Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Kama dunia imekwama mahali fulani au imefanikiwa sana basi yote hayo mawili yamesababishwa na mwanamke.
Wanaume wote kabisa kwa 90% ni wanawake kwa mawazo yao (ambayo ndiyo yanayotengeneza tabia zao na mifumo ya maisha yao), pia wanaishi mfumo ambao siyo dume bali jike (feminism) kasoro maumbile tu.
Ni mwanamke ndiye anayemshape mtu tangia kwenye hatua ya ujauzito, kuzaliwa, kukuwa hadi kuwa mtu mzima. Ni mwanamke ndiye anayemfundisha mtoto (mtu) kufanya yafuatayo:-
1. Kuvaa.
2. Kula.
3. Kuongea.
4. Kuoga.
5. Kutambaa na kutembea.
6. Kucheza kwa jinsi isiyo hatari.
7. Kumkemea.
8. Kulala.
9. Kusimamia homeworks.
10. Neno la kwanza kutamkwa na mtoto ni “mama” la pili ni “dada”, kaka na baba vinafuata mwisho kutamkwa.
NB. Kwa asilimia kubwa sana dunia inaendeshwa na mawazo ya kike.
Wanaume wote kabisa kwa 90% ni wanawake kwa mawazo yao (ambayo ndiyo yanayotengeneza tabia zao na mifumo ya maisha yao), pia wanaishi mfumo ambao siyo dume bali jike (feminism) kasoro maumbile tu.
Ni mwanamke ndiye anayemshape mtu tangia kwenye hatua ya ujauzito, kuzaliwa, kukuwa hadi kuwa mtu mzima. Ni mwanamke ndiye anayemfundisha mtoto (mtu) kufanya yafuatayo:-
1. Kuvaa.
2. Kula.
3. Kuongea.
4. Kuoga.
5. Kutambaa na kutembea.
6. Kucheza kwa jinsi isiyo hatari.
7. Kumkemea.
8. Kulala.
9. Kusimamia homeworks.
10. Neno la kwanza kutamkwa na mtoto ni “mama” la pili ni “dada”, kaka na baba vinafuata mwisho kutamkwa.
NB. Kwa asilimia kubwa sana dunia inaendeshwa na mawazo ya kike.