Kwa akili kubwa aliyonayo John Pambalu upo uwezekano akasajiliwa kama wakina Nassary

Pambalu mweupe sana kichwani. Uwezo wake wa kujenga na kupambanua hoja ni mdogo sana.
Kama Ni mweupe ume m compare na Nani...

At least ni kijana Alie pambania kile anacho kiamini wewe upo nyuma ya keyboards una Uhuru wa kuandika chochote..

Wahenga walisemaga ukigeuka nyuma kwa kila MBWA anae kubwekea (kukupigia makelele) utachelewa safarini..John Justin pambalu GO GO achana na wakatisha tamaa
 
Wewe kama siyo pambalu mwenyewe basi utakuwa chawa wake. Upo kimkakati. Endelea kujiuza
 
Wewe kama siyo pambalu mwenyewe basi utakuwa chawa wake. Upo kimkakati. Endelea kujiuza
Nyumbani kwetu na ukoo wetu hatujawai kutoa chawa 😊 kwa ngazi YEYOTE

Usingekua na kauvivu kidogo ungepitia hata comment zangu ingetosha kujua Mimi Ni mtu wa aina gani?

By the way Ngoja nipumzishe fuvu
✌️✌️
 
Upinzani wa sasa sio salama kwa vijana, wanabaniwa sana, mbowe hataki kuziachia damu changa madaraka
 
Zitto, Nassari na Halima siyo vijana tena!
 
Umeongea vizuri sn, siyo rahisi Pambalu kuingia CCM, amepitia magumu mengi sn kwenye utawala wa dictetor lakini katoboa
 
CCM ina watu wajinga haswa
 
Naona unaanza kujiuza bwana mdogo haya tena
 
Akili kubwa mbona form four alipata daraja la wakubwa (Iv)
 
Kijana royal = kijana loyal? Uwe unaandika kwa kiswahili kuepusha aibu.
 
Wakati mwingine andika uzi mzima kwa kiswahili ili kujiepushia aibu. Pumbulu hana uwezo wowote wa kujenga hoja zaidi ya kuropoka. Si ndo huyo alisema tumsusie Diamond kisa kafanya tamasha siku CHADEMA wana mkutano? Zilikuwa akili au ushuzi?
 
ndio maana wanainchi huwaadhibu kwenye ballot boxes kwasabb ya kukosa utu kwa wengine na nyinyi wenyewe πŸ’

kwa akili ya kawaida huweza kusema Fulani ana akili 🀣

that means wewe unaemsifia ati Fulani ana akili, wewe ni useless πŸ’
Acha wivu we mpumbavu ndo maana una Mafi anaherroof mbaryer
 
Acha wivu we mpumbavu ndo maana una Mafi anaherroof mbaryer
mihemko sio deal kwa mwerevu, relax tu bila ghadabu, sema maoni na mtazamo wako juu ya hoja iliyoko mezani, bila matumizi ya lugha zisizo faa wala staha. Inashusha thamani ya IQ yako tu πŸ’
 
Bwana Pambalu uko poa?πŸ˜‚
 
Bwana Pambalu uko poa?πŸ˜‚
Mkuu pambalu niliwai kuonanaga nae zamani kipindi niliendaga mwanza alikua rafiki wa last born wetu wakiwa wote ST. AUGUSTINE UNIVERSITY MAIN CAMPUS (MALIMBE)

Ni dogo very humble Ni kijana anae pambania ndoto zake hata wewe ukibahatika kuonana na kuongea nae unge m RECOMMEND the same

By da way Mimi Sinaga mrengo wowote wa kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…