Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

Pia siafiki kiasi cha malipo yaliyotajwa hapo kwa hali ya ss ya club. Ila kitu kimoja kifahamike kuwa hayo ni malipo ya kimkataba ambayo yaliingiwa miaka kadhaa nyuma na pia tujue ss status ya Simba ni kubwa kwa hatua iliyopo ndio kwa neno mlipendalo brand ni kubwa ukitaja si kama iliyokuwa nayo miaka kadhaa nyuma.

Pamoja na yote siafiki yy kukurupuka kwani anapaswa kujua club ni kubwa kuliko yy na mazungumzo hayogombi yaendelee hadi mwisho tutaelezwa tena ikizingatia hali ya ss

Binafsi huyo Xoxo nimtahadharishe Simba ilikuwa na kina singano walipitia hali hiyo ikizingatia umri sawa na hawa kina tshaba na ajib Yuko wapi leo hata hana mtu wa kumjua sbb ya kuondoka kijeuri

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Acha kujifunza kwa watu waliofeli, mpira una umri wake, kwa sasa ndio muda wake wa kupiga pesa, wampe mkataba mnono au atafute atakapolipwa zaidi. Mifano uliyotoa haina maana, kinachomfanya acheze ni uwezo wake na siyo kwa sababu yuko Simba.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.

Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.

Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.

Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili.

Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.

Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?

Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?

How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na nusu?

Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne.

Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?

Simba acheni dhulma.

I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula.matunda ya jasho lao.

Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu , Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.

Pamoja na.kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyo fanyiwa Simba.

Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu
Lilisikika topolo lialia likibwata na kukema mitandaoni

As if hujui taratibu za mikataba
 
Ila Simba wababe Sana Nakumbuka Wakati Shekhan Rashid anasajiliwa Simba alipewa Elfu50 [emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Hata machupa alipewa hela ya mbuzi
 
Huo mkataba unaonyesha tshabalala analipwa milion na nusu na chikwende milion 18 ww umeiona wap,au ndio umesikia kwa meneja
 
Aseeee sidhani kama zimbwe analipwa 1.5 M.
Na kama analipwa 1.5 M hiyo si ni mkataba wa Nyuma? Ni meneja wake huyo huyo na zimbwe waliona inawatosha asa iweje saiv waone kama walidhulumiwa?
Kama mkataba unaisha team itatoa ofa iliyopo zimbwe atatoa yake wasipokubaliana aende tu, akatafute maslahi pengine.
Ila Simba wakimpa zimbwe hela anayotaka wajiandae kila mchezaji muhimu kutaka mshahara kama wa zimbwe au zaidi.
Na hivyo kuyumbisha team, akikazania sana wamwache aende kwa amani tu, Duniani wachezaji ni wengi.
Umeongea vzur na mara nying iz lawama zinatokea kwa wachezaja sana sana watz wanapenda sana huruma na kuonyesha kama vile wanaonewa mikataba wanaingia wenyewe baadae inaonekana kama vile tatzo hakuna anaeshikiwa bunduk asain kama mwanzo alikua analipwa kias fulan ni vzur wakae chin wajadil timu itaangalia na maslai yake ikishindikana bas hawez kulazimishwa kusain sasa kama meneja ameshakua na lengo lake kwamba mshahara kias fulan bas na timu lazma iangalie ni sawa au sio kuanza kupeleka lawama mara iv au iv si sahihi kipind wanasain huo mkataba unaoisha waliona unalipa leo hii thaman kupanda isiwe nongwa je kiwango kingeshuka wangeongea aya aya ,na mtu kama tshabalala sio wa kuondoka simba kwa maneno ni bora kama maslai madogo aende pengine bila matatzo wala maneno meng ,asiangalie sasa iv tu akumbuke na nyuma alishapewaga ad gar ambalo halipo ata ktk mkataba kwa mapenz tu ya mtu mbona mameneja wa wenzake hawakuja mitandao kulalamika
 
Umeongea vzur na mara nying iz lawama zinatokea kwa wachezaja sana sana watz wanapenda sana huruma na kuonyesha kama vile wanaonewa mikataba wanaingia wenyewe baadae inaonekana kama vile tatzo hakuna anaeshikiwa bunduk asain kama mwanzo alikua analipwa kias fulan ni vzur wakae chin wajadil timu itaangalia na maslai yake ikishindikana bas hawez kulazimishwa kusain sasa kama meneja ameshakua na lengo lake kwamba mshahara kias fulan bas na timu lazma iangalie ni sawa au sio kuanza kupeleka lawama mara iv au iv si sahihi kipind wanasain huo mkataba unaoisha waliona unalipa leo hii thaman kupanda isiwe nongwa je kiwango kingeshuka wangeongea aya aya ,na mtu kama tshabalala sio wa kuondoka simba kwa maneno ni bora kama maslai madogo aende pengine bila matatzo wala maneno meng ,asiangalie sasa iv tu akumbuke na nyuma alishapewaga ad gar ambalo halipo ata ktk mkataba kwa mapenz tu ya mtu mbona mameneja wa wenzake hawakuja mitandao kulalamika
😁😁😁....ndo hivyo mkuu kadogo haka Hanspoppe alikapa gari nje ya mkataba leo hii huyo meneja wake anatema shombo.
 
