Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

Kuna baadhi ya wanao koment naona kama ndugu moja na mwandishi wa mada, kuna nini hapo?

Alafu mapicha picha kama yote kuna kitu mmepanga si kutujuza tu ila something behind!!.
 
Aisee safi sana,,nimeipenda hiyo.Japo ndoa ni sherehe muhimu sana kwa binadamu lakini kama uwezo hamna isilazimishwe sherehe watu wakaingia madeni....Hongera Askofu
... tatizo sio ndoa wala kipato; tatizo ni publicity. Kuna ujumbe gani wanataka ku-convey kwa jamii? Unadhani ni wao tu hufunga ndoa za makundi? Makanisa yote yana taratibu za aina hiyo. Mnafungishwa then mnasepa zenu kuendelea na majukumu mengine bila publicity.
 
Nchi ni ngumu haswaa...Yani hawa raia wameamua kukaza ubongo kwamba hata picha hawakutakiwa kupiga.

Unajua pengine umekuwa ni utamaduni wa muda mrefu tu hapo kanisani ila sasa mtu kaamua kuufanya habari ila nalo limekuwa nongwa. Hivi kweli unaweza kuoa ukiwa maskini yani 0.000% kimaisha? Huyo mke utamlisha nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
... tatizo sio ndoa wala kipato; tatizo ni publicity. Kuna ujumbe gani wanataka ku-convey kwa jamii? Unadhani ni wao tu hufunga ndoa za makundi? Makanisa yote yana taratibu za aina hiyo. Mnafungishwa then mnasepa zenu kuendelea na majukumu mengine bila publicity.
Publicity ndio utandawazi wenyewe mkuu😝!
Sasa bila wao kupost si tungejuaje kuna ndoa za hivyo kwa kakobe
 
Mkuu mimi nimesali sana kwa Kakobe hapo mwaka 2014/2015.

Pia harusi za hivyo au cheapest kuliko hizo ni nyingi tu huku mtaani kwetu.

Kijijini kwetu kuna jamaa alikuwa 44 of age hata mahali hana, akataka kumwoa mtoto wa mchungaji wetu alikuwa, binti 25.

Ikabidi mchungaji amkopeshe ( yaani amfungishe ndoa tu freely ) mahari akipata ataleta.

Tena ilikuwa tu Jumamosi wakala viapo wakasepa.

Sioni kama ni jambo la kushangaza sana.
Huyo msichana na mchungaji wote wajinga kabisa mtu hana kitu unaoza mwanao ataishije huko si atakufa njaa.Mchungaji hakumtendea haki binti yake na binti hakujitendea haki kabisa

mtu hana kitu akatafute kwanza
 
Huyo msichana na mchungaji wote wainga kabisa mtu hana kitu unaoza mwanao ataishije huko si atakufa njaa.Mchungaji hakumtendea haki binti yake na binti hakujitendea haki kabisa

mtu hana kitu akatafute kwanza
Hahahah watakula madhabahuni mkuu, sababu watu wa design hio ndio wale waimba kwaya na wadekiji kanisa😂😝😝
 
Vizuri kuishi ndani ya uwezo wako, kuliko kufa kwa aibu

 
Huyo msichana na mchungaji wote wainga kabisa mtu hana kitu unaoza mwanao ataishije huko si atakufa njaa.Mchungaji hakumtendea haki binti yake na binti hakujitendea haki kabisa

mtu hana kitu akatafute kwanza
Yule jamaa inaonekana ni wale wazee wa shule mpaka wanajisahau. Unasoma weee, wakati huna kazi au kipato CHOCHOTE.

Maana hata siku ya ndoa wazazi wake walikuwepo.
Pia mchungaji alihofu, maana unaweza kumkatalia mwanao kwa umri huo halafu akazalishwa nyumbani ikawa aibu kwake.
 
Mnichukulie mtakavyonichukulia ila hichi kitendo kingekuwa kinafanywa na madhehebu mengine ya kikristo vijana tusingesita kuoa kwa ndoa takatifu bila ya gharama kubwa kama mara kamati mara mapambo sijui ukumbi that is nothing!..angalia wenzetu ndoa za kiislamu zilivyo cheap ku afford yani baada ya kukubaliana ata kutanguliza mahali shekh anaitwa mkeka unawekwa ndoa inafungwa kiukweli huwa napendezwa sana watu wakila wali wa kawaida kabisa.Hata leo hii tuseme tupige paranja la vijana kwa sisi WAKRISTO na WAISLAMU waislamu wengi wamefunga ndoa🙏🙏🙏🙏
 
Mnichukulie mtakavyonichukulia ila hichi kitendo kingekuwa kinafanywa na madhehebu mengine ya kikristo vijana tusingesita kuoa kwa ndoa takatifu bila ya gharama kubwa kama mara kamati mara mapambo sijui ukumbi that is nothing!..angalia wenzetu ndoa za kiislamu zilivyo cheap ku afford yani baada ya kukubaliana ata kutanguliza mahali shekh anaitwa mkeka unawekwa ndoa inafungwa kiukweli huwa napendezwa sana watu wakila wali wa kawaida kabisa.Hata leo hii tuseme tupige paranja la vijana kwa sisi WAKRISTO na WAISLAMU waislamu wengi wamefunga ndoa🙏🙏🙏🙏
Uislam dini nzuri sana kwenye upande wa kuoa 😂😂😂,,, pisi 4 za kwenda ruksa kuzimiliki kwa gharama ya chupa za chai na mandazi tu.
 
