Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

Umri unasogea kamwe haujawahi kurudi nyuma, mchezaji anapungua nguvu na kiwango kadri muda unavyosogea. Tshabalala atulize kichwa, aache kuridhisha mashabiki, mashabiki hawajawahi kuridhika. Ile nafasi yake atakuja mtu mwingine na yeye atasahaulika milele. Kama kiwango anacho, huu ni muda wa kusaini kandarasi nene, aangalie zaidi nje... Lakini akikosa aangalie bongo lakini lwa masilahi mapana ya familia yake.

Pale namba tatu simba walikuepo akina Ramadhani Waso, Juma Jabu nk leo hii ni historia.. ni lazima kubadilika akili wachezaji wa tz
 
Sina...kama unayo salary slip yenye tofauti na 1.5 ndo pa kuiweka sasa coz naona kama unataka tuanze tupoteze mda kwa ubishi wa kijinga wakati unaweza ku prove vitu...
Mshahara wake ni mil. 4
 
Contract ni between parties bro... yule ana manager na ni mtu mzima, alisaini kwa hiari na anaweza kusaini kwingineko kwa hiari ndio maisha ya mikataba. Naamini issue sio comparison nani anapata nini, nadhani issue ni consensus between parties..
 
Mashabiki wa Yanga ni waongo sana.... Usiwaamini hata kidogo....

Mfano wa vitu vya uongo ambavyo walishawahi kuzusha:

1. Kesi ya Morison kwenda CAS
2. Kumsajili Chama C..
3. Kwamba kikosi chao ni cha Tshs 2.5 billion
4. .....

Kwa hiyo hata hili jambo ni la uongo tena wa mchana kweupe...

Usikute hata huyo anayejifanya ni meneja wa Tshabalala... Ni kanjanja tuu, tena jizi lililotumwa na hao hao Yanga.. .

.......
 
Billions
Ulichosema chote hapo ndio consensus between parties baada ya mazungumzo ya vipengele vyote vya mkataba.
 
Kama hili ni la kweli tafadhari nawaomba Simba kulifanyia kazi mapema iwezekanavyo! tuaweza kuwa tuaona Tshabalala si lolote kwa sababu tu yupo kila siku lakii nina uhakika siku akiodoka dipo pengo lake litaonekana hata ila miwani!
SIFA ZAKE:
1. Ni mchezaji mwepesi na mwenye maamuzi sahihi awapo uwanjani Mfano i jinsi alivyoamua kupiga ile shuti ya mita 34.5 na kuipa Sima ushindi muhimu dhidi ya Gwambina.
2.Ni mchezaji anayejiamini, hivyo hababaishwi na makeke ya forward wanaokuja mbele yake
3.Ni beki mwenye uwezo wa kuoverlap na kupandisha mashamulizi mbele na anapopanda mbele anacheza kweli kama forward maana mabeki wa timu pinzani wakizubaa anawapangua!
4.Ni miongoni mwa wachezaji wastaara na wenye nidhamu, na hivyo kujiweka mbali na makosa ya hovyo yanayosababisha kadi zisizo tija kama kina Morisoni na Thadeo Lwanga
Simba tusikubali kupoteza faida hizi, wegine kama akina Miraji Athman, Ajibu, Said Ndemla na hata Gadiel warusuni wakatafute nafasi vilau vingine!
 
Kama hizi taarifa ni za kweli klabu yangu ya simba itakuwa imetukosea sana why washindwe kumalizana na Tshabalala mtu ambaye meneja wake anademand signing fee ya mil 100 kwa mwaka na mshahara wa mil 8 mpaka 10 wakati tunajua kuna wachezaji wengi tu simba tena wasiotumika sana klabuni kama anavyotumika kijana wetu, "Zimbwe Jr "wanavuta mara mbili ya huo mshahara, huu ni uonevu na kushindwa kuthamini juhudi za mchezaji anayejitoa kwa klabu wakati wote
 
Tunazungumzia maslahi bob sio ukubwa wa timu...Oscar aliiacha Chelsea kwenda China,sasa China kuna timu kubwa kuishinda Chelsea????watu wanategemewa bob[emoji385][emoji385][emoji385]
Hakuna mchezaji wa kutegemewa, ile Simba imeshakuwa mashine, inafanya kazi kwa pamoja.
Tunazungumzia maslahi ya kijana mtanzania mwenzetu wewe unaleta ushabiki
Hizi mind games zenu huwa zinakuja sana wakati huu mikataba ikiisha, niko pale pale haitakiwi mchezaji yeyote aiyumbishe klabu, kama maslahi madogo toka mwanzo kwanini alisaini mkataba?
 
Leta Salary Slip ya Tshabalala ndio tujadili wacha kelele za barabarani.
 
Umemaliza.
 
Undue influence
 
ile interview kama namkosea sorry ila alikuwa kama kapiga kilajii
ameoneshaa wazi mapenzi yake kwa yanga yawezekana meneja ni shabiki ya timu yetu ya wananchi
hajapresent kama meneja au mimi umeneja ndo nautafsiri vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…