji bora, mchezaji akifika miaka 38 ni mkubwa sana, malegend wengi wanastaafu chini ya miaka 35.
2. Mbappe hahitaji hata kufika miaka 30 kuweka legacy yake, jamaa ana stats za kutisha sana, kama Rooney, Owen, Neymar na golden boy wengine huwa wanastaafu mapema sababu wameanza kucheza at top level wakiwa wadogo.
View attachment 2452173
Winga siku zote lazima uwe na kasi ,kutengenza magoalDi Maria ulimuona wapi akikimbia kwa kasi kama mbappe?
Duh hapa labda utuletee statistics ila mimi kwa kuangalia sijawahi kuona mchezaji mwenye kasi kama mbappe.Una ujua mpira kweli, yani mbambe akimbie kushinda di Maria?ndio maana kila mchezaji ana nafasi yake ,winga lazima awe na kasi ,di Maria Ni winga