covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Zipo raumHakuna gari ya 12m kutoka Japan baada ya kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo raumHakuna gari ya 12m kutoka Japan baada ya kodi
🤣🤣🤣🤣khaUnataka afe hujaona kaandika anataka gari ya 10 to 15km/lt inamaana huyu ni maskini anataka gari ili avimbe kodogo
Kwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuuWakuu habari za asubuhi.
Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.
Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10m - 12m. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.
Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.
Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.
Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Zipo za 5 na za 7 piaSio 5?
Brevis 17 hado20 milVp brevs haiendani na bajeti yake?
Nimenunua ya staff mwenzangu mwaka jana kwa 12 mil hadi inamfikia so usibishane bila evidencesHakuna gari ya 12m kutoka Japan baada ya kodi
Ana familia ya watu 6 wengine watapakatana,Kwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuu
Toyota CAMIView attachment 2581864
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Kwanza ground clearance ni kubwa kuliko gari unazoshauriwa Raum, Premio na Spacio na bado ina sifa nyingine nyiingi kuzi zidi na ni offroad vehicle achilia mbali mwonekano wake kama prado[emoji2956][emoji2960]
Sijui kwa nini mimi mwenyewe siipendi kabisa. Imekaa kama bata. Hata kwenye ramani haipo. Achukue Raum,ukiwa mwaminifu kwenye magari itakubeba. Ila sina uhakika kwa 12m. Nahisi inacheza 15 sasaIst itakua poa spacio gari za kishamba achana nazo
Nimenunua ya staff mwenzangu mwaka jana kwa 12 mil hadi inamfikia so usibishane bila evidences
Ataipata kwa hiyo budget yake ya million 10 mpaka 15 ?Kwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuu
Toyota CAMIView attachment 2581864
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Kwanza ground clearance ni kubwa kuliko gari unazoshauriwa Raum, Premio na Spacio na bado ina sifa nyingine nyiingi kuzi zidi na ni offroad vehicle achilia mbali mwonekano wake kama prado[emoji2956][emoji2960]
Hapo bado bei yakununulia, freight na port charges View attachment UMVVS_Valuation (2).pdfZipo raum
Hawawezi kuondoka wote nyumbani! Hata hivyo mmoja atakaa nyuma!Ana familia ya watu 6 wengine watapakatana,
Anaweza kuipata! Used tu 5.5 unaipata sembuse hayo ma kumi!!? Dar es salaam kila kitu kinapatikanaAtaipata kwa hiyo budget yake ya million 10 mpaka 15 ?
Muelekeze Sasa ataipataje..Anaweza kuipata! Used tu 5.5 unaipata sembuse hayo ma kumi!!? Dar es salaam kila kitu kinapatikana
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Aingie BE_FOWARD au SBT JAPAN asiumize kichwa watampa gharama ya kila kitu hata mpaka akitaka kupelekewa mlangoni kabisaMuelekeze Sasa ataipataje..