Kwa akili kubwa aliyonayo John Pambalu upo uwezekano akasajiliwa kama wakina Nassary

Kwa akili kubwa aliyonayo John Pambalu upo uwezekano akasajiliwa kama wakina Nassary

Royal ina maana ya Loyal? Au hiyo Phd yako ndo ile ya chupi?
Líkāi wúzhī, líkāi nǐ zài zhèlǐ làngfèi de néngliàng, yòng tā lái shíxiàn nǐ zìjǐ de fāzhǎn, ér bùshì yǔ chāoyuè yīqiè de rén zhàndòu
 
Nchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.

Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.

Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.

Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
pambalu ni nani nchi hii? anakipaji ganicha kusema atachukuliwa yaani hii nchi inawapinzani wa hovyo sanaa
 
Serikali ya CCM isivyoitakia mema Tanzania, badala ya kuwafuata CDM na kujifunza jinsi wanavyo recruit watu wao na kuwafanya waive kiuongozi, ili tuwe na vijana wengi walioiva serikalini, wao wanakazi ya kuwanunua na "kuwavua" mbongo zao pamoja na kuwakatisha ndoto zao za kuihudumia Tanzania kama ilivyofanyika kwa Zitto, Kafulila, Nasari, Na wengine wengi.

CCM ya sasa si rafiki kwa watumia vichwa kufikiri, bali ni rafiki kwa misukule.
hahaaaa yaani chadema wanajifunza ccm tena unataka ccm baba lao wakajifunze kwa mtoto? umeishiwa akili kabisa wewe
 
Umeongea vizuri sn, siyo rahisi Pambalu kuingia CCM, amepitia magumu mengi sn kwenye utawala wa dictetor lakini katoboa
Kwani Lissu na Mbowe hawana Retention programme ya kuwabakiza wanachama na viongozi potential au kazi kugombea madaraka tu.CCM wanaiba wanachama na viongozi potential kutoka Chadema na kubakiza cream wao wanagombea madaraka njaa kali
 
Mkuu pambalu niliwai kuonanaga nae zamani kipindi niliendaga mwanza alikua rafiki wa last born wetu wakiwa wote ST. AUGUSTINE UNIVERSITY MAIN CAMPUS (MALIMBE)

Ni dogo very humble Ni kijana anae pambania ndoto zake hata wewe ukibahatika kuonana na kuongea nae unge m RECOMMEND the same

By da way Mimi Sinaga mrengo wowote wa kisiasa
Nakutania tu chief.. ila mlengo wa kisiasa lazima unao
 
Nchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.

Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.

Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.

Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
Chadema imejaa vichwa tu
 
Ukienda pale ihungo boys high school kaulizie darasa la kina John Justin pambalu
Pale ihungo boys Kuna slogan yao """MASTERY FOR SERVICE"" ukiishi pale utaambiwa

""NO ONE CAN CHANGE IHUNGO BUT IHUNGO CAN CHANGE YOU""
Darasa la kina pambalu ndilo lililo fanya mapinduzi makubwa ya IHUNGO ya leo ""IKEMEFUNA"" Kuna kazi ilinipelekaga hapo IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL

Hata ukimuuliza ELIAKIM MASWI alie kua TAMISEMI enzi izo watakwambia hata mkuu wa wilaya wa bukoba enzi izo SAMUEL KAMOTE watakwambia the same....

Dogo Ni mzalendo wa kweli na mcha MUNGU kweli kweli ""Roman Catholic"" ndie anae shikilia record ya kua diwani mdogo kuliko WOTE Tanzania Ni potential Sana huyo bwana MDOGO...
Yeye na Adam chagulani wa igoma
 
CCM haina muda na takataka, CCM has brainy and very potential scholars kila kona, mkome..!!
Kama ingekuwa hivyo tusingesikia akina Nassary Katambi Gekul na yule mkuu wa wilaya ya Nkasi wamekuwa against na sisiyemu for decades ajabu ndio wamelamba /walilamba vyeo wakiachwa Makada kibao waliotumia muda mwingi kufanya shughuli za chama
 
Back
Top Bottom