Mimi ni miongoni mwa ndugu niliekuwepo. Ndugu tulikuwa wengi sana.
Huo uondokaji wa maharusi unajieleza wenyewe kuwa hakuba cha ndugu wala jirani wala wazazi wala marafiki wa kusindikiza watoto wao baada ya ndoa kanisani!!! aisee yaani hata waumini wenzao tu kuwasindikiza hakuna!!!! Hii kali.Mungu awasaidie kwenye maisha yao ya upweke waliyoanza nayo kanisani kwenye ndoa yao

Hii kitu wazazi na ndugu na marafiki na majirani wanaowafahamu wakiziona hizi picha wengi roho zitawauma sana yaani siku ya ndoa watu wanakuwa wakiwa hivyo inatia huruma
 
Yule jamaa inaonekana ni wale wazee wa shule mpaka wanajisahau. Unasoma weee, wakati huna kazi au kipato CHOCHOTE.

Maana hata siku ya ndoa wazazi wake walikuwepo.
Pia mchungaji alihofu, maana unaweza kumkatalia mwanao kwa umri huo halafu akazalishwa nyumbani ikawa aibu kwake.
Tatizo si umri tatizo hana kitu atatesa mtoto wa watu mchungaji alitakiwa amweleze live huna kitu huwezi oa binti yangu atakosa matubzo kwako na utaingia kwenye dhambi sababu Biblia inasema mtu asiyetunza wa kwao ni mbaya kuliko asiyeamini

Huyo mzee hakutakiwa kuozwa mke hana kitu huyo
 
Mnichukulie mtakavyonichukulia ila hichi kitendo kingekuwa kinafanywa na madhehebu mengine ya kikristo vijana tusingesita kuoa kwa ndoa takatifu bila ya gharama kubwa kama mara kamati mara mapambo sijui ukumbi that is nothing!..angalia wenzetu ndoa za kiislamu zilivyo cheap ku afford yani baada ya kukubaliana ata kutanguliza mahali shekh anaitwa mkeka unawekwa ndoa inafungwa kiukweli huwa napendezwa sana watu wakila wali wa kawaida kabisa.Hata leo hii tuseme tupige paranja la vijana kwa sisi WAKRISTO na WAISLAMU waislamu wengi wamefunga ndoa🙏🙏🙏🙏
Tofautisha kati ya NDOA na SHEREHE.

NDOA haijawahi kuwa na GHARAMA kubwa hata siku moja.

Narudia tena NDOA haijawahi kuwa na GHARAMA.

Fungeni ndoa kama mnataka kuoana, achaneni na SHEREHE.

Unless useme labda kikwazo ni MAHARI, kitu ambacho kanisa halihusiki bali ni makubaliano ya wazazi.
 
Ndio utaratibu tuliojiwekea..... yes ni element ya umasikini ukiwa na hela za kumwaga, nawaita watu waje kula na kunywa basi.......... nakubaliana na wewe ingawa wengie wasipochangia hawaji maana utawabeza....
Yaani huo ni utaratibu wa kimasikini,umewalemaza watu wengi sana,hadi wengine wakiwa na birthday party nao wanataka wachangishe Michango pia!! Sherehe ni yako zama mfukoni mwako alafu fanya Mambo watu wako wafurahi kuliko kuwakera na Michango ya hovyo!!
 
Tatizo si umri tatizo hana kitu atatesa mtoto wa watu mchungaji alitakiwa amweleze live huna kitu huwezi oa binti yangu atakosa matubzo kwako na utaingia kwenye dhambi sababu Biblia inasema mtu asiyetunza wa kwao ni mbaya kuliko asiyeamini

Huyo mzee hakutakiwa kuozwa mke hana kitu huyo
Kuna watu wengi tu wanaoa, halafu wanakaa nyumbani.

Kwahiyo bread winner wa nyumbani kama ni baba au mama ndio atahusika kote.

Mtu kama huyo, hata kuoa unaweza kukuta ni shinikizo la wazazi wake.
 
Uislam dini nzuri sana kwenye upande wa kuoa 😂😂😂,,, pisi 4 za kwenda ruksa kuzimiliki kwa gharama ya chupa za chai na mandazi tu.
pilau huliwa sana mkuu Maharusi husindikizwa na ndugu marafiki majirani nk sherehe huwepo
 
Back
Top Bottom