Sijui waliompa ph wanajionaje maana sioni content ya ph kabisaTaifa linapita mahali pagumu sana, PhD hangaya anahitaji msaada. Haya majizi yenye uwezo wa kuongeza hizo % zao hata ukiyaita stupid au Pumbavu ni sawa umeyapaka mafuta au kuyabembeleza...
Ona hali za afya za watu wetu, ona elimu zao, ona kilimo chao, ona watanzania wanavyoteseka kwa matozo yasiyo kichwa wala miguu ona ma mikopo nchi imegeuzwa shamba la bi hangaya kila mtu anachota kwa style yake.
Muombeee pekee yako hivi unahabari kila mradi wa alioucha magufuli umekuwa na variation za maana maana wanamjua hata wakifanya hivyo amna wa kuwagusaHakika rais wetu anatakiwa asaidiwe pakubwa na kwa haraka, ikiwemo kumwombea Mungu ampe ujasiri, akili na hekima itokayo juu. Kakwama na kuishia kulalamika na kutukana: "...stupid..., ...pumbavu..."!
Nani ataogopa kuendelea kuiba na kula fedha za umma kwa kulalamikiwa na kutukanwa tu bila kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria?!
Magu mlikuwa mkilipuka ni diktetat akiita maaofisa wapumbavu.Tena kasema stupid mara ya kwanza then mara ya pili kasema Pumbavu
Afanye kazi, usinifundishe malezi yule anaongoza nchi ana madaraka afanye kazi.usiniletee siasa hapa.Kwa ulichokiandika ni kama vile hukunyonya vizuri au huna shukrani kwa aliyekunyonyesha. Kwa taarifa yako binadamu anatengenezwa ktk siku 1,000. Chakula kikuu kwa miezi sita ni ziwa tamu la mama. #Ufikirie kabla ya kuandika. Uwe na heshima basi.🙏🙏🙏
Anasema mawaziri wasaidie kwenye kupambana na haya, hapo ndio nilichoka. Anaona mawaziri ni wasafi sana?Tena kasema stupid mara ya kwanza then mara ya pili kasema Pumbavu
SIO KUJIUZULU NO, NI VYEMA WAKAZIRUDISHA FEDHA ZA ZIADA MAPEMA SANA, NADHANI NDIO HATUA SAHIHI HII KUJIUZULU TU HUWA HAITOSHI NA HAINA MAANA YOYOTE.Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.
KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Ndio kazi aliyokuwa amejipa Magufuli kunyoosha vichwa ngumu wote Serikalini. Matokeo yake alijijengea maadui ambao mpaka leo hawataki kusikia jina lake. Tutamkumbuka kama Rais pekee "Jiwe" asiyetishwa na kutishika.
Mkuu mbona sifa aliishajizolea tu kabla ya umauti kumkuta? Punguza makasiriko bro, hayupo ndio lakini alama kaacha nyingi tu zitakazokukera.....Relax!.Huyo unayetaka kumpa sifa hapa muache tu apumzike.
Katika kipindi chake CAG aliripoti upotevu wa 1.5 trillion, na makando kando mengine mengi. Baada ya hapo alianza harakati za kupambana na kumnyanyasa CAG mzalendo kabisa.
Angekuwa mwema hivyo huyo JPM angempenda sana CAG Assad. Angekuwa na nia unayotaka tuiamini hapa huyo JPM, asingehakikisha nchi inakuwa na bunge la chama kimoja, bunge kibogoyo na dhaifu.
Na hatimaye wamempata sasa. Inaumiza inakasirisha.
Anawabembeleza Sana Mpaka WanalalaNa hatimaye wamempata sasa. Inaumiza inakasirisha.
Sisi ATCL. ATCL haiuhusiki na ununuzi wa ndege.Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwa kuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
Rais Samia ameeleza kuwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL inayokaribia kuwasili nchiniilipaswa kulipiwa Dola Milioni 37 lakini invoice imekuja dola milioni 86 na pale alipohoji mkataba ulisemaje? na ongezeko limetokana na wapi?, alipewa majibu mepesi mepesi kama vile vifaa vimepanda bei
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” Alisem Rais Samia.
KWA HALI KAMA HII NI VYEMA MKURUGENZI WA ATCL NA TIMU YAKE WAKATANGULIA MLANGO WA KUTOKEA MAPEMA KABLA FEDHEHA YA KUTUMBULIWA HAIJAMKUTA
Siyo tusi kama kweli wewe ni stupid au mpumbavu.Stupid na pumbavu sio tusi!.
P
ATCL hawamiliki ndege na hawahusiki na ununuzi wa ndege. ATCL ni kama wasimamizi wa biashara ya usafiri wa anga kwa niaba ya serikali. Mmiliki wa ndege za ATCL ni Tanzania Government Flight Agency (TGFA). Na taratibu za manunuzi zinaanzia wizarani kwa sababu pesa ya ununuzi haijazalishwa kutoka kwenye biashara zaidi ya bajeti kuu ya seriali. Sasa huyo Mkurugenzi wa ATCL anahusikaje hapo????