jitwangabalogi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2018
- 476
- 636
Kama hutaki kupunjwa nenda Buchan chukua kilo aweke yenye mafuta kajikaangishe,,,usisahau kunichek nije Na ndizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et alNa kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meat
Duuh kwahiyo ukila ya kupikwa kwenye mabar kupunjwa ni kama sheriaKama hutaki kupunjwa nenda Buchan chukua kilo aweke yenye mafuta kajikaangishe,,,usisahau kunichek nije Na ndizi!
Achana na hiyo mambo mkuu , mara zote utamu unakaliaga pabaya.Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Ngoja tutoke kanisani kwanza
Haha tunaelimishana tu mkuu, siyo kwamba hatuli kula tunakula ila ni vizuri kujua tunachokula, na kina madhara gani na tukubaliane na matokeo yakeAchana na hiyo mambo mkuu , mara zote utamu unakaliaga pabaya.
Ila hapa mbweni Zanzibar kwa mama Janet hawatengenezi vizuri.Binafsi najua tu machimbo ya kule Zanzibar na Mkuranga
💯Haha tunaelimishana tu mkuu, siyo kwamba hatuli kula tunakula ila ni vizuri kujua tunachokula, na kina madhara gani na tukubaliane na matokeo yake
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Kama kuna vijidudu havifi kwa kupikwa tungeathirika wengi. Ila wengi huwa hawapiki vizuri ndio sababu hivyo vijidudu havifi. Nimesikia wana minyoo ya hatari.Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Mkuu umerudi jukwaani!!Kama kuna vijidudu havifi kwa kupikwa tungeathirika wengi. Ila wengi huwa hawapiki vizuri ndio sababu hivyo vijidudu havifi. Nimesikia wana minyoo ya hatari.
Yeah ndio hiyo minyoo niliyomaanisha, hata hivyo pamoja na kuyajua hayo yote ila bado hatuachi kula, kufa wote tutakufa tu hamna aliyekuja kulinda dunia (kidding)Kama kuna vijidudu havifi kwa kupikwa tungeathirika wengi. Ila wengi huwa hawapiki vizuri ndio sababu hivyo vijidudu havifi. Nimesikia wana minyoo ya hatari.
Utasikia Ambangile naomba kitimoto Cha 10000 na ndizi nne pia usisahau Pepsi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwan pesa tunatafuta kwa ajili ya nini, ena nkamogwanguTukuyu 10000 yako unapata kilo na ndizi nyingi za nyongeza.
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Wana leta kifafa, minyoo ya kutosha, na vijidudu vyake kufa mpaka vichemshwe siku mbili nasikia [emoji28][emoji28][emoji28]
Hili alikuwa analitolea maelezo sheihk mmoja hivi.
Si unaona sheikh anatoa ushuhuda kabisa kwamba vijidudu havifi mpaka siku mbili ina maana siku moja moja ana kaangagaIla bado mashehe wanakula kiti[emoji91] bila hiyana.