Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

TOYOTA SIENTA 2009
On sale
Engine cc:1490
Low mileage

Ask for price: 10,800,000/=

Standard features
Automatic transmission
⛽ petrol
Full ac
Rervace camera
New tyres
No mechanical problem

Location: Dar es salaam
IMG-20230420-WA0024.jpg
IMG-20230420-WA0025.jpg
IMG-20230420-WA0024.jpg
IMG-20230420-WA0025.jpg
IMG-20230420-WA0026.jpg
IMG-20230420-WA0026.jpg
IMG-20230420-WA0025.jpg
IMG-20230420-WA0024.jpg
IMG-20230420-WA0028.jpg
IMG-20230420-WA0023.jpg
IMG-20230420-WA0022.jpg
 
Toyota SUCCEED TX

Year 2003
Cc 1500
PUSH START
15.5 Mil

Registration free
IMG-20230418-WA0060.jpg
IMG-20230418-WA0055.jpg
IMG-20230418-WA0057.jpg
IMG-20230418-WA0056.jpg
IMG-20230418-WA0054.jpg
IMG-20230418-WA0059.jpg
IMG-20230418-WA0058.jpg
 
Toyota IST

Year: 2003
Cc 1300
16.5 Mil
SPORTS RIM
Registration free
IMG-20230420-WA0048.jpg
IMG-20230420-WA0045.jpg
IMG-20230420-WA0049.jpg
IMG-20230420-WA0047.jpg
IMG-20230420-WA0044.jpg
IMG-20230420-WA0043.jpg
IMG-20230420-WA0046.jpg
 
Toyota IST (EBL
Yom 2003
Cc 1290
Low mileage

Android & music
New tyres
Gari ni mpya.
Price mil 15
IMG-20230420-WA0035.jpg
IMG-20230420-WA0034.jpg
IMG-20230420-WA0033.jpg
IMG-20230420-WA0039.jpg
IMG-20230420-WA0040.jpg
IMG-20230420-WA0038.jpg
IMG-20230420-WA0036.jpg
IMG-20230420-WA0037.jpg
 
Wakuu kwema? Baadna ya kupita pita kwenye mitandao nimekutana na subaru forester x20 ya mwaka 2003, cc 1990, TA-SG5 kutoka Japan. Gharama yake inafika 13.5m. Naomba kujua kuna gharama gani zingine ukiacha hizi za CRF + TRA?. Pia, nimepata Spacio new model kwa 10.5, hii ni ya kumvua mtu, ipo Dar, naombeni ushauri kuhusiana na hizi gari 2
 
Wakuu kwema? Baadna ya kupita pita kwenye mitandao nimekutana na subaru forester x20 ya mwaka 2003, cc 1990, TA-SG5 kutoka Japan. Gharama yake inafika 13.5m. Naomba kujua kuna gharama gani zingine ukiacha hizi za CRF + TRA?. Pia, nimepata Spacio new model kwa 10.5, hii ni ya kumvua mtu, ipo Dar, naombeni ushauri kuhusiana na hizi gari 2
Clearance kati ya 300,000 mpaka 500,000

Usajiri 500,000

Bima, hii hutegemea unataka kukata bima aina gani.

Service ya awali kabla hujaanza kuitumia.

Kununua taili kama zilizopo si nzuri.

Mafuta ya kuanzia.

All the best
 
Clearance kati ya 300,000 mpaka 500,000

Usajiri 500,000

Bima, hii hutegemea unataka kukata bima aina gani.

Service ya awali kabla hujaanza kuitumia.

Kununua taili kama zilizopo si nzuri.

Mafuta ya kuanzia.

All the best
Hizo gharama za clearance na usajiri hazijumuishwi kwenye malipo ya TRA?
 
Clearance kati ya 300,000 mpaka 500,000

Usajiri 500,000

Bima, hii hutegemea unataka kukata bima aina gani.

Service ya awali kabla hujaanza kuitumia.

Kununua taili kama zilizopo si nzuri.

Mafuta ya kuanzia.

All the best
Bima nimeona ipo included kwenye gharama za ununuzi kwa kampuni ya SBT Tanzania, ni USD 30. Sasa hiyo sijui ni aina gani ya bima?
 
Hizo gharama za clearance na usajiri hazijumuishwi kwenye malipo ya TRA?
Gharama za clearance hazihusiki huko TRA. Hiyo kazi hufanywa na kampuni au mtu binafsi. Inawezekana ikafanywa na kampuni ambayo umenunua gari kwao, au ikafanywa na kampuni nyingine.
 
Nasikia hii unalipia kila siku. Kadri unavyochelewa kwenda kuchukua gari, ndivyo inazidi kuongezeka
Gari hutakiwa kufanyiwa clearance ndani ya siku 7 tangu lifike. Zikipita siku 7, unaanza kulipia port charges. Kama unaagiza gari, lipia hadi gharama za clearance. Wao watakupigia tu ukachukue gari lako ofisini kwao wakiwa wamemaliza kila kitu.
 
Nasikia hii unalipia kila siku. Kadri unavyochelewa kwenda kuchukua gari, ndivyo inazidi kuongezeka
Gari hutakiwa kufanyiwa clearance ndani ya siku 7 tangu lifike. Zikipita siku 7, unaanza kulipia port charges. Kama unaagiza gari, lipia hadi gharama za clearance. Wao watakupigia tu ukachukue gari lako ofisini kwao wakiwa wamemaliza kila kitu
Bima nimeona ipo included kwenye gharama za ununuzi kwa kampuni ya SBT Tanzania, ni USD 30. Sasa hiyo sijui ni aina gani ya bima?
Hiyo huwa ni bima ya safarini wakati meli inatoka huko iliko kuleta mzigo huku. Ikitokea meli imezama, basi wao wana jukumu la kukuletea gari jingine lenye thamani kama ile ya gari lililopita. Gari ikifika huku utatakiwa kuikatia bima ya huku. Utachagua sasa kati ya bima ndogo (laki na 18) au bima kubwa (3% ya thamani ya gari).
 
Wakuu kwema? Baadna ya kupita pita kwenye mitandao nimekutana na subaru forester x20 ya mwaka 2003, cc 1990, TA-SG5 kutoka Japan. Gharama yake inafika 13.5m. Naomba kujua kuna gharama gani zingine ukiacha hizi za CRF + TRA?. Pia, nimepata Spacio new model kwa 10.5, hii ni ya kumvua mtu, ipo Dar, naombeni ushauri kuhusiana na hizi gari 2
Kama lengo kubwa ni fuel consumption, achana na magari yenye zaidi ya 1500cc. Mbali ya CIF na TRA, gharama nyingine ni za bima na bandarini (hizi in most cases huwa hazizidi milioni 1).
 
Wakuu kwema? Baadna ya kupita pita kwenye mitandao nimekutana na subaru forester x20 ya mwaka 2003, cc 1990, TA-SG5 kutoka Japan. Gharama yake inafika 13.5m. Naomba kujua kuna gharama gani zingine ukiacha hizi za CRF + TRA?. Pia, nimepata Spacio new model kwa 10.5, hii ni ya kumvua mtu, ipo Dar, naombeni ushauri kuhusiana na hizi gari 2
Usinunue gari l mkononi Tanzania hii.utajuta mtanzania akiuza kitu chake ujue kibovu kabisa kina msumbua. Kama huna pesa subilia upate kisha uagize nje tu.
Asante.
 
Back
Top Bottom