Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa Nini Mungu mmoja aumbe billions of stars ulimwenguni ili amtokee mwarabu mmoja pangoni amuambie sheria zake kiarabu halafu na wewe unafata. [emoji1787]Mungu hajawahi kumtokea mtu kwa sababu hayupo. Kila mtume anajikuta katokewa na Mungu mmoja na muumba Ila sheria zao ni tofauti..hata sheria za Musa na za Yesu Ni tofauti.. ndo ujue dini ni upumbavu mmoja tu umetengenezwa kuendesha watu. Ndo maana waislamu ukiwakosoa wanakimbilia kukupiga mawe, kukunyonga, kukuchinja, wanaishi kwa uwoga wa kuumbuka kwamba dini Yao ni kama nyingine tu, zote ni man made.. [emoji1787]eti final revelation, religion of peace... [emoji23]Full of nonsense... Mungu aumbe watu wote wanaojielewa afu mtume wake awe mtu wa kula mtoto wa miaka 9 kweli... Humu ndani hamna mtu in their right mind anaweza kula mtoto wa miaka 9
Mdomo mali yako ulipii kodi ongea uwezavio tukana utakavio lakini kumbuka hiyo siku ambayo itatolewa roho yako huo mdomo wako hauta kusaidia zaidi utaishia kufukiwa na kifusi cha tani 10 wewe na hivio vingereza viako na mdomo wako huo unashia kuoza na kutafunwa na wadudu
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Wewe ni Muislamu? Naona umeandika kwa kauli ya kujijumuisha "...tumekomba mpaka uarabu..." na hili nimekuuliza kwakuwa muislamu wa kweli au anayejua dini yake katika basic level anapaswa kutambua kwamba hakuna Quran ya kiarabu na Quran ya lugha nyengine. Quran ni moja tu ambayo ipo kwenye lugha ya kiarabu, zote katika lugha nyengine ni jitihada za kutafsiri ya hiyo Quran katika hizo lugha husika (It never represents the full meaning as when recited in it's original form i.e. Arabic).

Tukirudi katika mada kiujumla, ni kweli waislamu wengi tumechukua baadhi ya mila za kiarabu kama mavazi ya kanzu n.k lakini pia hii sio makosa wala kujidhalilisha, inatokana tu na mapenzi ya watu wa jamii fulani kwa hao waarabu ambao kwa kiwango kikubwa ndio waliowafikishia hiyo dini yenyewe. Uislamu umetoa misingi ya nini kifaa na nini hakifai mfano katika mavazi.

Kubwa unalopaswa kujua ni kwamba katika mengi ni lazima tutafanana tu na waarabu kwa kuwa kwetu sisi waislamu inapendekezwa kumuiga mtume (ni sunna) kwa kila kitu na kuna malipo katika kufanya hivo. Sasa hao waarabu unaowaona tayari mila zao zilishakuwa katika kumuiga mtume na unapotuona na sisi tumewaiga haishii kwao wao tu bali tunafanya kwa kumuiga Mtume (SAW) kwa kadri ya kilichotufikia na kuthibiti kutokea kwake.

Nikusaidie pia, ni kweli Mtume Muhammad (SAW) angekuwa shaolin pia na sisi tungevaa kama Shaolin, unajua kwanini? he is our role model na kila mmoja ana role model wake, ila sijui wewe wako ni Jesus ama ni akina David Livingstone na Karl Petters.

Hivi nguo wanazovaa nguo wanazovaa maharusi wa kikristo (Suti na shela) kule Mbeya, Kilimanjaro na huko kwenu ni mila ya nani vile???
 
We unajuaje kwamba siku ya hukumu muislam ndo atapata faida.
"Whoever tells you he knows what will happen after you die, is either a fool or a lier" ifike mda mkue kutoka hizi Imani za kitoto na za kijinga. Mtu anapaa na farasi juu mbinguni Mara anatembelea Motoni sijui anaona Kuna wanawake wengi, [emoji1787]na nyie mnaskia hizi story mnaogopa...kweli dini ni bangi ya maskini
Mkisha jua kuandika vingereza mnajitoa akili na kuwa na urimbukeni unao sababisha kitokwa na maneno machafu yanayo sukumwa na ushamba na chuki hisiyo na maana
 
Hii ni uongo mkubwa sana. Inamaana wake zao na mama zao walitoka kwenye jamii gani Kama walikua hawataki watoto wa kike?
Kama uongo basi wewe sema ukweli ulivio sio kuishia kusema uongo tu
 
We unajuaje kwamba siku ya hukumu muislam ndo atapata faida.
"Whoever tells you he knows what will happen after you die, is either a fool or a lier" ifike mda mkue kutoka hizi Imani za kitoto na za kijinga. Mtu anapaa na farasi juu mbinguni Mara anatembelea Motoni sijui anaona Kuna wanawake wengi, [emoji1787]na nyie mnaskia hizi story mnaogopa...kweli dini ni bangi ya maskini
Umeanza vizuli kuuliza muisho umevua suruali ukanyea bila haya
 
Kule zenji walipojaa Waislam ndipo penye Mashoga haswaa, tena wanavaa shanga na kukatika viuno kama Afande Rama[emoji23][emoji23][emoji23]

Hata Mlolongo anajua kwakuwa ni ndugu zake
Katika wapumbavu na wewe umo ila uvumi
 
Mkuu hawa wapo kila mahali


Hizi ni propaganda na zipo hata uende google ila sio ruhusa katika nchi za kiislamu ,hayo maandamano ni kwamba wanajua hakuna manipulation na hawaitambui ila upande fulani ndo hivyo.
 
Cha muhimu umekubali zipo na ni Waislam hao..Aljazeera hawawezi kuwazulia
Nionyeshe wapi wamefunga ndoa msikitini? kama hujui hao magays lazima wapingane na uislamu kwa vile uislamu uko strictly katika sharia hauna manipulation sijui nan kasema eti kama wanaofuata sangara kule Italy.

Katika uislamu hata wakubwa zako kawaulize wanajua hakuna huo ujinga kama hutoandamwa uchinjwe😅😅
 
Nionyeshe wapi wamefunga ndoa msikitini? kama hujui hao magays lazima wapingane na uislamu kwa vile uislamu uko strictly katika sharia hauna manipulation sijui nan kasema eti kama wanaofuata sangara kule Italy.

Katika uislamu hata wakubwa zako kawaulize wanajua hakuna huo ujinga kama hutoandamwa uchinjwe😅😅

 

😅😅😅Hamna kitu kama hicho unalazimisha.

waislam wanavalishana pete?😅😅

Hatuwezi kufanana kabisa na nyie mapunga.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Mbona hujauliza kuhusu ukristo nao mavazi ya uchi majina taratibu vp hapo
 
Back
Top Bottom