Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kama Quran imeandikwa na Binadamu kwanini hadi leo hakuna Kitabu kama Hicho? Quran yenyewe inatoa Challenge kama ile ni kazi ya Binadamu basi andikeni kitabu kama kile, ni 2023 sasa hivi Computer na Ai za kutosha ila hakuna bado kitabu kama kile
Kila dini inaamini kitabu chake ndo Cha muhimu kuliko vyote. Ila as long as vyote vina makosa ya kisayansi, kihistoria na kimaadili. Bora nisome vitabu vya sekondari vina elimu ya maana na halisi kuliko hadithi zenu za majini na kupigana mawe.
 
Kakatazwa muarabu una akili na mtume ni wa ulimwengu wote..

wewe hilo kabila lako ni mambo ya kizamani kwa vile umetokea kijijini mi sijui mambo ya makabli so utajua mwenyewe ...Kabila langu asilimia kubwa ni waislamu huyo Nguruwe Kufungwa tu huwezi kuona hta mambo ya kishenzi kuzaa bila ya ndoa huwezi kuyakuta.
wewe ni mjinga sana, nikikuuliza unajua mababu wangapi kwenye uzao wako unaweza nitajia Babu wangapi?

mnakalia mtume mtume kumbe mnatukuza uzao wa wengine ila uzao wenu mnauita mizimu.

Amka kijana.
 
Acha kukaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji na kudanganywa.Nenda utafute elimu,ni sawa na kumuona daktari kavyaa kipimo shingoni,ukasema kavyaa mkufu.
Nimeuliza
Lah ni nani
Na Kwanini mnabusu jiwe
 
Kila dini inaamini kitabu chake ndo Cha muhimu kuliko vyote. Ila as long as vyote vina makosa ya kisayansi, kihistoria na kimaadili. Bora nisome vitabu vya sekondari vina elimu ya maana na halisi kuliko hadithi zenu za majini na kupigana mawe.
Sawa kakojoe ulalae, usisahau kunawa miguu.
 
Maria mama wa Yesu mika 13 aliolewa na Yosef miaka 90,watu wa mashariki ya kati wanakula nyama na maziwa wana afya,usifananishe na vitoto vya Afrika ugali na mlenda.
Leta andiko la biblia likitaja umri wa maria ,

Mtoto ni mtoto ,ndio maana umeona mama yake Aisha alikuwa anaangaika kumlisha Sana ili Aisha anenepe apelekwe kwa pedophile Muhammad

Kalikuwa katoto na kana cheza na midoli na watoto wengine Muhammad akakatili , na possible alikuwa kibamia
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Wewe nadhani unajitia kuujua uisilamu lakini hujui lamuhimu kajifunze
 
hapa tunazungumzia uislamu na uarabu mm sio mkristo na ndio maana wala sitaji habari za wakristo hilo ndio tatizo la sisi waislamu kuna vitu vingine ni vya ukweli lakini tunapindisha.

Mwenyezi Mungu ametuumba kwa utashi yaani kutambua vitu na mambo kwa ujumla sasa tujifunze mda mwengine kuumiza vichwa vyetu hata kama ww ukiwa muislamu ,leo hii mm nimeuliza maswali makusudi ili nipime watu tuliokua ktk imani ya kiislamu lakini nimegundua kuwa waislamu tunapenda sana ligi na dini nyingine hili ndo tatizo letu.
Kama wewe ni muisilamu mafundisho yanasemaje kuhusu vazi la kanzu?pia kuhusu usomaji wa qur,aan?isomwe kwa kiarabu au kiswahili?
 
Dini ilibaki Oman huyu sultan Seyid aliyekuja Zanzibar ni kama Christopher Columbus jamaa walikuwa pirates kwa jina la uislamu, dini ilikuja na utumwa *****
Surutani kaukuta uisilamu hupo kitambo
 
jiulize kwanza swali dogo tu, Kupiga dufu kunatimiza principle yoyote ya dini

Jibu unalo

View attachment 2669879
Dufu ni ngoma za mila za kiarabu pia ni ngoma kama ngoma nyingine uisilamu hauruhusu ngoma kupigwa na kuchezwa na wanaume ila wanawake shariti wawe wao peke yao,kanzu ni vazi alilo vaa mtume lazima nasi wafuasi wake tuvaae ila kuvaa suruali sio Katazo

Kusoma qur,aan ni bora zaidi kuisoma kama ilivio andikwa ingawa kusoma ya tafusiri sio dhambi ila surati fatiha kwenye swala ni nguzo isomwe kama ilivio andikwa

Ndoa na majambia viunoni ni mila ya waarabu hasa wa omani kuvaa vilemba ni Sunnah na kofiya biliani ni chakula cha kawaida ingawa muanzilishi wa chakula hicho na plao ni muarabu hapa bongo kula chakula hicho sio dhambi hila hakina mafungamano na uisilamu ila ni chakula pendwa

