Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Líkāi wúzhī, líkāi nǐ zài zhèlǐ làngfèi de néngliàng, yòng tā lái shíxiàn nǐ zìjǐ de fāzhǎn, ér bùshì yǔ chāoyuè yīqiè de rén zhàndòuRoyal ina maana ya Loyal? Au hiyo Phd yako ndo ile ya chupi?
pambalu ni nani nchi hii? anakipaji ganicha kusema atachukuliwa yaani hii nchi inawapinzani wa hovyo sanaaNchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.
Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.
Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.
Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
hahaaaa yaani chadema wanajifunza ccm tena unataka ccm baba lao wakajifunze kwa mtoto? umeishiwa akili kabisa weweSerikali ya CCM isivyoitakia mema Tanzania, badala ya kuwafuata CDM na kujifunza jinsi wanavyo recruit watu wao na kuwafanya waive kiuongozi, ili tuwe na vijana wengi walioiva serikalini, wao wanakazi ya kuwanunua na "kuwavua" mbongo zao pamoja na kuwakatisha ndoto zao za kuihudumia Tanzania kama ilivyofanyika kwa Zitto, Kafulila, Nasari, Na wengine wengi.
CCM ya sasa si rafiki kwa watumia vichwa kufikiri, bali ni rafiki kwa misukule.
Kwani Lissu na Mbowe hawana Retention programme ya kuwabakiza wanachama na viongozi potential au kazi kugombea madaraka tu.CCM wanaiba wanachama na viongozi potential kutoka Chadema na kubakiza cream wao wanagombea madaraka njaa kaliUmeongea vizuri sn, siyo rahisi Pambalu kuingia CCM, amepitia magumu mengi sn kwenye utawala wa dictetor lakini katoboa
Nakutania tu chief.. ila mlengo wa kisiasa lazima unaoMkuu pambalu niliwai kuonanaga nae zamani kipindi niliendaga mwanza alikua rafiki wa last born wetu wakiwa wote ST. AUGUSTINE UNIVERSITY MAIN CAMPUS (MALIMBE)
Ni dogo very humble Ni kijana anae pambania ndoto zake hata wewe ukibahatika kuonana na kuongea nae unge m RECOMMEND the same
By da way Mimi Sinaga mrengo wowote wa kisiasa
😊😊 Mlengo Sina kwa kweli nipo pembeni KABISANakutania tu chief.. ila mlengo wa kisiasa lazima unao
Kwan unaipendaaa ccm???😊😊 Mlengo Sina kwa kweli nipo pembeni KABISA
Chadema imejaa vichwa tuNchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.
Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.
Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.
Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
HahahKwan unaipendaaa ccm???
Na mimi huwa nampima bado hajafikia viwango vya juu kiashi hicho.Pambalu mweupe sana kichwani. Uwezo wake wa kujenga na kupambanua hoja ni mdogo sana.
Yeye na Adam chagulani wa igomaUkienda pale ihungo boys high school kaulizie darasa la kina John Justin pambalu
Pale ihungo boys Kuna slogan yao """MASTERY FOR SERVICE"" ukiishi pale utaambiwa
""NO ONE CAN CHANGE IHUNGO BUT IHUNGO CAN CHANGE YOU""
Darasa la kina pambalu ndilo lililo fanya mapinduzi makubwa ya IHUNGO ya leo ""IKEMEFUNA"" Kuna kazi ilinipelekaga hapo IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL
Hata ukimuuliza ELIAKIM MASWI alie kua TAMISEMI enzi izo watakwambia hata mkuu wa wilaya wa bukoba enzi izo SAMUEL KAMOTE watakwambia the same....
Dogo Ni mzalendo wa kweli na mcha MUNGU kweli kweli ""Roman Catholic"" ndie anae shikilia record ya kua diwani mdogo kuliko WOTE Tanzania Ni potential Sana huyo bwana MDOGO...
Kama ingekuwa hivyo tusingesikia akina Nassary Katambi Gekul na yule mkuu wa wilaya ya Nkasi wamekuwa against na sisiyemu for decades ajabu ndio wamelamba /walilamba vyeo wakiachwa Makada kibao waliotumia muda mwingi kufanya shughuli za chamaCCM haina muda na takataka, CCM has brainy and very potential scholars kila kona, mkome..!!
Inataka watu ambao ni Selfish pia !CCM inataka wajinga kama wewe, haitaki wenye akili
Ukizaliwa TU 😊 jua wewe Ni CCMKwan unaipendaaa ccm???