Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kama Ni mweupe ume m compare na Nani...Pambalu mweupe sana kichwani. Uwezo wake wa kujenga na kupambanua hoja ni mdogo sana.
At least ni kijana Alie pambania kile anacho kiamini wewe upo nyuma ya keyboards una Uhuru wa kuandika chochote..
Wahenga walisemaga ukigeuka nyuma kwa kila MBWA anae kubwekea (kukupigia makelele) utachelewa safarini..John Justin pambalu GO GO achana na wakatisha tamaa