Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Wakati nawaletea habari ya kuokoka kwake hapa si mlinipinga?
Habari zangu ni kiasi cha muda tu, leo kila mmoja anamuita mchungaji Uwoya! Lols

Haya nendeni mkapate upako, msiangalie mavazi bali matendo yake.

Kweli nimekumbuka
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Mchungaji ana Tatto...Zile za kwenye Nyonyo kwani kashazifuta
 
Ni hatari kutumia uzuri wako kutafuta kazi. Viungo vya chini na mwili ndio utakaoteseka na kuchakaa haraka.
Haka kama vikichakaa kuna msemo "Maku haina shombo" unajua mpaka leo jokate anahongwa ? Jiulize kwa nini ? Wewe ukimchoka mwengine anavuta goma. Wanaume wengi tunataka kujua kwa nini kila aliyetuzidi anapapenda pale. Ndio maana nikakazia kuwa ukiwa na binti mzuri kaza amalize chuo kikuu akimaliza ameshatoboa. Nenda kwenye mashirika na taasisi mbali mbali za serikali pia usisahau private sector utajionea nilichoandika hapa.
 
Na wewe anzisha kanisa lako tukikuelewa tunakuja. Punguza makasiriko.
1714812289770.jpg
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Dar ukristo bana, umeingiliwa, sasa huyu, form four failure, mshiriki wa umiss, danga LA ki sasa, anakuwa, mchungaji!! Kama kuna MTU anamsikiliza, inabidi awaishwe mirembe(hospitsri ya vichaa Dodoma)
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Huyu demu sindio wanamuitaga Opra?
 
Back
Top Bottom