Kwa akili kubwa aliyonayo John Pambalu upo uwezekano akasajiliwa kama wakina Nassary

Kwa akili kubwa aliyonayo John Pambalu upo uwezekano akasajiliwa kama wakina Nassary

Pambalu mweupe sana kichwani. Uwezo wake wa kujenga na kupambanua hoja ni mdogo sana.
Kama Ni mweupe ume m compare na Nani...

At least ni kijana Alie pambania kile anacho kiamini wewe upo nyuma ya keyboards una Uhuru wa kuandika chochote..

Wahenga walisemaga ukigeuka nyuma kwa kila MBWA anae kubwekea (kukupigia makelele) utachelewa safarini..John Justin pambalu GO GO achana na wakatisha tamaa
 
Kama Ni mweupe ume m compare na Nani...

At least ni kijana Alie pambania kile anacho kiamini wewe upo nyuma ya keyboards una Uhuru wa kuandika chochote..

Wahenga walisemaga ukigeuka nyuma kwa kila MBWA anae kubwekea (kukupigia makelele) utachelewa safarini..John Justin pambalu GO GO achana na wakatisha tamaa
Wewe kama siyo pambalu mwenyewe basi utakuwa chawa wake. Upo kimkakati. Endelea kujiuza
 
Wewe kama siyo pambalu mwenyewe basi utakuwa chawa wake. Upo kimkakati. Endelea kujiuza
Nyumbani kwetu na ukoo wetu hatujawai kutoa chawa 😊 kwa ngazi YEYOTE

Usingekua na kauvivu kidogo ungepitia hata comment zangu ingetosha kujua Mimi Ni mtu wa aina gani?

By the way Ngoja nipumzishe fuvu
✌️✌️
 
Upinzani wa sasa sio salama kwa vijana, wanabaniwa sana, mbowe hataki kuziachia damu changa madaraka
 
Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.
Zitto, Nassari na Halima siyo vijana tena!
 
Nchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.

Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.

Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.

Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
Umeongea vizuri sn, siyo rahisi Pambalu kuingia CCM, amepitia magumu mengi sn kwenye utawala wa dictetor lakini katoboa
 
Serikali ya CCM isivyoitakia mema Tanzania, badala ya kuwafuata CDM na kujifunza jinsi wanavyo recruit watu wao na kuwafanya waive kiuongozi, ili tuwe na vijana wengi walioiva serikalini, wao wanakazi ya kuwanunua na "kuwavua" mbongo zao pamoja na kuwakatisha ndoto zao za kuihudumia Tanzania kama ilivyofanyika kwa Zitto, Kafulila, Nasari, Na wengine wengi.

CCM ya sasa si rafiki kwa watumia vichwa kufikiri, bali ni rafiki kwa misukule.
CCM ina watu wajinga haswa
 
Ukienda pale ihungo boys high school kaulizie darasa la kina John Justin pambalu
Pale ihungo boys Kuna slogan yao """MASTERY FOR SERVICE"" ukiishi pale utaambiwa

""NO ONE CAN CHANGE IHUNGO BUT IHUNGO CAN CHANGE YOU""
Darasa la kina pambalu ndilo lililo fanya mapinduzi makubwa ya IHUNGO ya leo ""IKEMEFUNA"" Kuna kazi ilinipelekaga hapo IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL

Hata ukimuuliza ELIAKIM MASWI alie kua TAMISEMI enzi izo watakwambia hata mkuu wa wilaya wa bukoba enzi izo SAMUEL KAMOTE watakwambia the same....

Dogo Ni mzalendo wa kweli na mcha MUNGU kweli kweli ""Roman Catholic"" ndie anae shikilia record ya kua diwani mdogo kuliko WOTE Tanzania Ni potential Sana huyo bwana MDOGO...
Naona unaanza kujiuza bwana mdogo haya tena
 
Nchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.

Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.

Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.

Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
Akili kubwa mbona form four alipata daraja la wakubwa (Iv)
 
Pambalu anapenda kusoma Sana utamkuta anajisomea Sanaa current issues nimwandishi pia wa vitabu

Alikuaga akaenda gereza la butimba kutoa misaada ya Hali na Mali akiwa kijana asiye na kazi no-no..

Hanaga tamaa ya Mali Ni kijana mstaarabu na wakupigiwa mfano Hanaga lugha za MATUSI Wala DHARAU Wala UJIVUNI

NI kijana royal na mtiifu Sana, msikivu na mnyenyekevu Sana. Mjenga hoja, na msimamiaji mzur wa anacho kiamini
Kijana royal = kijana loyal? Uwe unaandika kwa kiswahili kuepusha aibu.
 
Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.
Wakati mwingine andika uzi mzima kwa kiswahili ili kujiepushia aibu. Pumbulu hana uwezo wowote wa kujenga hoja zaidi ya kuropoka. Si ndo huyo alisema tumsusie Diamond kisa kafanya tamasha siku CHADEMA wana mkutano? Zilikuwa akili au ushuzi?
 
ndio maana wanainchi huwaadhibu kwenye ballot boxes kwasabb ya kukosa utu kwa wengine na nyinyi wenyewe 🐒

kwa akili ya kawaida huweza kusema Fulani ana akili 🤣

that means wewe unaemsifia ati Fulani ana akili, wewe ni useless 🐒
Acha wivu we mpumbavu ndo maana una Mafi anaherroof mbaryer
 
Acha wivu we mpumbavu ndo maana una Mafi anaherroof mbaryer
mihemko sio deal kwa mwerevu, relax tu bila ghadabu, sema maoni na mtazamo wako juu ya hoja iliyoko mezani, bila matumizi ya lugha zisizo faa wala staha. Inashusha thamani ya IQ yako tu 🐒
 
Pambalu anapenda kusoma Sana utamkuta anajisomea Sanaa current issues nimwandishi pia wa vitabu

Alikuaga akaenda gereza la butimba kutoa misaada ya Hali na Mali akiwa kijana asiye na kazi no-no..

Hanaga tamaa ya Mali Ni kijana mstaarabu na wakupigiwa mfano Hanaga lugha za MATUSI Wala DHARAU Wala UJIVUNI

NI kijana royal na mtiifu Sana, msikivu na mnyenyekevu Sana. Mjenga hoja, na msimamiaji mzur wa anacho kiamini
Bwana Pambalu uko poa?😂
 
Bwana Pambalu uko poa?😂
Mkuu pambalu niliwai kuonanaga nae zamani kipindi niliendaga mwanza alikua rafiki wa last born wetu wakiwa wote ST. AUGUSTINE UNIVERSITY MAIN CAMPUS (MALIMBE)

Ni dogo very humble Ni kijana anae pambania ndoto zake hata wewe ukibahatika kuonana na kuongea nae unge m RECOMMEND the same

By da way Mimi Sinaga mrengo wowote wa kisiasa
 
Back
Top Bottom