Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
- Thread starter
-
- #41
Kwa Simba, jike ndiye ana impact (tija), dume ni bazazi tu.Ni manii ya baba na Yai la mama ndiyo inayomform mtoto na kwenda kutunzwa kwenye tumbo la uzazi yaani placenta (kwa miezi tisa). Mtoto anatengenezwa na kudevelop tabia kutokana na details zilizobebwa kwenye manii ya baba pamoja na details zilipo kwenye Yai la mama full stop.
Always Mwanaume ni Vision na Mwanamke ni Mission kwa pamoja wanaform kitu kinachoitwa Mwanadamu.
Jaribu kuchimba vizuri utugundua hakuna mawazo ya kike na hakuna mawazo ya kiume bali ni mawazo ya mwanadamu. Kwa sababu kila mmoja ni sehemu ya mwili wa mwenzake.
When you want to discuss something or judge anything...don't pick a side my friend.Mkuu,
Adamu alishepiwa na nani?
Msahafu unatuambia "ishini nao kwa akili"1Pet.3:7 Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili.When you want to discuss something or judge anything...don't pick a side my friend.
Adam and Eve wote kwa pamoja kwa ukamilifu wao. Kila kitu kwenye maisha kinaimpact yake as longer as kipo ndani ya nature.
Formally stated, Newton's third law is: For every action, there is an equal and opposite reaction. The statement means that in every interaction, there is a pair of forces acting on the two interacting objects. The size of the forces on the first object equals the size of the force on the second object.
Isaac Newton mwenyewe alimpiga mawe babake wa kambo kwa kumpiga mamake, na Isaac akatoroka nyumbani na kuwa chanzo cha yeye kuwa school dropout. Japokuwa huyu babake wa kambo alikuwa akimhudumia ikiwemo kumsomesha lakini inadhihirika kwamba Isaac alimbeba mamake moyoni zaidi kwasababu ndiye aliyemshape!When you want to discuss something or judge anything...don't pick a side my friend.
Adam and Eve wote kwa pamoja kwa ukamilifu wao. Kila kitu kwenye maisha kinaimpact yake as longer as kipo ndani ya nature.
Formally stated, Newton's third law is: For every action, there is an equal and opposite reaction. The statement means that in every interaction, there is a pair of forces acting on the two interacting objects. The size of the forces on the first object equals the size of the force on the second object.
Hujawai kulea kwaio kausha uliza aliewai kulea mtoto yeyote yule neno baba ndio lakwanza hatakama baba hajawai kukuonaKatu! labda mtoto wa chupa (aliyezaliwa maabara), kwasababu baba amegoma kuoa hivyo anatoa mbegu zake atengenezewe mtoto wa chupa (maabara).
Wanaume walio wengi wakitalikiana na wake zao huwa wanawatamania kifo cha mapema au hata kuwaua watalaka wao hao lakini mwanamke siyo rahisi kuwaza kumuua mtalaka wake.Ulichosema ni kweli. Wengi wanaangalia upande wa nguvu na mamlaka aliyonayo mwanaume pasipo kukumbuka kuwa wengi wetu tumelelewa na mama zetu tukiambiwa mwanaume lazma uwe jasiri na mwenyewe mamlaka na wanawake kupandikiziwa mitazamo ya wao ni dhaifu kwa mwanaume na niwajibu wao kuwatumia wanaume, lakin ukwel ni kuwa ujasir na mamlaka tuliyonayo tumeyapata toka kwa hao hao wanawake na kama ikitokea leo hii(siombi iwe hvyo) wanawake wakabadirika na kuanza kuwakuza watoto wa kiume kama wakike na wakike kama wakiume bas ndan ya miongo 2 au 3 mwanaume atapoteza authority aliyonayo sasa .
