Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

Siwezi kupingana na wazo lako maana hata kipato tunapishana, kwangu mimi walichokifanya ni sawa maana mengi ni ufahari wa ulimwenguni tu mkuu.
kwani kuna ulimwengu mwingine? Huyo anayewadanganya Kakobe anaishi kwa ulimwengu wa ufahari wa dunia hii kwa michango yenu eti sadaka! Mbona mnakuwa majuha? Anatembea kwa miguu huyo Kakobe? amejenga manzese? kuweni na akili nyie watu
 
umeongea ukweli mkuu ambao wanawake wengi hawataki kuambiwa, nimesha wai kukombiwa live kabisa mkuu, nilienda mpaka kujitambulisha kwao, baadae nikamuambia kwanini tusifunge ndoa kanisani tukarudi nyumbani tukaweka bajeti ya watu 80 (40 upande wake 40 upande wangu ) tukafanya tafrija ndogo, mkuu ilikuwa vita, yule dada aliibuka na sauti ambayo sikuwai kuisikia kwa kusema rafki zake watamuonaje, kama ni ivyo bora ndoa yenyewe isiwepo, nikamuambia wasalimie, ni mwaka wa 4 sasaivi, na bado anasaga vumbi kutafuta ndoa
Alikuwa sahihi kwanza hamkutakiwa kuongea nyie wawili harusi sijui wahudhurie wangapi hayo mngewaachia wazazi na ndugu wajadili kwenye vikao vyao .Hapi insonyesha na wewe ulikuwa unajioza mwenyewe hutaki kushirikisja wazazi wala ndugu !!!
 
Kwa taarifa wazazi na ndugu ndio huhusika sio wanaooana !!! Maharusi huwa hawahusiki kwa sehemu kubwa anabakije na madeni wakati anaozwa na hajiozi?
Kaka usikariri sana Maisha, familia zinatofautiana sana! Kuna wengine wanabahati sherehe ya harusi hubebwa na Wazazi wao,na wengine sherehe inakua Mzigo wa bwana harusi na Bibi harusi!, au Bwana harusi peke yake! Inategemea umetokea familia gani,ya mboga Saba au mboga moja tu!!
 
Alikuwa sahihi kwanza hamkutakiwa kuongea nyie wawili harusi sijui wahudhurie wangapi hayo mngewaachia wazazi na ndugu wajadili kwenye vikao vyao .Hapi insonyesha na wewe ulikuwa unajioza mwenyewe hutaki kushirikisja wazazi wala ndugu !!!
Katika sherehe yeyote, bwana harusi ndiyo mwenyekiti wa shughuli. Ingawa kuna kamati, Yeye ndiyo ana uamuzi wa mwisho katika maadhimio ya Kamati.
 
... poverty ni kitu kibaya sana! Wala kuwa maskini sio utakatifu au kinyume chake. Utakatifu ni kulishika na kuliishi neno la Mungu regardless ya kipato chako.
Kakobe kwenye account ana 8Billion, anaishi kwenye mansion, mapumziko Dubai.

Check waumini wake. Poverty stricken.

Hakuna namna yoyote ya kuhalalisha umasikini.Kanisa linashindwa kutenga hata 100M kuozesha waumini wake masikini hata 2 kwa mwaka.

Upuuzi tu, mwambie kakobe akapokee ndege kwa Jiwe. Aliona account zake zinakaguliwa ajajisalimishwa kwa muuaji Jiwe.

Tukio lenyewe linaonekana ni staged, mipicha kila hatua ( sijui ndio mbwembwe au KIKI ZA KIJUHA )

Kwahiyo tangu wanatoka nyumbani mlijua kabisa couple yao ni masikini na hawana usafiri, hivyo mkaandaa MIKAMERA.

Hata pesa ya bajaj Tsh 20,000 walikoswa.

Acheni ku- entertain umasikini kwa Kiki za kipumbavu.
 
umeongea ukweli mkuu ambao wanawake wengi hawataki kuambiwa, nimesha wai kukombiwa live kabisa mkuu, nilienda mpaka kujitambulisha kwao, baadae nikamuambia kwanini tusifunge ndoa kanisani tukarudi nyumbani tukaweka bajeti ya watu 80 (40 upande wake 40 upande wangu ) tukafanya tafrija ndogo, mkuu ilikuwa vita, yule dada aliibuka na sauti ambayo sikuwai kuisikia kwa kusema rafki zake watamuonaje, kama ni ivyo bora ndoa yenyewe isiwepo, nikamuambia wasalimie, ni mwaka wa 4 sasaivi, na bado anasaga vumbi kutafuta ndoa
Mshukuru Mungu huyo hakua mke mwema,bali alikua anataka ndoa kuwaonesha marafiki zake kua na yeye kaolewa na sherehee kubwa!!
 
Inatia huruma nilichokiona hapo ni kuwa maharusi wanajioza hawaozwi na wazazi wala ndugu tofauti na makanisa mengine

Hiyo si nzuri kwa mahusiano ya wazazi na ndugu .Yaani kweli watu wanaoana hawana hata mzazi au ndugu wa kuwasindikiza wakishaoana wanaondoka kama wakiwa au yatima.Hivi kwa mtindo huo kuna hata mkwe au mzazi au ndugu atakwenda kukanyaga nyumbani kwa maharusi?

Huo mfumo unaua kabisa undugu.Wanatakiwa kuozwa sio kujioza ndio maana hata michango huwa haiitishwi na wanaooana huitishwa na wazazi au ndugu

Hata kipindi cha Yesu harusi zilikuwa sherehe mfano harusi ya kana

Hilo la watu kujiondokea tu utafikiri vibaka na kukimbilia daladala na bodaboda ni kudhalilisha ndoa
Kwahio Majizo yeye ni kibaka pia maana alifunga ndoa siku ya jumanne na kurudi ofisini kuendelea na ujenzi wa taifa. Bila msafara wala mbwembwe.
 
Kaka usikariri sana Maisha, familia zinatofautiana sana! Kuna wengine wanabahati sherehe ya harusi hubebwa na Wazazi wao,na wengine sherehe inakua Mzigo wa bwana harusi na Bibi harusi!, au Bwana harusi peke yake! Inategemea umetokea familia gani,ya mboga Saba au mboga moja tu!!
Si kweli .Hakuna familia itashindwa kubeba gharama za harusi tatizo ni waoanaji tu mfano mtu ndugu zake wote wako kijijini .Mjini yuko peke yake anataka harusi afanyie mjini kwenye kumbi za gharama kubwa !!! wale wa kijijini uwezo wanao wa kule kijijini angernda kufungia kule wangetoa michango ya harusi mfano kuku wa sherehe mbuzi mazao kwa ajili ya chakula nk na sherehe inafanyika nyumbani kwa wazazi hakuna kuchapisha kadi wala nini watu wanakula hadi kusaza na wenye mtoto na ukoo wanafurahi na kijiji kinafurahi
 
Back
Top Bottom