Maneno ya mkosaji haya! Hata kama mimi ni Mwananchi, lakini nakuthibitishia Mohamed Hussein bado ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha timu yenu.

Dhuluma siyo nzuri. Ugumu uko wapi kwa viongozi kukaa nae chini na kumboreshea maslahi yake, ili aendelee kuwatumikia?
Nani anadhurumiwa sasa?tufanye kwel analipwa 1.5,je ana mkataba ambao unaonyesha alipwe mil 10 alaf analipwa tofaut na iyo kama analipwa sawa na mkataba wake ni sawa na kuongezewa maslai kwa kusain mkataba mpya pia ni sawa sio kusema dhuruma
 
Nani anadhurumiwa sasa?tufanye kwel analipwa 1.5,je ana mkataba ambao unaonyesha alipwe mil 10 alaf analipwa tofaut na iyo kama analipwa sawa na mkataba wake ni sawa na kuongezewa maslai kwa kusain mkataba mpya pia ni sawa sio kusema dhuruma
Dhuluma ni dhuluma tu! Hata kama amesainishwa huo mkataba wa mshahara wa milioni 1.5 kwa mwezi, lakini kama hauendani na kiwango chake, hiyo itabakia tu kuwa dhuluma.

Na ndiyo maana nimehitimisha kwa kuwashauri Viongozi wake, kukaa chini na mchezaji wao! Na kuuoboreha mkataba wake, ili uendane na thamani yake kwa sasa.

Na wakishindwa, basi wamruhusu kwa mikono miwili, kwenda kutafuta changamoto mpya nje ya Simba.
 
Dhuluma ni dhuluma tu! Hata kama amesainishwa huo mkataba wa mshahara wa milioni 1.5 kwa mwezi, lakini kama hauendani na kiwango chake, hiyo itabakia tu kuwa dhuluma.

Na ndiyo maana nimehitimisha kwa kuwashauri Viongozi wake, kukaa chini na mchezaji wao! Na kuuoboreha mkataba wake, ili uendane na thamani yake kwa sasa.

Na wakishindwa, basi wamruhusu kwa mikono miwili, kwenda kutafuta changamoto mpya nje ya Simba.
Moja ya haki za Tshabalala na meneja wake ni kukutaa extension ya mkataba usio na maslahi bora na kuangalia mahali kwingineko kwenye maslahi full stop...Hizi nyingine ni porojo tu.
 
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.

Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.

Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.

Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili.

Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.

Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?

Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?

How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na nusu?

Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne.

Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?

Simba acheni dhulma.

I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula.matunda ya jasho lao.

Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu , Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.

Pamoja na.kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyo fanyiwa Simba.

Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu

Mkuu LIKUD salam. Kama ulichoandika hapa juu ya alichosema huyo "Agent" wa Mohamed Hussein ni kweli BASI huyo "Agent" amepoteza sifa kwa kutoa siri za mteja na za aliyemwajiri (Anaweza kushitakiwa kwa kesi ya madai). Pili, kama alichosema ni kweli BASI kosa sio la Simba sc BALI lake na la Mohamed Hussein kwa kukubali kusaini mkataba wenye malipo (Mshahara) kidogo.

"Agent" wa Mohamed Hussein hana maadili na hajui kazi yake kwani ningetarajia kumsikia akisema kwamba mteja wake atakuwa mchezaji huru mwisho wa msimu na klabu yeyote inayomuhitaji ije mezani kwa mazungumzo ILA hatutakubali offer ya fees chini ya kiasi hiki NA mshahara kwa mwezi chini ya kiasi hiki.

Ahsante
 
Mkuu LIKUD salam. Kama ulichoandika hapa juu ya alichosema huyo "Agent" wa Mohamed Hussein ni kweli BASI huyo "Agent" amepoteza sifa kwa kutoa siri za mteja na za aliyemwajiri (Anaweza kushitakiwa kwa kesi ya madai). Pili, kama alichosema ni kweli BASI kosa sio la Simba sc BALI lake na la Mohamed Hussein kwa kukubali kusaini mkataba wenye malipo (Mshahara) kidogo.

"Agent" wa Mohamed Hussein hana maadili na hajui kazi yake kwani ningetarajia kumsikia akisema kwamba mteja wake atakuwa mchezaji huru mwisho wa msimu na klabu yeyote inayomuhitaji ije mezani kwa mazungumzo ILA hatutakubali offer ya fees chini ya kiasi hiki NA mshahara kwa mwezi chini ya kiasi hiki.

Ahsante
Moja ya haki za Tshabalala na meneja wake ni kukutaa extension ya mkataba usio na maslahi bora na kuangalia mahali kwingineko kwenye maslahi full stop...Hizi nyingine ni porojo tu.
 
