mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Kwaiyo shetani anakaa Arabuni.Kwani wewe Unamjua Shetani
Una Uhakika gani kama shetani Hawezi Pigwa Mawe?
Kwani Unaishi Nae Ghetto?
Kumbe Afrika tupo salama sababu hakuna shetani huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo shetani anakaa Arabuni.Kwani wewe Unamjua Shetani
Una Uhakika gani kama shetani Hawezi Pigwa Mawe?
Kwani Unaishi Nae Ghetto?
Kama ni uongo ukweli ni upi?Hii ni uongo mkubwa sana. Inamaana wake zao na mama zao walitoka kwenye jamii gani Kama walikua hawataki watoto wa kike?
Mdomo mali yako ulipii kodi ongea uwezavio tukana utakavio lakini kumbuka hiyo siku ambayo itatolewa roho yako huo mdomo wako hauta kusaidia zaidi utaishia kufukiwa na kifusi cha tani 10 wewe na hivio vingereza viako na mdomo wako huo unashia kuoza na kutafunwa na waduduKwa Nini Mungu mmoja aumbe billions of stars ulimwenguni ili amtokee mwarabu mmoja pangoni amuambie sheria zake kiarabu halafu na wewe unafata. [emoji1787]Mungu hajawahi kumtokea mtu kwa sababu hayupo. Kila mtume anajikuta katokewa na Mungu mmoja na muumba Ila sheria zao ni tofauti..hata sheria za Musa na za Yesu Ni tofauti.. ndo ujue dini ni upumbavu mmoja tu umetengenezwa kuendesha watu. Ndo maana waislamu ukiwakosoa wanakimbilia kukupiga mawe, kukunyonga, kukuchinja, wanaishi kwa uwoga wa kuumbuka kwamba dini Yao ni kama nyingine tu, zote ni man made.. [emoji1787]eti final revelation, religion of peace... [emoji23]Full of nonsense... Mungu aumbe watu wote wanaojielewa afu mtume wake awe mtu wa kula mtoto wa miaka 9 kweli... Humu ndani hamna mtu in their right mind anaweza kula mtoto wa miaka 9
Dini 1 tu uisilamu basiZa ukoo, na kabila lako. Kwenu hamna matambiko?
Wewe ni Muislamu? Naona umeandika kwa kauli ya kujijumuisha "...tumekomba mpaka uarabu..." na hili nimekuuliza kwakuwa muislamu wa kweli au anayejua dini yake katika basic level anapaswa kutambua kwamba hakuna Quran ya kiarabu na Quran ya lugha nyengine. Quran ni moja tu ambayo ipo kwenye lugha ya kiarabu, zote katika lugha nyengine ni jitihada za kutafsiri ya hiyo Quran katika hizo lugha husika (It never represents the full meaning as when recited in it's original form i.e. Arabic).uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?
Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.
Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.
Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam
Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam
taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.
Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau
lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.
mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Soma historia ya jiwe la KaabaDini 1 tu uisilamu basi
Mkuu hawa wapo kila mahaliyesu alioa wapi ? Alivaa suti wapi ?
Upinde unaufuata je yesu alikuwa upinde kama makanisa yenu yanavyofungisha ndoa kama sio wazungu ndo mnwaabudu?
Mkisha jua kuandika vingereza mnajitoa akili na kuwa na urimbukeni unao sababisha kitokwa na maneno machafu yanayo sukumwa na ushamba na chuki hisiyo na maanaWe unajuaje kwamba siku ya hukumu muislam ndo atapata faida.
"Whoever tells you he knows what will happen after you die, is either a fool or a lier" ifike mda mkue kutoka hizi Imani za kitoto na za kijinga. Mtu anapaa na farasi juu mbinguni Mara anatembelea Motoni sijui anaona Kuna wanawake wengi, [emoji1787]na nyie mnaskia hizi story mnaogopa...kweli dini ni bangi ya maskini
Kama uongo basi wewe sema ukweli ulivio sio kuishia kusema uongo tuHii ni uongo mkubwa sana. Inamaana wake zao na mama zao walitoka kwenye jamii gani Kama walikua hawataki watoto wa kike?
Hisitoria ya hilo jiwe hikoje mm siijui?Soma historia ya jiwe la Kaaba
Umeanza vizuli kuuliza muisho umevua suruali ukanyea bila hayaWe unajuaje kwamba siku ya hukumu muislam ndo atapata faida.
"Whoever tells you he knows what will happen after you die, is either a fool or a lier" ifike mda mkue kutoka hizi Imani za kitoto na za kijinga. Mtu anapaa na farasi juu mbinguni Mara anatembelea Motoni sijui anaona Kuna wanawake wengi, [emoji1787]na nyie mnaskia hizi story mnaogopa...kweli dini ni bangi ya maskini
Huyo ni mrokoleSurah majini wanaongea ndio nini? Hebu ongea kama msomi, sura gani, wanaongea nini etc
Hizi ni propaganda na zipo hata uende google ila sio ruhusa katika nchi za kiislamu ,hayo maandamano ni kwamba wanajua hakuna manipulation na hawaitambui ila upande fulani ndo hivyo.Mkuu hawa wapo kila mahali
Weiterleitungshinweis
www.google.com
![]()
Meet America’s first openly gay imam
He’s been condemned by other Muslim leaders, but Imam Daayiee Abdullah is proud of his storyamerica.aljazeera.com
Cha muhimu umekubali zipo na ni Waislam hao..Aljazeera hawawezi kuwazuliaHizi ni propaganda na zipo
Nionyeshe wapi wamefunga ndoa msikitini? kama hujui hao magays lazima wapingane na uislamu kwa vile uislamu uko strictly katika sharia hauna manipulation sijui nan kasema eti kama wanaofuata sangara kule Italy.Cha muhimu umekubali zipo na ni Waislam hao..Aljazeera hawawezi kuwazulia
Nionyeshe wapi wamefunga ndoa msikitini? kama hujui hao magays lazima wapingane na uislamu kwa vile uislamu uko strictly katika sharia hauna manipulation sijui nan kasema eti kama wanaofuata sangara kule Italy.
Katika uislamu hata wakubwa zako kawaulize wanajua hakuna huo ujinga kama hutoandamwa uchinjwe😅😅
😅😅😅Hamna kitu kama hicho unalazimisha.![]()
Britain's first Muslim gay wedding as man who tried to kill himself over sexuality ties knot
A Muslim man who tried to kill himself after being attacked over his sexuality is believed to have become the first of his faith in the UK to wed in a same-sex marriage.www.telegraph.co.uk
![]()
esbian Muslim couple from Iran tie the knot in Stockholm
Sahar Mosleh and Maryam Iranfar were married during Pride Week in the Swedish capital Stockholm by Imam Ludovic Mohamed Zahed.www.dailymail.co.uk
Na ingekuwa Kiarqbu ndo lugha ya Mungu, Basi kila mtu angezaliwa anaijuaQuran imeandikwa na waarabu ndo maana ni kiarabu. Mungu Hana lugha pendwa bana hebu tutokee
Mbona hujauliza kuhusu ukristo nao mavazi ya uchi majina taratibu vp hapouarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?
Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.
Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.
Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam
Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam
taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.
Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau
lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.
mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?