PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Tafuta Carina TI umalize ubishani wa kubeti..
Hiyo chuma imezaliwa Kwaajili ya mateso ya barabarani
Hiyo chuma imezaliwa Kwaajili ya mateso ya barabarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
| Reference Number: | 22233056322 |
| Make: | MAZDA |
| Model: | DEMIO - DE3/DE5 |
| Body Type: | HATCHBACK |
| Year of Manufacture: | 2008 |
| Country: | JAPAN |
| Fuel Type: | PETROL |
| Engine Capacity: | 1001 - 1500 CC |
| Customs Value CIF (USD): | 1,779.97 |
| Import Duty (USD): | 444.99 |
| Excise Duty (USD): | 111.25 |
| Excise Duty due to Age (USD): | 667.49 |
| VAT (USD): | 582.30 |
| Custom Processing Fee (USD): | 10.68 |
| Railway Dev Levy (USD): | 26.70 |
| Total Import Taxes (USD): | 1,843.41 |
| Total Import Taxes (TSHS): | 4,278,308.42 |
| Vehicle Registration Fee (TSHS): | 450,000.00 |
| TOTAL TAXES (TSHS): | 4,728,308.42 |
Sijui kwa nini mimi mwenyewe siipendi kabisa. Imekaa kama bata. Hata kwenye ramani haipo. Achukue Raum,ukiwa mwaminifu kwenye magari itakubeba. Ila sina uhakika kwa 12m. Nahisi inacheza 15
Ana familia ya watu 6.Chukua chuma hiki,kitakufaa kabisa kwa bajeti yako
TRA Used Motor Vehicle Valuation Details
Reference Number: 22233056322 Make: MAZDA Model: DEMIO - DE3/DE5 Body Type: HATCHBACK Year of Manufacture: 2008 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 1001 - 1500 CC Customs Value CIF (USD): 1,779.97 Import Duty (USD): 444.99 Excise Duty (USD): 111.25 Excise Duty due to Age (USD): 667.49 VAT (USD): 582.30 Custom Processing Fee (USD): 10.68 Railway Dev Levy (USD): 26.70 Total Import Taxes (USD): 1,843.41 Total Import Taxes (TSHS): 4,278,308.42 Vehicle Registration Fee (TSHS): 450,000.00 TOTAL TAXES (TSHS): 4,728,308.42
View attachment 2582001
Wakuu habari za asubuhi.
Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.
Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10m - 12m. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.
Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.
Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.
Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Ina siti 5 hiyo,mmoja atabaki kulinda nyumba 😀😀Ana familia ya watu 6.
Unataka aue familia Disemba wakati anaenda kijijini umbali wa km 1150?Kwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuu
Toyota CAMIView attachment 2581864
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Kwanza ground clearance ni kubwa kuliko gari unazoshauriwa Raum, Premio na Spacio na bado ina sifa nyingine nyiingi kuzi zidi na ni offroad vehicle achilia mbali mwonekano wake kama prado[emoji2956][emoji2960]
Kwa mahesabu ya nauli ya watu 6 ni bora kutumia private tu,mana umbali huo nauli ya mtu mmoja si chini ya elfu 50,plus vurug za wapiga debe,daladala na mambo kibaoooo,private ni bora asilimia 100.1150KM Kwenda kwa wazazi ni bora kutumia basi tu, labda kama lengo ni kishoka.
Unataka afe hujaona kaandika anataka gari ya 10 to 15km/lt inamaana huyu ni maskini anataka gari ili avimbe kodogo
Tafuta Carina TI umalize ubishani wa kubeti..
Hiyo chuma imezaliwa Kwaajili ya mateso ya barabarani
15MKwa gari walizopendekeza wadau i.e raum, spacio na premio zina range tsh ngapi?
Niongeze tsh ngapi kwenye hiyo bajeti yangu nipate kitu kizuri? Unashauri gari gani mkuu? Hembu funguka kidogoUshauri wangu ongeza hela upate chombo kizuri utaenda kwa wajanja watakushikisha kisa hela ndogo na unataka kitu kizuri. Au nunua mkononi zipo gari hadi za lakitisa😆😆😆
NakaziaTafuta Carina TI umalize ubishani wa kubeti..
Hiyo chuma imezaliwa Kwaajili ya mateso ya barabarani
Nashukuru kwa ushauri mkuuKwa maelezo uliyo toa Tua hapa mkuu
Toyota CAMIView attachment 2581864
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Kwanza ground clearance ni kubwa kuliko gari unazoshauriwa Raum, Premio na Spacio na bado ina sifa nyingine nyiingi kuzi zidi na ni offroad vehicle achilia mbali mwonekano wake kama prado[emoji2956][emoji2960]