Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Shem Nina Maoni tofaut kidogo na wengine hvyo km itakupendeza waweza kufuata.
Nashaur uchukuwe Used hapa hapa Bongo gar aina ya Mitsubish Outlander.
Itakufaa sana kwakuwa ni 7seat, Cormfortable, Stability, na Spear zake naona sikuhz zipo nying tuh Madukan ila bei kidogo imechangamka.

Halafu siyo Unamiliki gar ambayo ni Uniform kila sehem ukipita unazikuta.
km Ist, Spacio, na The like.

Sory Jaman kwa wamiliki wa Gr hizo[emoji1][emoji2][emoji2]
Shem nashukuru kwa ushauri wako! Baada ya kunishauri, nimeingia google ili nijiridhishe na hiyo gari. Ni kweli gari ni nzuri ila sasa inaonekana kwenye ulaji wa mafuta itakuwa changamato. Nyingi zina cc 2,350, 2,400, 2,000 na 1,900 ambayo naona nitashindwa kuitumia kama nilivyoeleza kwenye bandiko langu. Nimeshafanya makadirio ya matumizi ya mafuta yasizidi lita 2 kwa siku, yaani Tsh.6,000/day, ambayo ni 180,000/= kwa mwezi. Ndiyo maana nikasema gari inayotumia 1lt/10 - 15Km itanifaa zaidi.
 
Nimeendelea kufanya utafiti nimegundua zipo gari nyingi ambazo ni familly car na zina ukubwa wa engine (CC) wa kawaida tu kama vile HONDA STREAM, VOLKSWAGEN TOURAN, MAZIDA PREMACY, SUBARU EXIGA, TOYOTA SIENTA, n.k lakini upatikanaji wa spea ndiyo tatizo na zipo chini sana (ground clearance) maana matumizi yangu yanahusisha mchanganyiko wa njia za vumbi na lami. Mpaka sasa ninafikiria Spacio, Raum na Honda CR-V, bajeti zake naweza kuongezea kidogo nikapata.
 
Nimeendelea kufanya utafiti nimegundua zipo gari nyingi ambazo ni familly car na zina ukubwa wa engine (CC) wa kawaida tu kama vile HONDA STREAM, VOLKSWAGEN TOURAN, MAZIDA PREMACY, SUBARU EXIGA, TOYOTA SIENTA, n.k lakini upatikanaji wa spea ndiyo tatizo na zipo chini sana (ground clearance) maana matumizi yangu yanahusisha mchanganyiko wa njia za vumbi na lami. Mpaka sasa ninafikiria Spacio, Raum na Honda CR-V, bajeti zake naweza kuongezea kidogo nikapata.
Ongeza ongeza kidogo ununue Premio ya CC 1490 au ya CC 1790.
 
Shem Nina Maoni tofaut kidogo na wengine hvyo km itakupendeza waweza kufuata.
Nashaur uchukuwe Used hapa hapa Bongo gar aina ya Mitsubish Outlander.
Itakufaa sana kwakuwa ni 7seat, Cormfortable, Stability, na Spear zake naona sikuhz zipo nying tuh Madukan ila bei kidogo imechangamka.

Halafu siyo Unamiliki gar ambayo ni Uniform kila sehem ukipita unazikuta.
km Ist, Spacio, na The like.

Sory Jaman kwa wamiliki wa Gr hizo[emoji1][emoji2][emoji2]
Nakazia
Mshua's
 
Ingia zenji lenga Suzuki Escudo old Kwa million 6 imenyoka sn , hutajuta. ushuru kama million 2.5 hv, chukua kuanzia namba H kushuka chini, million moja njoo piga rangi na sofa ndani, umemaliza , gari ngumu ipo juu ,ina 4WD, cc 1590. Unataka nn tena hapo ..
FB_IMG_1680725690608.jpg
FB_IMG_1670557052051.jpg
 
Wakuu habari za asubuhi.

Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.

Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.

Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.

Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.

Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.

Natanguliza shukrani za dhati.
Probox muzee.
 
Ingia zenji lenga Suzuki Escudo old Kwa million 6 imenyoka sn , hutajuta. ushuru kama million 2.5 hv, chukua kuanzia namba H kushuka chini, million moja njoo piga rangi na sofa ndani, umemaliza , gari ngumu ipo juu ,ina 4WD, cc 1590. Unataka nn tena hapo ..View attachment 2591710View attachment 2591712
Mkuu nashukuru kwa ushauri. Hii unamvua mtu au inauzwa showroom?
 
Probox muzee.
Nasikia Succeed ndiyo ipo vizuri kuliko Probox. Halafu, hizi gari wanasema zinasimamishwa sana njiani na matrafic ukiwa highway, wanadai zinatumika kubeba magendo na kujaza watu wengi kwenye buti. So, type ya watu wanaomiliki inaonekana wana matumizi mabaya ya haya magari. Naogopa nisije nikaharibu status yangu mtaani........
 
Nasikia Succeed ndiyo ipo vizuri kuliko Probox. Halafu, hizi gari wanasema zinasimamishwa sana njiani na matrafic ukiwa highway, wanadai zinatumika kubeba magendo na kujaza watu wengi kwenye buti. So, type ya watu wanaomiliki inaonekana wana matumizi mabaya ya haya magari. Naogopa nisije nikaharibu status yangu mtaani........
Poa...Allex vipi?
 
Hiyo hela yote Ukilimia matikiti heka 20 unapata faida million 90
 
Back
Top Bottom