Kwa alichokiongea Vanessa Mdee, inawezekana Diamond Platnumz naye anafeki maisha?

Kwa alichokiongea Vanessa Mdee, inawezekana Diamond Platnumz naye anafeki maisha?

Gari ya kawaida ni gari iliyozoeleka,yaani ambayo huonekana mtaani ..hizo bentley unaweza ukakaa wiki nzima usiione. .ila cruiser v8 watu kibao wanazo
Hata hizo mini cooper zipo nyingi mtaani... acha ushamba mkuu.. hiyo gari ya kante uwezi fananisha na cruiser v8
 
Hii ndo bongo yaani unakutana na kijeba geto kwake godoro liko juu ya box na shuka moja ambayo kikilala upande mmoja kinatandika na nusu kinajifunika, kina deki ya singsung, tv ya chogo inch 18 iko juu ya kreti ya soda kimeshajaza movie za kikorea kwenye flash kina uhakika wa kuangalia movie wiki nzima non stop so muda kinaobaki nao ni kuwaponda tu wanaume wenzie kwa mali wanazomiliki.. Hivi land cruiser V8 ni gari ya kawaida kwa misingi ipi?
Dah maisha yangu kabisa haya nimecheka sana Mkuu
 
Jf kama huijui ikuumiza kichwa sana
Dah milion 150/200 unaona hela ya kawaida khaaaaaaaa...........[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila si shangai hii ndio JF,kila mtu mjanja,kila mtu tajiri,kila mtu msomi.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tofautisha maisha ya Afrika na wenzetu. Aliko Dangote ni tajiri kuliko Roman Abramovich lakini hana matusi kama ya Abromovich, hujawahi kumuona na private yatch, wala akila bata na private plane. Afrika maisha ya watu wenye pesa ni tofauti na ulaya.
Kuna magari kuyaendesha bongo ni kituko
Hahaha unachekesha ...Yule tajiri wa Chelsea anapesa pengine kuliko ata Jeff Besoz wa Amazon achana na warusi wewe...wanaficha mali kwa majina engine uko
 
Vanessa alisema sababu ya yeye kuacha mziki ni kuwa haukuwa unampa hela, halafu alikuwa akilazimika kuishi maisha ya juu ili kuwafurahisha mashabiki, wakati kiuhalisia hana uwezo huo

Inawezekana zile V8 zilizopo kwenye parking ya Diamond Platnumz, sio zake, na ile nyumba yake ya ghorofa amepanga tu?
Ata Ommy Dimpo hana kitu.Ni fake life
 
Hahaha unachekesha ...Yule tajiri wa Chelsea anapesa pengine kuliko ata Jeff Besoz wa Amazon achana na warusi wewe...wanaficha mali kwa majina engine uko
Ni kweli ana ela kuliko Dangote... Il siyo kama Besoz yule jamaa ana ela chafu
 
Vanessa kachanganywa na penzi la Rotimi kama ni hivyo muziki haulipi angeshaacha muda mrefu.Yeye akisema haumlipi na kina Nature watasemaje?
 
😃😃😃
V8 gari la kawaida duu.

Alafu usikalili maisha,Ngolo kante wa Chelsea kwa wiki anakunja karibu mil 200,lkn gari analotembelea la kawaida tu.

View attachment 1489318
View attachment 1489319kuna mzee na sali nae kanisani ana tembelea Benz hizi matoleo ya zamani lkn ana ghorofa Ilala,jengine lipo Tabata mandela road,ana mashamba hekari kibao.
ngolo hapendi. show off wala kujikweza nakutukuzwa. ni tofauti sana na domo. diamond anavyopenda misifa angekuwa yeye ndiye ngolo kante watu wasingekunywa maji
 
😃😃😃

ngolo hapendi. show off wala kujikweza nakutukuzwa. ni tofauti sana na domo. diamond anavyopenda misifa angekuwa yeye ndiye ngolo kante watu wasingekunywa maji
Hapendi sifa bali anatumia hela yake mbona kawaida,wote hamuwezi kufanana.Diamond kununua V8 mnasema anapenda sifa ,je MO kununua Tesla ya 2019 naye anapenda sifa?

Nilicho shangaa jamaa kujaji watu kutoka na brand za magari,ndio maana nikaampa mfano wa Ngolo.
 
Yeah mziki hauna hela na diamond pia ni kielelezo..kwa ukubwa wa diamond hapa afrika na muda aliokuwepo kwenye gemu,diamond hakustaili kuwa na utajiri wa usd 5 mill..hizo v8 unazozungumzia ni gari za kawaida tu ambazo hata watu tu wa kawaida mitaani wanazo ..diamond alipaswa kusukuma vitu kama rolls royce wrath,vitu kama range rover evok.. tofauti na wenzake akina davido,sasa immagine wasanii kama jux,harmonize,mbosso,aslay,a.y,FA bado ni masikini tu
Mzee ww unalo v8?
 
Hapo boss kafa kaoza, hat mahusiano yake na huddah yalisuasua kisa dimpoh, had huddah akanyang'anywa ndinga na kupewa baby mashavu mbonyeo. [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ya kweli hayo au unachafua jina la mtu?
 
Sasa nimchafue kwa kipi? Au me nna tatzo nae lipi huyo mtu? Km huna connection basi kuwa mpoleee, wee deal na kumfatilia dimondi, wengine tunawafuatilia wengne alaaaaaah.
Kwahiyo wewe unaamini unaloambiwa?hizo story nazisikia Sana lakini sijawahi kuthibitisha Ni za ukweli au la! Ndo maana sitii neno kwenye Hilo sitaki kuingia kwenye dhambi zisizo nihusu
 
Hahaha unachekesha ...Yule tajiri wa Chelsea anapesa pengine kuliko ata Jeff Besoz wa Amazon achana na warusi wewe...wanaficha mali kwa majina engine uko
umeongopa hatupimi utajiri kwa maono/mapendekezo yako bali number iliyopigiwa hesabu, kwa mahesabu ya namba utajiri wa Jeff ni wakutisha sana mpaka kufikia kule inabidi Mali sijui uzifiche wapi Dunia hii.
 
Kwahiyo wewe unaamini unaloambiwa?hizo story nazisikia Sana lakini sijawahi kuthibitisha Ni za ukweli au la! Ndo maana sitii neno kwenye Hilo sitaki kuingia kwenye dhambi zisizo nihusu
Basi kaa kwa kutulia, by the way sikua nakujibu wee, au sijalazimishaa ukubali, ndio maan tumetofautiana mitazamo hivyo, hebu relaaaaaaaax.
 
Back
Top Bottom