Majana hayahusiani na uisilamu majina mengi ni ya kimila kwa waarabu mtume alipo kuwa akiwasilisha hawa kubadili majina walibaki na majina yao ya kimila ila tukayapenda kwa sababu baadhi ya watu walio silimishwa na mtume walifanya mambo makubwa katika dini mfano omari tuhuman Abubakary nk hawa ni watu weme lazima majina yao tuyatumie ingawa ni ya kimila hayahusiani na uisilamu lakini kuitwa jina la babu yako muha msukuma muhaya Makonde sio dhambi shariti majina hayo yawe na maana nzuli mfano wahaya wanayo majina kweyamba karungi wasukuma wanayo majina mazuli masunga maganga mabere nk
 
Quran yenyewe inatoa Challenge kama ile ni kazi ya Binadamu basi andikeni kitabu kama kile, ni 2023 sasa hivi Computer na Ai za kutosha ila hakuna bado kitabu kama kile
Inatoa challenge wakati apo apo Ina surah nzima majini yanaongea

Au challenge haikuwahusu majini?
 
Mjinga ndo wewe fala mshamba unaleta mambo ya kijiji na suruali yako nyekundu nenda bush ukachunge🤣🤣.

Bado hata level ya kutumia choo huko kwenu unapiga kelel hapa pita kushoto mshamba...

Unafundishwa ustaarabike unaleta ujinga nenda huko na ushamba wako.

Mjinga
Mjinga ndo wewe fala mshamba unaleta mambo ya kijiji na suruali yako nyekundu nenda bush ukachunge🤣🤣.

Bado hata level ya kutumia choo huko kwenu unapiga kelel hapa pita kushoto mshamba...

Unafundishwa ustaarabike unaleta ujinga nenda huko na ushamba wako.

Hayo maswali niliyokuuliza umeyaelewa?
 
Hio ndio misingi mikuu,

Kuna haja ipi ya kukopi vya uarabuni na kuvi merge kwenye dini ?

View attachment 2669880
Tatizo lako dini hujui mafundisho ya dini yako kwenye qur,aan na sunnah,kupiga dufu kujifunga jabia kiunoni wakati wa kuoa huko ni kuiga tamaduni za kiarabu ambazo hazihusiani na uisilamu wala hazimfanyi mwenye kuziiga kutoka katika dini husika,hata wewe hapo mambo mengi umeyaiga fahamu kinacho mtoa mtu katika uisilamu kuacha swala tu
 
Tujikubali na asili zetu, tujivunie vyetu.

Dufu ni ngoma za waarabu, kuna ulazima upi kuacha kupiga ngoma zetu sisi za asili yetu Mdundiko, Lizombe,sindimmba,mganda,mdumange,msewe, ?
Kupanga ni kuchagua wewe hapo ulipo umeiga mangapi hiyo cm unayo itumia umeitoa wapi na nyumba unayo ishi la muhimu kasome uisilamu hili unujue halali na haramu uwezi kufahamu dini kwa ujanja ujanja ndugu kusoma dini siku hizi bule ulipi chochote ni wewe kutenga muda tu
 
Unarudi kule kule...
Waislam wa wapi kwao kupiga Dufu Ni lazima?

Ukisema lazima/sharti maanake lipo katika misingi ya uislam SI ndio?
Haya sasa wapi dufu Ni lazima kiasi kwamba linatengua ngoma zetu?
Huyo ni miongoni mwa watu wanao sema hivi sinasoma uisilamu lakini unidanganyi uisilamu najua nje ndani
 
Najiuliza kama tungewahi kustarabika,
Tungekuwa wa kwanza kutembelea mabara ya mengine,
Je wenyeji wangefata tamaduni zetu na dini zetu?

Je dini zetu si halal?
Na je mbona wazee wetu waliomba mvua,mavuno na n.k na vikafanyika..kwa nini leo tunaita ushirikina?


Tuna safari ndefu.
Alie kuzuiya kuomba mvua kama babu zako walivio fanya ninani?hakika dini mbele ya mungu ni usilamu yoyote hatakae jifanyia kuanzisha kufuata tofaoti na uisilamu hatumubaliwa mbele ya muumba wake naye siku ya hukumu hatakuwa ni mwenye kupata khasara
 
Yote kwa yote, tumeshudia wachungaji wakiwakamu wafuasi wao pesa na mali, kumpa mchungaji, Waislamu umeshasikia ujinga namna hii.
Allah mtume wake alikuwa anapewa consultation fee , Yani ilikuwa huwezi kumuona pedophile Muhammad mpaka utangulize pesa

58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Pia binadamu alieweza kugawana Mali ya uwizi na mungu wake ni pedophile muhammad tu

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
[emoji1787]Acheni kupigwa na waarabu bana... Mnasaidia kusambaza tu utamaduni, kwa hiyo Mungu unaongea nae kiarabu ndo unaelewa, unamsoma kiarabu...[emoji1787]Ila duu
Yesu pia anatangaza utamaduni wa muarabu
download.jpg
 
Back
Top Bottom