Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Wenzio Mafarisayo na masadukayo wakisema hivyo hivyo kwa Bwana Yesu Kristo kipindi anaanza huduma matokeo yake,Kamwe siwezi kuingia kwenye kanisa au msikiti wa huyo mtu maana tabia zake Hana sifa ya kuwa kiongozi wa jamii au kundi lokote
Unampangia Mungu watu wa kukufikishia ujumbe?Mimi nitaaenda kujionea uumbaji wa Allah..
Hana lolote la kiimani la kunifundisha
Nawe usiniapangie maamuma wahedUnampangia Mungu watu wa kukufikishia ujumbe?
Umesahau Mtume Mod alikua ngumbaru wa head ila ndio kiongozi wako leo why irene asiwe?
Usipangiwe wewe ni nani Kafiri wa Nanjilinji?Nawe usiniapangie maamuma wahed
Kwa hiyo wewe unatamani bra za wanawake wenzioKufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!
Ukianza kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya, unishtue ili na mimi nije tusali wote.Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!
Kwani wachungaji wanadondoka kutoka hewani mkuu? Kipi cha ajabu hapoUwoya naye amekuwa mchungaji ?
Alibadili dini huyu demu na kuwa muislamu na jina Sheila.Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Amekataa hajawahi kubadili dini.Alibadili dini huyu demu na kuwa muislamu na jina Sheila.
UsijaliUkianza kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya, unishtue ili na mimi nije tusali wote.
SawaHAPANA!
Mc pili pili hata usimtaje! Juzi tarehe 14 tulikuwa nae Mbeya huku alikuja kwenye tamasha flani hivi tuka collide kwenye ki grocery flani hivi karibu na Mbeya Pazuri alikuwa anakula mitungi balaaNataka nifanye ziara ya kutembelea makanisa ya wasanii wote, nitaanza kwa masanja, madame christina, madame flora, mc pilipili, irene uwoya nione laivu wanasifu na kuabudu vipi, wanafundishaje neno la Mungu na waumini wao wamevaaje? Tunaweza kuwahukumu mapema ni wabovu kumbe ni vyombo safi vya Mungu. Mungu ameinua mawe yamsifu kama wateule wake hawafanyi hivyo