Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kamwe siwezi kuingia kwenye kanisa au msikiti wa huyo mtu maana tabia zake Hana sifa ya kuwa kiongozi wa jamii au kundi lokote
Wenzio Mafarisayo na masadukayo wakisema hivyo hivyo kwa Bwana Yesu Kristo kipindi anaanza huduma matokeo yake,
Mwishoni wakaonekana vilaza wa head wakizidiwa maarifa ya Ki Mungu na kina Petro wavuvi,tomaso na Zakayo mtoza ushuru kisa tu kujiona wao wakamilifu na wana elimu kubwa kuliko hao ngumbaru wafuasi wa Mnazarene
Mungu hua anafanya maajabu ambayo akili za Kibinadamu zinagoma kabisaaaa
Mungu Sio Shemeji yako umpangie namna ya kufikisha ujumbe kwa watu wake!
Stay and see God wonders!
😁😁
 
Hauzi kweli huko church?

Anyway huyu mmama huwa anaonekana mzuri kidogo tu akiwa amevaa nguo na make up

Nikikumbuka lile vuzi la kipilipili nasikia kinyaa
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Kwa hiyo wewe unatamani bra za wanawake wenzio
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Ukianza kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya, unishtue ili na mimi nije tusali wote.
 
Mchungaji wetu wa Kasi ya 6G ,atakimbiza Sanaa km mwamposaa n swala la muda tu😂
 

Attachments

  • Screenshot_20240518_220754.jpg
    Screenshot_20240518_220754.jpg
    353.7 KB · Views: 2
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Alibadili dini huyu demu na kuwa muislamu na jina Sheila.
 
Mimi sina cha kuongea ila hawa wanafanya sasa niamini ukiristo zama hizi ni dini ya kitapeli wakiristo wanatakiwa wasimame waiteteee kwa nguvu dini yao mungu wetu ana dhihakiwa sana mungu wetu mpk wasagaji wanaojiuza wanajiita manabii nyakati hizi tutaona mengi duniani mpka tufe kazi ipo
 
Nataka nifanye ziara ya kutembelea makanisa ya wasanii wote, nitaanza kwa masanja, madame christina, madame flora, mc pilipili, irene uwoya nione laivu wanasifu na kuabudu vipi, wanafundishaje neno la Mungu na waumini wao wamevaaje? Tunaweza kuwahukumu mapema ni wabovu kumbe ni vyombo safi vya Mungu. Mungu ameinua mawe yamsifu kama wateule wake hawafanyi hivyo
Mc pili pili hata usimtaje! Juzi tarehe 14 tulikuwa nae Mbeya huku alikuja kwenye tamasha flani hivi tuka collide kwenye ki grocery flani hivi karibu na Mbeya Pazuri alikuwa anakula mitungi balaa
 
Back
Top Bottom