Kwa aliyoyasema Rais Samia kuhusu ATCL, ni vyema Mkurugenzi akajiuzulu mapema kabla hajatumbuliwa

Kwa aliyoyasema Rais Samia kuhusu ATCL, ni vyema Mkurugenzi akajiuzulu mapema kabla hajatumbuliwa

Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Inasikitisha mno!
 
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
ATCL hawamiliki ndege na hawahusiki na ununuzi wa ndege. ATCL ni kama wasimamizi wa biashara ya usafiri wa anga kwa niaba ya serikali. Mmiliki wa ndege za ATCL ni Tanzania Government Flight Agency (TGFA). Na taratibu za manunuzi zinaanzia wizarani kwa sababu pesa ya ununuzi haijazalishwa kutoka kwenye biashara zaidi ya bajeti kuu ya seriali. Sasa huyo Mkurugenzi wa ATCL anahusikaje hapo????
 
Taifa linapita mahali pagumu sana, PhD hangaya anahitaji msaada. Haya majizi yenye uwezo wa kuongeza hizo % zao hata ukiyaita stupid au Pumbavu ni sawa umeyapaka mafuta au kuyabembeleza...
Ona hali za afya za watu wetu, ona elimu zao, ona kilimo chao, ona watanzania wanavyoteseka kwa matozo yasiyo kichwa wala miguu ona ma mikopo nchi imegeuzwa shamba la bi hangaya kila mtu anachota kwa style yake.
Hakika rais wetu anatakiwa asaidiwe pakubwa na kwa haraka, ikiwemo kumwombea Mungu ampe ujasiri, akili na hekima itokayo juu. Kakwama na kuishia kulalamika na kutukana: "...stupid..., ...pumbavu..."!

Nani ataogopa kuendelea kuiba na kula fedha za umma kwa kulalamikiwa na kutukanwa tu bila kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria?!
 
Nchi yetu bhana utadhani tunaigiza tunasubiri ripoti kila mwaka na sijui kama zinafanyiwa kazi na kwa nini iwe report kwa nini kusiwepo na kitengo cha kuzuia hayo madudu? Kama Hawks Team SA na kwingineko ina maana tunabariki wizi ili tuotolee ripoti..
 
Mama asiishie halo, mbona taasisi nyingi wanafanya upuuzi na hachukui hatua, mtanzania bila kumkazia atavuna mabua, watu wanachezea Kodi na mother ka mute, akiamua kukanyaga mafuta asichague.
 
a

anayenunua ni nani? maana ATCL wao wanazikodi tu, hakuna haja ya kujiuzulu
Nadhani mtoa mada hamjui mmiliki wa ndege... ATCL anakodi ....kuna ile team ya wanasheria wa hii mikataba ndio wamemgutusha bi tozo. Ungeniambia Mwigulu na katibu mkuu wake, au wale wa Ujenzi mawasiliano na uchukuzi ningekuelewa
 
Sijawahi kumsikia mama S akitukana hivyo embu tuone kama matusi yake yanaambatana na vitendo.

Mama Samia, alichukia sana sanaaa, kiukweli inaudhi mnoo mnoo, yaani watu wanaiba sanaa, Mkurugenzi ATCL lazima aondoke, pia Mkurugenzi TGFA lazima aondoke, kumbuka hizi ndege zikitaka kununuliwa TGFA lazima abariki maombi ya ATCL, hivyo wakurugenzi wote wawili lazima waondoke haraka na kuachia ngazi zao, yaani wajifukuzishe kazi wao wenyewe au Mh. Rais awafukuze kwa barua haraka sana kwa kuwatengua kwa barua haraka ya Ikulu.

Mh. Rais kachukia sana, naamini kati ya leo au ugeni huu wa Makamu wa Rais wa Marekani ukipita, atachagua wakurugenzi wapya ATCL na TGFA, ndio maana Mh. Rais alisema watupishe, naamini ni watu wengi kidogo, hadi ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali nayo inahusika kabisa. Ngoja tuone siku chache zijazo
 
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Nani analipa hizo ukute wakala wa ndege sio ATCL
 
Mwache adhani uraisi ni kama kunyonyesha mtoto.AJIKAZE AAMUE.
Kwa ulichokiandika ni kama vile hukunyonya vizuri au huna shukrani kwa aliyekunyonyesha. Kwa taarifa yako binadamu anatengenezwa ktk siku 1,000. Chakula kikuu kwa miezi sita ni ziwa tamu la mama. #Ufikirie kabla ya kuandika. Uwe na heshima basi.🙏🙏🙏
 
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Manunuzi na uendeshaji unafanywa chini ya Waziri/KM na board inamaana hao wote wanabaki kufanya nini?
 

Inaonekana kama ili uongoze hii nchi kwa mafanikio ni lazima uwaone watendaji wote wa serikali kama Ng'ombe au Punda. Uwapeleke peleke mpaka waombe kuacha kazi.

Kila mtu anayepata nafasi kidogo anataka kuiba.
Ndio kazi aliyokuwa amejipa Magufuli kunyoosha vichwa ngumu wote Serikalini. Matokeo yake alijijengea maadui ambao mpaka leo hawataki kusikia jina lake. Tutamkumbuka kama Rais pekee "Jiwe" asiyetishwa na kutishika.
 
Atcl haitoweza kukaa na kupata faida kirahisi kwanza inahitaji serikali iinyanyue ndio ianza kupata faida.

Airlines nyingi duniani zimeanguka lakini serikali ina take covers sababu ya impact ya nchi kuwa na airline.
 
Stupid na pumbavu sio tusi!.
P
Ni tabia za watu, mkuu hivi chama chenu kina nia thabiti ya kumkomboa masikini toka kwenye lindi la umaaikini? Mnamuwekea TOZO huku mnaiba billions, na nilivyoona mama kashindwa kumtaja kwa jina muhusika hata mmoja nikajua ndio imetoka hiyo
 
Mama Samia, alichukia sana sanaaa, kiukweli inaudhi mnoo mnoo, yaani watu wanaiba sanaa, Mkurugenzi ATCL lazima aondoke, pia Mkurugenzi TGFA lazima aondoke, kumbuka hizi ndege zikitaka kununuliwa TGFA lazima abariki maombi ya ATCL, hivyo wakurugenzi wote wawili lazima waondoke haraka na kuachia ngazi zao, yaani wajifukuzishe kazi wao wenyewe au Mh. Rais awafukuze kwa barua haraka sana kwa kuwatengua kwa barua haraka ya Ikulu.

Mh. Rais kachukia sana, naamini kati ya leo au ugeni huu wa Makamu wa Rais wa Marekani ukipita, atachagua wakurugenzi wapya ATCL na TGFA, ndio maana Mh. Rais alisema watupishe, naamini ni watu wengi kidogo, hadi ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali nayo inahusika kabisa. Ngoja tuone siku chache zijazo
ATCL hawahusiki na mchakato wa manunuzi...wanakabidhiwa ndege zilizonunuliwa na Serikali kupitia wakala wa ndege za Serikali na Wizara yake.
 
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.

KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Waafrika huwa hatuna aibu wala hiyo hofu ya kujiuzulu haipo
 
Back
Top Bottom