bwege nazi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 700
- 904
Hata hizo mini cooper zipo nyingi mtaani... acha ushamba mkuu.. hiyo gari ya kante uwezi fananisha na cruiser v8Gari ya kawaida ni gari iliyozoeleka,yaani ambayo huonekana mtaani ..hizo bentley unaweza ukakaa wiki nzima usiione. .ila cruiser v8 watu kibao wanazo
Dah maisha yangu kabisa haya nimecheka sana MkuuHii ndo bongo yaani unakutana na kijeba geto kwake godoro liko juu ya box na shuka moja ambayo kikilala upande mmoja kinatandika na nusu kinajifunika, kina deki ya singsung, tv ya chogo inch 18 iko juu ya kreti ya soda kimeshajaza movie za kikorea kwenye flash kina uhakika wa kuangalia movie wiki nzima non stop so muda kinaobaki nao ni kuwaponda tu wanaume wenzie kwa mali wanazomiliki.. Hivi land cruiser V8 ni gari ya kawaida kwa misingi ipi?
Dah milion 150/200 unaona hela ya kawaida khaaaaaaaa...........[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila si shangai hii ndio JF,kila mtu mjanja,kila mtu tajiri,kila mtu msomi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha unachekesha ...Yule tajiri wa Chelsea anapesa pengine kuliko ata Jeff Besoz wa Amazon achana na warusi wewe...wanaficha mali kwa majina engine ukoTofautisha maisha ya Afrika na wenzetu. Aliko Dangote ni tajiri kuliko Roman Abramovich lakini hana matusi kama ya Abromovich, hujawahi kumuona na private yatch, wala akila bata na private plane. Afrika maisha ya watu wenye pesa ni tofauti na ulaya.
Kuna magari kuyaendesha bongo ni kituko
Ata Ommy Dimpo hana kitu.Ni fake lifeVanessa alisema sababu ya yeye kuacha mziki ni kuwa haukuwa unampa hela, halafu alikuwa akilazimika kuishi maisha ya juu ili kuwafurahisha mashabiki, wakati kiuhalisia hana uwezo huo
Inawezekana zile V8 zilizopo kwenye parking ya Diamond Platnumz, sio zake, na ile nyumba yake ya ghorofa amepanga tu?
Ni kweli ana ela kuliko Dangote... Il siyo kama Besoz yule jamaa ana ela chafuHahaha unachekesha ...Yule tajiri wa Chelsea anapesa pengine kuliko ata Jeff Besoz wa Amazon achana na warusi wewe...wanaficha mali kwa majina engine uko
Huyu naskia anafadhiliwa na mkewe.Ata Ommy Dimpo hana kitu.Ni fake life
πππDah maisha yangu kabisa haya nimecheka sana Mkuu
Mkewe yupi huyooo? Khaaaaaah weee hebu muachen huyo n kimada wa boss fulan kutoka two, five, four.. Dunia ina mazito hii uwiiiiiiHuyu naskia anafadhiliwa na mkewe.
unamaanisha yule gavana wa Mombasa mkuu?Mkewe yupi huyooo? Khaaaaaah weee hebu muachen huyo n kimada wa boss fulan kutoka two, five, four.. Dunia ina mazito hii uwiiiiii
ngolo hapendi. show off wala kujikweza nakutukuzwa. ni tofauti sana na domo. diamond anavyopenda misifa angekuwa yeye ndiye ngolo kante watu wasingekunywa majiV8 gari la kawaida duu.
Alafu usikalili maisha,Ngolo kante wa Chelsea kwa wiki anakunja karibu mil 200,lkn gari analotembelea la kawaida tu.
View attachment 1489318
View attachment 1489319kuna mzee na sali nae kanisani ana tembelea Benz hizi matoleo ya zamani lkn ana ghorofa Ilala,jengine lipo Tabata mandela road,ana mashamba hekari kibao.
Hapendi sifa bali anatumia hela yake mbona kawaida,wote hamuwezi kufanana.Diamond kununua V8 mnasema anapenda sifa ,je MO kununua Tesla ya 2019 naye anapenda sifa?πππ
ngolo hapendi. show off wala kujikweza nakutukuzwa. ni tofauti sana na domo. diamond anavyopenda misifa angekuwa yeye ndiye ngolo kante watu wasingekunywa maji
Mzee ww unalo v8?Yeah mziki hauna hela na diamond pia ni kielelezo..kwa ukubwa wa diamond hapa afrika na muda aliokuwepo kwenye gemu,diamond hakustaili kuwa na utajiri wa usd 5 mill..hizo v8 unazozungumzia ni gari za kawaida tu ambazo hata watu tu wa kawaida mitaani wanazo ..diamond alipaswa kusukuma vitu kama rolls royce wrath,vitu kama range rover evok.. tofauti na wenzake akina davido,sasa immagine wasanii kama jux,harmonize,mbosso,aslay,a.y,FA bado ni masikini tu
Hapo boss kafa kaoza, hat mahusiano yake na huddah yalisuasua kisa dimpoh, had huddah akanyang'anywa ndinga na kupewa baby mashavu mbonyeo. [emoji2089][emoji2089][emoji2089]unamaanisha yule gavana wa Mombasa mkuu?
Ya kweli hayo au unachafua jina la mtu?Hapo boss kafa kaoza, hat mahusiano yake na huddah yalisuasua kisa dimpoh, had huddah akanyang'anywa ndinga na kupewa baby mashavu mbonyeo. [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Sasa nimchafue kwa kipi? Au me nna tatzo nae lipi huyo mtu? Km huna connection basi kuwa mpoleee, wee deal na kumfatilia dimondi, wengine tunawafuatilia wengne alaaaaaah.Ya kweli hayo au unachafua jina la mtu?
Kwahiyo wewe unaamini unaloambiwa?hizo story nazisikia Sana lakini sijawahi kuthibitisha Ni za ukweli au la! Ndo maana sitii neno kwenye Hilo sitaki kuingia kwenye dhambi zisizo nihusuSasa nimchafue kwa kipi? Au me nna tatzo nae lipi huyo mtu? Km huna connection basi kuwa mpoleee, wee deal na kumfatilia dimondi, wengine tunawafuatilia wengne alaaaaaah.
umeongopa hatupimi utajiri kwa maono/mapendekezo yako bali number iliyopigiwa hesabu, kwa mahesabu ya namba utajiri wa Jeff ni wakutisha sana mpaka kufikia kule inabidi Mali sijui uzifiche wapi Dunia hii.Hahaha unachekesha ...Yule tajiri wa Chelsea anapesa pengine kuliko ata Jeff Besoz wa Amazon achana na warusi wewe...wanaficha mali kwa majina engine uko
Basi kaa kwa kutulia, by the way sikua nakujibu wee, au sijalazimishaa ukubali, ndio maan tumetofautiana mitazamo hivyo, hebu relaaaaaaaax.Kwahiyo wewe unaamini unaloambiwa?hizo story nazisikia Sana lakini sijawahi kuthibitisha Ni za ukweli au la! Ndo maana sitii neno kwenye Hilo sitaki kuingia kwenye dhambi zisizo nihusu