Ni simu nzuri sana hii nilitaka pia nii suggest achukue..Kwa used hii budget unapata xperia 5 II simu nzuri zaidi kwa hio budget sema around 330,000 ni sweet spot ila kama unaongea sana 320,000 pia waweza pata. Ina tick matumizi yako yote hayo. Sema display yake ni nyembamba halafu ndefu uangalie kwanza kama unaweza ishi na remote.
Kwa mpya redmi 12C sema camera ya kawaida sana. Ila storage, battery na display ukubwa vinakidhi mahitaji
Redmi note 12,Mimi nina 400K ipi kali nichukue wakuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo simu ni kwa ajili ya nini
kama ni kwa maongezi tu ,hiyo bajeti ni kubwa. kuna vi itel vinauzwa 25,000 vinafaa sana
chaji haiishi haraka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF bhana, raha sanaAisee maisha yanatofautiana aisee sie wengine tunawaza kuongeza land cruiser hardtop nyingine kuna lijitu lla shule linawaza simu tu,ok mkuu nipe hiyo 300k nikupe note 10 yangu plus matata GB 256,RAM 12 ni pm
Kwa bei yake, itamfaaa sana.Tafuta Infinix hot 30i
usinunue google kama hukai ofisini na kurud nyumban tu bado hujaweka kuzma from nowhereGoogle pixel 3axl na Google pixel 3xl
zitakufaa kulingana na bajet yako ila hazizidi laki 3
hii simu na ipata wapi kwa bongo?Ongezea kdogo iwe 35k kisha agizisha AliExpiess simu aina ya LG G8x na hutajutia kamwe
Just found this amazing item on AliExpress. Check it out! TZS322,506.45 50%OFF | Global Version Xiaomi Redmi Note 9 Pro Smartphone 6GB 64GB Snapdragon 720G Octa core 64MP Camera 5020 mAh 33W ChargingWakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Njoo inbox nikupatie hii sjmu full Box.Wakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Mtego huu usiingie mkenge !!!Aisee maisha yanatofautiana aisee sie wengine tunawaza kuongeza land cruiser hardtop nyingine kuna lijitu lla shule linawaza simu tu,ok mkuu nipe hiyo 300k nikupe note 10 yangu plus matata GB 256,RAM 12 ni pm
Kiongozi nisaidie kwa 280000.Njoo inbox nikupatie hii sjmu full Box.
RAM 4 GB
Internal storage 64 GB
Kwa Tsh 300,000/= Tu
View attachment 2812592
lete 300k nikupe samsung A30 ipo kwenye hali nzuri sanaKiongozi nisaidie kwa 280000.
Asante
Kwa wauzaji wa used hapa Bongo si rahisi kuipata labda jaribu kuchungulia mara kwa mara Jiji Online Shop mara moja moja huwa zinapatikana !hii simu na ipata wapi kwa bongo?
iyo simu ni mashine haswaKwa wauzaji wa used hapa Bongo si rahisi kuipata labda jaribu kuchungulia mara kwa mara Jiji Online Shop mara moja moja huwa zinapatikana !