Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

Ni Jambo jema lakini kwa Karne hii mtihani mkubwa ni kumpata mwanamke atakayekubali kufunga ndoa bila sherehe kubwa. Wengi wanataka sherehe ya kifahari, msafara wa magari na miosho mingi ili mji mzima wajue kuwa ameolewa. Ukigusia swala la ndoa bila sherehe wanakukimbia
Kwahio hao ni wanaume kwa wanaume au ni malaika?? Acha upotoshaji
 
Inatia huruma nilichokiona hapo ni kuwa maharusi wanajioza hawaozwi na wazazi wala ndugu tofauti na makanisa mengine

Hiyo si nzuri kwa mahusiano ya wazazi na ndugu .Yaani kweli watu wanaoana hawana hata mzazi au ndugu wa kuwasindikiza wakishaoana wanaondoka kama wakiwa au yatima.Hivi kwa mtindo huo kuna hata mkwe au mzazi au ndugu atakwenda kukanyaga nyumbani kwa maharusi?

Huo mfumo unaua kabisa undugu.Wanatakiwa kuozwa sio kujioza ndio maana hata michango huwa haiitishwi na wanaooana huitishwa na wazazi au ndugu

Hata kipindi cha Yesu harusi zilikuwa sherehe mfano harusi ya kana

Hilo la watu kujiondokea tu utafikiri vibaka na kukimbilia daladala na bodaboda ni kudhalilisha ndoa
 
Inatia huruma nilichokiona hapo ni kuwa maharusi wanajioza hawaozwi na wazazi wala ndugu tofauti na makanisa mengine

Hiyo si nzuri kwa mahusiano ya wazazi na ndugu .Yaani kweli watu wanaoana hawana hata mzazi au ndugu wa kuwasindikiza wakishaoana wanaondoka kama wakiwa au yatima.Hivi kwa mtindo huo kuna hata mkwe au mzazi au ndugu atakwenda kukanyaga nyumbani kwa maharusi?

Huo mfumo unaua kabisa undugu.Wanatakiwa kuozwa sio kujioza ndio maana hata michango huwa haiitishwi na wanaooana huitishwa na wazazi au ndugu

Hata kipindi cha Yesu harusi zilikuwa sherehe mfano harusi ya kana

Hilo la watu kujiondokea tu utafikiri vibaka na kukimbilia daladala ni kudhalilisha ndoa
Umejuaje mkuu Kama wazazi wahakuwepo hapo
 
Umejuaje mkuu Kama wazazi wahakuwepo hapo
issue sio kuwepo kuhudhuria ibada ya kufunga harusi ila huo uondokaji una walakini na umeficha mengi ! Walitakiwa kusidikizwa na ndugu hata kama wanaenda kwao

Wamekaa kikiwa mno sio sawa mtu mwenye wazazi na ndugu na majirani na marafiki kuondoka hivyo kuna walakini!!!
 
issue sio kuwepo kuhudhuria ibada ya kufunga harusi ila huo uondokaji una walakini na umeficha mengi ! Walitakiwa kusidikizwa na ndugu hata kama wanaenda kwao

Wamekaa kikiwa mno sio sawa mtu mwenye wazazi na ndugu na majirani na marafiki kuondoka hivyo kuna walakini!!!
pengine nao wameondoka na usafiri wao au wanawasubili nyumbani
 
issue sio kuwepo kuhudhuria ibada ya kufunga harusi ila huo uondokaji una walakini na umeficha mengi ! Walitakiwa kusidikizwa na ndugu hata kama wanaenda kwao

Wamekaa kikiwa mno sio sawa mtu mwenye wazazi na ndugu na majirani na marafiki kuondoka hivyo kuna walakini!!!

Mijitu kama nyie ndio mNafanya hii dunia pahala pagumu pa kuishi
 
Vikao miezi 4, michango niyakuifukuzia, bajeti haiwiani na pesa mliyo ikusanya mnaingia madeni, kisa sherehe kubwaaa kama ya fulani mburaaaa, nikufunga ndoa halafu fyuuu jumbani kula kilichopo kesho yake kibaruani, wamependeza na kufanya lililojema.
 
Ni Jambo jema lakini kwa Karne hii mtihani mkubwa ni kumpata mwanamke atakayekubali kufunga ndoa bila sherehe kubwa. Wengi wanataka sherehe ya kifahari, msafara wa magari na miosho mingi ili mji mzima wajue kuwa ameolewa. Ukigusia swala la ndoa bila sherehe wanakukimbia
umeongea ukweli mkuu ambao wanawake wengi hawataki kuambiwa, nimesha wai kukombiwa live kabisa mkuu, nilienda mpaka kujitambulisha kwao, baadae nikamuambia kwanini tusifunge ndoa kanisani tukarudi nyumbani tukaweka bajeti ya watu 80 (40 upande wake 40 upande wangu ) tukafanya tafrija ndogo, mkuu ilikuwa vita, yule dada aliibuka na sauti ambayo sikuwai kuisikia kwa kusema rafki zake watamuonaje, kama ni ivyo bora ndoa yenyewe isiwepo, nikamuambia wasalimie, ni mwaka wa 4 sasaivi, na bado anasaga vumbi kutafuta ndoa
 
Vikao miezi 4, michango niyakuifukuzia, bajeti haiwiani na pesa mliyo ikusanya mnaingia madeni, kisa sherehe kubwaaa kama ya fulani mburaaaa, nikufunga ndoa halafu fyuuu jumbani kula kilichopo kesho yake kibaruani, wamependeza na kufanya lililojema.
umasikini huo, hakuna hoja hapo
 
umeongea ukweli mkuu ambao wanawake wengi hawataki kuambiwa, nimesha wai kukombiwa live kabisa mkuu, nilienda mpaka kujitambulisha kwao, baadae nikamuambia kwanini tusifunge ndoa kanisani tukarudi nyumbani tukaweka bajeti ya watu 80 (40 upande wake 40 upande wangu ) tukafanya tafrija ndogo, mkuu ilikuwa vita, yule dada aliibuka na sauti ambayo sikuwai kuisikia kwa kusema rafki zake watamuonaje, kama ni ivyo bora ndoa yenyewe isiwepo, nikamuambia wasalimie, ni mwaka wa 4 sasaivi, na bado anasaga vumbi kutafuta ndoa
Mkuu Shift soma hii .na usirudie kubisha Mambo usiyoyafahamu
 
Back
Top Bottom