Sure!Vanessa alitaka aishi kama kyle Jenner kwa muziki wa kibongo
Diamond hata kama anafake lakini at some point lazima tukubali yupo vizuri
V8 gari la kawaida duu.Yeah mziki hauna hela na diamond pia ni kielelezo..kwa ukubwa wa diamond hapa afrika na muda aliokuwepo kwenye gemu,diamond hakustaili kuwa na utajiri wa usd 5 mill..hizo v8 unazozungumzia ni gari za kawaida tu ambazo hata watu tu wa kawaida mitaani wanazo ..diamond alipaswa kusukuma vitu kama rolls royce wrath,vitu kama range rover evok.. tofauti na wenzake akina davido,sasa immagine wasanii kama jux,harmonize,mbosso,aslay,a.y,FA bado ni masikini tu
Gari ya kawaida hiyo,ushawahi kuiona barabara gani hapa bongo...v8 ni gari za kawaida na ni economical,kama huamini nenda pale ubungo(morogoro road) kaangalie gari zinazopita pale,kuanzia asubuhi hadi jioni,hesabu v8 zimepita ngapi,na hiyo gari ya ng'olo kante nazo hesabu zimepita ngapi...ukiiona hiyo gari anayotembelea ng'olo kante walau moja tu,njoo uchukue zawadi...hiyo gari ni limit edition! Usilete mchezoV8 gari la kawaida duu.
Alafu usikalili maisha,Ngolo kante wa Chelsea kwa wiki anakunja karibu mil 200,lkn gari analotembelea la kawaida tu.
View attachment 1489318
View attachment 1489319kuna mzee na sali nae kanisani ana tembelea Benz hizi matoleo ya zamani lkn ana ghorofa Ilala,jengine lipo Tabata mandela road,ana mashamba hekari kibao.
Kwa hiyo kuiona barabarani ndio ya kawaida?Gari ya kawaida hiyo,ushawahi kuiona barabara gani hapa bongo
Gari ya kawaida ni gari iliyozoeleka,yaani ambayo huonekana mtaani ..hizo bentley unaweza ukakaa wiki nzima usiione. .ila cruiser v8 watu kibao wanazoKwa hiyo kuiona barabarani ndio ya kawaida?
Mbona nishaziona Bentley nyingi tu happy,Dar inamaana Bentley gari ya kawaida.
Mimi Bentley kwa wiki naweza nikakutana nazo hata mara tatu.Gari ya kawaida ni gari iliyozoeleka,yaani ambayo huonekana mtaani ..hizo bentley unaweza ukakaa wiki nzima usiione. .ila cruiser v8 watu kibao wanazo
Gari ya kawaida hiyo,ushawahi kuiona barabara gani hapa bongo...v8 ni gari za kawaida na ni economical,kama huamini nenda pale ubungo(morogoro road) kaangalie gari zinazopita pale,kuanzia asubuhi hadi jioni,hesabu v8 zimepita ngapi,na hiyo gari ya ng'olo kante nazo hesabu zimepita ngapi...ukiiona hiyo gari anayotembelea ng'olo kante walau moja tu,njoo uchukue zawadi...hiyo gari ni limit edition! Usilete mchezo