Moja ya haki za Tshabalala na meneja wake ni kukutaa extension ya mkataba usio na maslahi bora na kuangalia mahali kwingineko kwenye maslahi full stop...Hizi nyingine ni porojo tu.

Mkuu Josh J malipo anayolipwa sasa Mohamed Hussein ni maslahi bora kwavile waliyakubali waliposaini mkataba. Sasa hili la mkataba mpya Simba au sehemu nyingine halikuhitaji kupiga parapanda kama zinazoendelea sasa,

Ahsante
 
Mkuu Josh J malipo anayolipwa sasa Mohamed Hussein ni maslahi bora kwavile waliyakubali waliposaini mkataba. Sasa hili la mkataba mpya Simba au sehemu nyingine halikuhitaji kupiga parapanda kama zinazoendelea sasa,

Ahsante
CEO umepiga bull... kelele ni njia ya kihuni isiyo rasmi na hata Tshabalala ana forum nzuri tu ya kuzungumza na uongozi wakakubaliana au kutokubaliana. Mwisho wa siku image na brand ya mchezaji ni muhimu sana kwa kesho yake. Again, huu mkataba w Tshabalala sio wa kwanza na ya awali iliisha na kujadiliana namna ya kuuboresha na pande zote mbili ziliridhia na kusaini. Meneja anapotoka hadharani na kutaja anacholipwa mchezaji ni kidogo na anaenda mbali zaidi na kutaja majina ya watu na mifano ni ule mpira wetu wa kihuni pale Kinesi na Lucky Rangers! In fact wa kulaumiwa wa kwanza ni yeye...
 
CEO umepiga bull... kelele ni njia ya kihuni isiyo rasmi na hata Tshabalala ana forum nzuri tu ya kuzungumza na uongozi wakakubaliana au kutokubaliana. Mwisho wa siku image na brand ya mchezaji ni muhimu sana kwa kesho yake. Again, huu mkataba w Tshabalala sio wa kwanza na ya awali iliisha na kujadiliana namna ya kuuboresha na pande zote mbili ziliridhia na kusaini. Meneja anapotoka hadharani na kutaja anacholipwa mchezaji ni kidogo na anaenda mbali zaidi na kutaja majina ya watu na mifano ni ule mpira wetu wa kihuni pale Kinesi na Lucky Rangers! In fact wa kulaumiwa wa kwanza ni yeye...

Mkuu Josh J hongera, naona sasa tunaongea Lungha moja, "Professionalism" (Weledi) ndio utamalaki.

Ahsante
 
Mm nadhan Meneja ndo hajatumia akili, na sijui huyu meneja ana elimu gani.
Kama mkataba hauridhishi jibu n moja tu, hasaini mkataba had pale ambao hela yake itatimia. La sivyo atafute timu nyingine sababu kiwango chake kinaridhisha.

Lkn pia huwez linganisha mshahara wa beki na mshambuliaji hapa duniani kwenye mchezo wa soka.

NB: Mm kama shabik wa simba ntafurah kuona zimbwe anapewa mkataba wenye masilahi mazuri kwake ili anapocheza uwanjani ajitoe kwa kile anacholipwa.
 
Mkuu Josh J hongera, naona sasa tunaongea Lungha moja, "Professionalism" (Weledi) ndio utamalaki.

Ahsante
Unajua Willian analipwa hela nyingi sana kuliko Saka ambae daily yupo kwenye first eleven?

Hoja ni manager na mchezaji wake wakomae kwenye wanachoona kinastahili kwao sio kufanya comparison

It's all depend na uwezo wako na bargain power yako that's it..
 
Dhuluma ni dhuluma tu! Hata kama amesainishwa huo mkataba wa mshahara wa milioni 1.5 kwa mwezi, lakini kama hauendani na kiwango chake, hiyo itabakia tu kuwa dhuluma.

Na ndiyo maana nimehitimisha kwa kuwashauri Viongozi wake, kukaa chini na mchezaji wao! Na kuuoboreha mkataba wake, ili uendane na thamani yake kwa sasa.

Na wakishindwa, basi wamruhusu kwa mikono miwili, kwenda kutafuta changamoto mpya nje ya Simba.
Dunian hakuna dhuruma ya namna iyo labda useme uzembe nitakuelewa tshabalala amesain na simba mikataba zaid ya miwil na yote iyo anasain kulingana na kiwango na uitajikaj wake kwa timu kama alisain alipwe 1.5 japo sina uwakika kama kwel analipwa ivyo miaka miwil au mitatu nyuma maana yake yeye na uongoz wake waliona sahihi apo haiwez kuwa dhuruma ,na mkataba umeisha lazma pande zote ziangalie pa kuboresha haiwezekan tu aamue mmoja ikishindikana bas anachek pengine ni ndio maana ya mikataba kwa maana kila upande unufaike na kuwe na uhakika kwa tabia iz iz inaweza kutokea kwa tshabalala au mwngne akalipwa kile anachotaka ikaenda miaka timu ikapanda thaman wapo watu watakuja kusema fulan anadhurumiwa au uyu analipwa kidogo
 
Back
Top Bottom