NB: nimeangalia upande wa malezi
Kwanini mtoto kwa mkubwa wakipata dharura wanatamka neno "mamaaaaa" badala ya "babaaaaaa"?Hujawai kulea kwaio kausha uliza aliewai kulea mtoto yeyote yule neno baba ndio lakwanza hatakama baba hajawai kukuona
Kwanini mama akifa familia inakosa mwelekeo hata kama baba ana uchumi mzuri? Kwanini baba akifa hata kama mama hana uchumi mzuri familia inatoboza?Hujawai kulea kwaio kausha uliza aliewai kulea mtoto yeyote yule neno baba ndio lakwanza hatakama baba hajawai kukuona
Hio nikwamba mama ndio neno lakaribu kweny maisha yake nandio yuko karibu ila mtoto akizaliwa neno baba ndio lakwanza kulitamka bila kufundishwa kama kuna mmama hapo aliewai kulea muulizeKwanini mtoto kwa mkubwa akipata dharura anatamka neno "mamaaaaa" badala ya "babaaaaaa"?
Kaz yamama kulea nakaz yababa kutunza yan baba hata akiishi ulaya yeye akituma pesa tu inatosha ila mama yeye ndio mleaji kwaio kama baba kaacha pesa mama anateleza tuKwanini mama akifa familia inakosa mwelekeo hata kama baba ana uchumi mzuri? Kwanini baba akifa hata kama mama hana uchumi mzuri familia inatoboza?
Kwa asilimia kubwa sana dunia inaendeshwa na mawazo ya kike.Kama dunia imekwama mahali fulani au imefanikiwa sana basi yote hayo mawili yamesababishwa na mwanamke.
Wanaume wote kabisa kwa 90% ni wanawake kwa mawazo yao (ambayo ndiyo yanayotengeneza tabia zao na mifumo ya maisha yao), pia wanaishi mfumo ambao siyo dume bali jike (feminism) kasoro maumbile tu.
Ni mwanamke ndiye anayemshape mtu tangia kwenye hatua ya ujauzito, kuzaliwa, kukuwa hadi kuwa mtu mzima. Ni mwanamke ndiye anayemfundisha mtoto (mtu) kufanya yafuatayo:-
1. Kuvaa.
2. Kula.
3. Kuongea.
4. Kuoga.
5. Kutambaa na kutembea.
6. Kucheza kwa jinsi isiyo hatari.
7. Kumkemea.
8. Kulala.
9. Kusimamia homeworks.
10. Neno la kwanza kutamkwa na mtoto ni “mama” la pili ni “dada”, kaka na baba vinafuata mwisho kutamkwa.
NB. Kwa asilimia kubwa sana dunia inaendeshwa na mawazo ya kike.
Kwa kuwa kwenye maafa hasa vita wahanga wakubwa ni wanawake na watoto, hivyo basi kama Marais wote duniani wangekuwa wanawake (Maamiri Jeshi Wakuu wanawake) unadhani kungekuwa na vita duniani? Siyo kwamba wasingeamuru majeshi kwenda vitani ili wahanga ambao ni wanawake na watoto wasiathirike na kwamba huenda dunia isingekuwa na uadui?Kwa asilimia kubwa sana dunia inaendeshwa na mawazo ya kike.
Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike
Adam hakuzaliwa bali aliumbwa.. Hii ni kwa mujibu wa misahafu ya baadhi ya dini.... Eva naye hakuzaliwa bali ilikuwa ni kama kitu leo hii tunaita cloning.... Lakini cha ajabu hakutokea kama replica ya Adam kulikuwa na tofauti kidogo kwenye via vya uzazi.. Halafu Adam akamrudi Eva akamgeuza bibi...www.jamiiforums.com
Ukimwachia mwanamke 2000/- kwamba ajibane wanywe uji hadi ukirudi jioni yeye atabajeti hiyo ela hadi familia itakula chakula badala ya uji. Mwanamke (breadwinner) akimwachia baba wa nyumbani 2000/- kwamba wanywee angalau chai hadi akirudi jioni ndiyo wale chakula nakwambia hiyo ela haitatosha chai. Kumbe mwanamke mawazo yake yanatembea kwenye mawanda mapana sana zaidi ya mawazo ya mwanaume.Kuna binadamu watakuja kusema ni mwanamke huyo huyo aliyemfundisha binadamu wa kwanza matumisi...