Kwa alichokiongea Vanessa Mdee, inawezekana Diamond Platnumz naye anafeki maisha?

V8 isikutishe jombaa mill 150 hadi 200 unapata zipo kibao tu mitaani hadi show room...kuna gari za kuziogopa ambazo acha mtaani,hata show room huwezi ziona..jamaa kaona gari ina sura mbaya basi anadhani anaweza aka-afford!!!..usiogope
 
V8 isikutishe jombaa mill 150 hadi 200 unapata zipo kibao tu mitaani hadi show room...kuna gari za kuziogopa ambazo acha mtaani,hata show room huwezi ziona..jamaa kaona gari ina sura mbaya basi anadhani anaweza aka-afford!!!..usiogope
Dah milion 150/200 unaona hela ya kawaida khaaaaaaaa...........πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila si shangai hii ndio JF,kila mtu mjanja,kila mtu tajiri,kila mtu msomi.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Dah milion 150/200 unaona hela ya kawaida khaaaaaaaa...........πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila si shangai hii ndio JF,kila mtu mjanja,kila mtu tajiri,kila mtu msomi.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Sasa unashangaa gari ya mill 100,gari ambayo hata service tunafanya hapahapa bongo..we jamaa bwana..sasa hizo wrath za mill 600+
 
Rotim alimuambia Vanessa anaimba makorochoo
 
Hiyo gari ipo round dollar 35,000 April Tsh unapata mil 70.
View attachment 1489375
Hiyo ya ng'olo bila usd 300000 hupati...hiyo ya kuanzia kuna matoleo kibao hapo chini kama range tu...jamaa kumbe hata gari huzijui,tunazungumzia MINI cooper achana na JOHN
Piga hesabu hiyo usd 300900 kibongobongo ni sh ngapi
 
Sasa unashangaa gari ya mill 100,gari ambayo hata service tunafanya hapahapa bongo..we jamaa bwana..sasa hizo wrath za mill 600+
Manake US mpaka ya dollar 20 elfu unapata gari ambazo brand zake hapa TZ hadimu,so kwa hiyo utaliheshimu sababu service linafanyiwa na mtu wa ulaya.

Manake V8 ipo around dollar 70 elf,hapo bado TRA na usafirishaji.
 
Usikute ndo huyu[emoji1][emoji1][emoji2]
 
Dah milion 150/200 unaona hela ya kawaida khaaaaaaaa...........[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila si shangai hii ndio JF,kila mtu mjanja,kila mtu tajiri,kila mtu msomi.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pension ya Afisa mkubwa kabisa wa serikali baada ya kuitumikia nchi kwa zaidi ya miaka 30 yeye kwake ni hela ya kawaida, na hii ndo raha ya kujificha nyuma ya keyboard[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Yaani sawa na kusema Biashara hazina faida baada ya kufungu kiduka chako cha nguo na kuona hakiba faida basi unajumuisha wanaofanya Biashara wote wakina Bakhresa, Mo NK ni waongo kisa wote mumeitwa wafanya Biashara.

Ndicho anachofanya myoa mada Diamond wakimfananisha na Vannesa kweli.
 
Yaani sawa na kusema Biashara hazina faida baada ya kufungu kiduka chako cha nguo na kuona hakiba faida basi unajumuisha wanaofanya Biashara wote wakina Bakhresa, Mo NK ni waongo kisa wote mumeitwa wafanya Biashara.

Ndicho anachofanya myoa mada Diamond wakimfananisha na Vannesa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…