Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Yaani we unafikiri uongozi ni kula bata tu, kuvaa suti za bei kali, kushonea weaving na kwenda mamtoni.... he he he heeeeee...its all about prestige....self esteem, ego. mi naona kabisa Magu ataongezewa muda.
 
Na kashasema hajaribiwi na hapangiwi, ngoja tusubiri
Mkuu muache mzee ata ikiwa miaka 100 mbona unaanza maneno tena wakati hata January Bado ,Mimi nafiki hakuna sababu ya kumpangia bwana ,ikiongezeka sawa, ikibaki iyo sawa , hachana na hayo mkuu
 
Mheshimiwa kwa katiba iliyopo na unafiki wa hawa wanaoitwa wanasiasa lolote linawezekana na huyu bwana aliwah kusema kama akiondoka cjui kama kuna wakumalizia miradi aliyoiacha nn maana yake?time will tell bt chochote kinawezekana na lictokee lolote mana kama hayo makosa aliyoyafanya na umesema zaidi ya 100 and nothing happen wala halitoshangaza wanajua tu hawa wanaoitwa wasomi wakipewa ulaji wameshamalizwa na hata wengne kudirik kusema wameokotwa majalalan
 
Kiranga unapoandika 'mkuu wa nchi ni mshamba' ni kukosa nidhamu.

Heshimu angalau hicho kiti (madaraka) inatosha.
 
Sioni joni akiongeza mda, tujiandae kwa rais mwanamke 2025.
 
LOL, jamaa anajifanya ana ratiba nzima ya mshikaji ya saa 24 na kujiona anajua nyendo zote za jamaa kuliko washikaji zake wa UD na UWT.
Umejuaje sina mpaka nijifanye ninayo hiyo ratiba?

Unaujuaje uhusiano wangu mimi na yeye?

Au wewe ndo uko naye 25/8?
 
Akikujibu kuhusu hilo la K nitagi, jamaa anaongea kana kwamba kula bata lazima ule Kempinski tu, ukilia pale K.. si bata?

Halafu hivi kwani kula bata 'kishamba' nako siyo kula bata - lazima mtu ale bata kinyani-ngabu ndo ahesabike kala bata?
You are being petty.

I’m talking about a lavish lifestyle here.

Kama kutafuna K nako ni kula bata hata basi hata yule Matola ombaomba [for lack of a better word] naye alikuwa mla bata maana ana watoto.

Does Magufuli live a lavish lifestyle?
 
This sums up the person as a whole, capable and highly likely will want an endless reign, just for the sake of it cause he can be petty like that.
Thus far, he hasn’t done it. He has said he won’t do it.

I am taking him for his word.

You, on the other hand, are merely speculating. Conjecturing.
 
"Hatajiongeze muda" nakubaliana na wewe, ila wadau wanaweza wakamuongezea wakiamua
 
Ukianza kuhukumu watu kwa minajili ya "chochote kinawezekana" unampa Magufuli uhalali wa kuamka na kusema "Chochote kinawezekana, hawa wapinzani wanaweza kula njama kuqngusha serikali yangu. Nawafunga mapema wasifanikishe njama zao hizo".

Hutakiwi kumhukumu mtu kwa minajili ya "chochote kinawezekana"
 
Kiranga unapoandika 'mkuu wa nchi ni mshamba' ni kukosa nidhamu.

Heshimu angalau hicho kiti (madaraka) inatosha.
Kama ni mshamba, halafu nisiseme kuwa ni mshamba, hapo ndipo nitakosa nidhamu ya kuheshimu ukweli.

Nitakuwa mnafiki.

Achana na heshima za uongo.

Magufuli hana hizo sifa nilizotoa za ushamba?

Hakusema atapiga shangazi za watu?

Yani Magufuli kashindwa kujiheshimu mwenyewe, kajamba katikati ya kadamnasi.

Mimi nikisema ukweli tu kwamba huyu kajamba katikati ya kadamnasi unasema sina heshima?

Yani badala ya kuangalia aliyejamba nani umlaumu kwa nini kajamba katikati ya kadamnasi, unamuangalia aliyesema huyu kajamba, unamsema huyu aliyesema ukweli tu hana heshima?
 
Anakula bata na yule demu wake (Kabula?) aliyempa nyumba ya serikali pale Kinondoni by Leaders Club.
That’s his rumored paramour.

It’s his and his wife’s business.

People, of all stripes, all over the globe go through issues like that.

Does he have a yacht somewhere off the coast of the Indian Ocean, maybe?
 
Urais ni mzigo mzito lakini una maslahi makubwa sana na heshima.

Ndio maana nayeye amehitaji kuendelea kuwepo madarakani. Ila hilo la miaka 10 ni kweli hatojiongezea.

Sidhani kama atatokea rais atakayetawala kwa zaidi ya miaka 10 hapa nchini.
 
That’s his rumored paramour.

It’s his and his wife’s business.

People, of all stripes, all over the globe go through issues like that.

Does he have a yacht somewhere off the coast of the Indian Ocean, maybe?
How would the former be his personal business and the latter not?
 
Not sure I understand your question.

Are you saying that you care if Magufuli cheats on his wife?
No. Umeuliza anakula bata wapi. Nikakutajia.

Ukasema hiyo ni personal business.

Unauliza ana yacht wapi?

Nikakuuliza, kwa nini unasema huyo kimada ni personal business halafu unauliza yacht?

Kitu gani kinamfanya kimada awe personal business na yacht isiwe personal business?

Kuulizia Magufuli anavyokula bata si kuulizia personal business za Magufuli?
 
Nafikiri anafurahia kupanga, kupangua na kukera watu. Hii inaweza fanya apende kuendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…