Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Chukua chuma hiki,kitakufaa kabisa kwa bajeti yako

TRA Used Motor Vehicle Valuation Details
Reference Number:22233056322
Make:MAZDA
Model:DEMIO - DE3/DE5
Body Type:HATCHBACK
Year of Manufacture:2008
Country:JAPAN
Fuel Type:PETROL
Engine Capacity:1001 - 1500 CC
Customs Value CIF (USD):1,779.97
Import Duty (USD):444.99
Excise Duty (USD):111.25
Excise Duty due to Age (USD):667.49
VAT (USD):582.30
Custom Processing Fee (USD):10.68
Railway Dev Levy (USD):26.70
Total Import Taxes (USD):1,843.41
Total Import Taxes (TSHS):4,278,308.42
Vehicle Registration Fee (TSHS):450,000.00
TOTAL TAXES (TSHS):4,728,308.42
BN352370_ec5981.jpeg
 
Sijui kwa nini mimi mwenyewe siipendi kabisa. Imekaa kama bata. Hata kwenye ramani haipo. Achukue Raum,ukiwa mwaminifu kwenye magari itakubeba. Ila sina uhakika kwa 12m. Nahisi inacheza 15

Kwa sababu anakaa rough road sana Carina T.i pia itamfaa sana Ile chuma ni ngumu body yake raum Barbara mbovu inachoka vibaya Yani .
 
Chukua chuma hiki,kitakufaa kabisa kwa bajeti yako

TRA Used Motor Vehicle Valuation Details
Reference Number:22233056322
Make:MAZDA
Model:DEMIO - DE3/DE5
Body Type:HATCHBACK
Year of Manufacture:2008
Country:JAPAN
Fuel Type:PETROL
Engine Capacity:1001 - 1500 CC
Customs Value CIF (USD):1,779.97
Import Duty (USD):444.99
Excise Duty (USD):111.25
Excise Duty due to Age (USD):667.49
VAT (USD):582.30
Custom Processing Fee (USD):10.68
Railway Dev Levy (USD):26.70
Total Import Taxes (USD):1,843.41
Total Import Taxes (TSHS):4,278,308.42
Vehicle Registration Fee (TSHS):450,000.00
TOTAL TAXES (TSHS):4,728,308.42

View attachment 2582001
Ana familia ya watu 6.
 
Wakuu habari za asubuhi.

Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.

Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10m - 12m. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.

Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.

Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.

Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.

Natanguliza shukrani za dhati.

Ongeza 1M agiza Carina TI
Huwezi pata 7seater kwa hiyo budget za ya kupigwa
Au uamue kumvua mtu Wish au Sienta thou kwa hayo mazingira zitakutesa.

Ningekuwa mimi ndo wew ningevumilia kidogo nkajichanga ikafika 16 afu nkavuta Honda CrossRoad[emoji119]

Kwa maelezo yako yanaangukia kene iyo Honda basi
 
Kwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuu


Toyota CAMIView attachment 2581864

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app


Kwanza ground clearance ni kubwa kuliko gari unazoshauriwa Raum, Premio na Spacio na bado ina sifa nyingine nyiingi kuzi zidi na ni offroad vehicle achilia mbali mwonekano wake kama prado[emoji2956][emoji2960]
Unataka aue familia Disemba wakati anaenda kijijini umbali wa km 1150?
 
Ushauri wangu ongeza hela upate chombo kizuri utaenda kwa wajanja watakushikisha kisa hela ndogo na unataka kitu kizuri. Au nunua mkononi zipo gari hadi za lakitisa😆😆😆
Niongeze tsh ngapi kwenye hiyo bajeti yangu nipate kitu kizuri? Unashauri gari gani mkuu? Hembu funguka kidogo
 
Kwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuu


Toyota CAMIView attachment 2581864

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app


Kwanza ground clearance ni kubwa kuliko gari unazoshauriwa Raum, Premio na Spacio na bado ina sifa nyingine nyiingi kuzi zidi na ni offroad vehicle achilia mbali mwonekano wake kama prado[emoji2956][emoji2960]
Nashukuru kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom