Kwa anaejua chimbo Kali la kitimoto kigamboni

Kwa anaejua chimbo Kali la kitimoto kigamboni

Na kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meat
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
 
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Achana na hiyo mambo mkuu , mara zote utamu unakaliaga pabaya.
 
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al

Hiyo ya vijidudu ambavyo havifi hata vikipikwa huwa naona ni story maana sijawahi kuthibitisha..

Na kitimoto kweli yaweza kuwekwa kwenye group la red meat ila mtu mwenye gout akila, haimletei madhara kama nyama ya ng'ombe au mbuzi
 
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Kama kuna vijidudu havifi kwa kupikwa tungeathirika wengi. Ila wengi huwa hawapiki vizuri ndio sababu hivyo vijidudu havifi. Nimesikia wana minyoo ya hatari.
 
Kama kuna vijidudu havifi kwa kupikwa tungeathirika wengi. Ila wengi huwa hawapiki vizuri ndio sababu hivyo vijidudu havifi. Nimesikia wana minyoo ya hatari.
Yeah ndio hiyo minyoo niliyomaanisha, hata hivyo pamoja na kuyajua hayo yote ila bado hatuachi kula, kufa wote tutakufa tu hamna aliyekuja kulinda dunia (kidding)
 
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al

Acha uongo,wadudu wanakufa kwa kupika kwa joto sahihi,sio kupika juu juu tu.
 
Wana leta kifafa, minyoo ya kutosha, na vijidudu vyake kufa mpaka vichemshwe siku mbili nasikia [emoji28][emoji28][emoji28]

Hili alikuwa analitolea maelezo sheihk mmoja hivi.

Ila bado mashehe wanakula kiti[emoji91] bila hiyana.
 
Back
Top Bottom