Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
HahahahahahNi ukweli..watu watajifanya kukataa tu. Lakin wengi wanapelekeshwa na wake zao, mwanamke akisema sitaki hiki mtu anaufyata. Watu wanapokea maelekezo kutoka kwa mama zao mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahNi ukweli..watu watajifanya kukataa tu. Lakin wengi wanapelekeshwa na wake zao, mwanamke akisema sitaki hiki mtu anaufyata. Watu wanapokea maelekezo kutoka kwa mama zao mpaka sasa
Hahahahah lugha ya wallet ni utumwa katika mfumo tofauti!Ila mwanamke ana uwezo mkubwa wa ushawishi kwa kutumia lugha ya maumbile kuliko lugha ya kinywa. Mwanaume hana uwezo huo, uwezo wake uko kwenye lugha ya waleti, ndiyo maana mwanaume asiyejaliwa lugha ya waleti hawezi kulishawishi hata jibwa lake , jibwa litahama nyumbani kutafuta mji ambao watu wana kawaida ya kwenda buchani, hata mwanamke naye anawezakumtaliki mwanaume kwasababu haongei lugha ya waleti.
Papuchi power 😂 ile kitu ndio maana sir God aliamua kutufukuza Eden maana watu wangekuwa wanagombania maepo badala ya kufanya kazi😂Hakika.. unaweza kuta hata mkuu wa majeshi huko kazini wanamuhanya balaa!! Lakin akifika kwa mke wake anamuhanya balaa! Yan unaweza kuta mke hamtaki hata mama wa mume wake, na jamaa anaufyata mama mzazi hakanyagi nyumbani.
Alekomsalam.Asaalekoo
KaifaaAlekomsalam.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Papuchi power [emoji23] ile kitu ndio maana sir God aliamua kutufukuza Eden maana watu wangekuwa wanagombania maepo badala ya kufanya kazi[emoji23]
Wanawake oyeeeNi ukweli..watu watajifanya kukataa tu. Lakin wengi wanapelekeshwa na wake zao, mwanamke akisema sitaki hiki mtu anaufyata. Watu wanapokea maelekezo kutoka kwa mama zao mpaka sasa
Mweeh!! Huko sasa sijui.Kaifaa
Yeah unyevu una balaa ule hasa uupate kwa mtoto mtamu aisee dah ni balaa😎[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama maji yaani, inabidi tu ukubali.
Achana na hiyo kitu kabisa, watu hadi wanaua mchezo!!Yeah unyevu una balaa ule hasa uupate kwa mtoto mtamu aisee dah ni balaa[emoji41]
Kuna simulizi moja nilisimuliwa na askari mstaafu aliyepigana vita ya Kagera kwamba Idd Amin alikubali kutoroka Uganda kwa ushawishi wa mkewe mpya Sarah Kyolaba (alikuwa na wake sita) baada ya kugomea ushawishi wa aina hiyo uliotolewa na jeshi lake na baraza la mawaziri, aliamini kwamba Mwanajeshi haogopi na kiapo chake ni kufia nchi yake (sasa akakiuka kiapo na ushauri wa jeshi na baraza la mawaziri lakini akatekeleza maagizo ya mkewe); kumbe ndiyo maana Gadhafi na Saddam hawakukubali ushauri wa kutoroka.Hakika.. unaweza kuta hata mkuu wa majeshi huko kazini wanamuhanya balaa!! Lakin akifika kwa mke wake anamuhanya balaa! Yan unaweza kuta mke hamtaki hata mama wa mume wake, na jamaa anaufyata mama mzazi hakanyagi nyumbani.
Watu wanagawa nafasi za kazi, magari, wanajengea wanawake yote ni burudani tu ya washeliAchana na hiyo kitu kabisa, watu hadi wanaua mchezo!!
Ndo mtulie sasa tuwape burudani.Watu wanagawa nafasi za kazi, magari, wanajengea wanawake yote ni burudani tu ya washeli
Huenda inawezekana Zimbabwe inapita pagumu kwasababu mawazo ya mwanamke yaliishape nchi!Ndo mtulie sasa tuwape burudani.
Wote kwa pamoja kwa ukamilifu wao.Mkuu usiweke full stop,
Huku duniani nani anamshape mwanadamu kati ya baba na mama?
Mkuu,Wote kwa pamoja kwa ukamilifu wao.
Mwanamke mmoja tuu... wa Zimbabwe aliishikisha adabu US na UK. The power of a woman is twofold scaring than that of a man.Huenda inawezekana Zimbabwe inapita pagumu kwasababu mawazo ya mwanamke yaliishape nchi!