Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Kwa used hii budget unapata xperia 5 II simu nzuri zaidi kwa hio budget sema around 330,000 ni sweet spot ila kama unaongea sana 320,000 pia waweza pata. Ina tick matumizi yako yote hayo. Sema display yake ni nyembamba halafu ndefu uangalie kwanza kama unaweza ishi na remote.

Kwa mpya redmi 12C sema camera ya kawaida sana. Ila storage, battery na display ukubwa vinakidhi mahitaji
Ni simu nzuri sana hii nilitaka pia nii suggest achukue..
 
Shukrani sana ,naenda kuchukua ya laki Nne na elfu ishirini na tisa (429K) yenye RAM 8 storage 128 battery 5000 .

Fene natangaza rasmi kurudi kwenye gemu.
Gemu yako ya kwanza na mim katika simu mpya nakuahidi lazima nikuponde ili kujiongezea heshima
 
Aisee maisha yanatofautiana aisee sie wengine tunawaza kuongeza land cruiser hardtop nyingine kuna lijitu lla shule linawaza simu tu,ok mkuu nipe hiyo 300k nikupe note 10 yangu plus matata GB 256,RAM 12 ni pm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF bhana, raha sana
 
Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Just found this amazing item on AliExpress. Check it out! TZS322,506.45 50%OFF | Global Version Xiaomi Redmi Note 9 Pro Smartphone 6GB 64GB Snapdragon 720G Octa core 64MP Camera 5020 mAh 33W Charging

Chukua simu hii, utakuja kunishukuru sana.
1000001039.png
 
Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Njoo inbox nikupatie hii sjmu full Box.
RAM 4 GB
Internal storage 64 GB
Kwa Tsh 300,000/= Tu
20231113_131918.jpg
 
hii simu na ipata wapi kwa bongo?
Kwa wauzaji wa used hapa Bongo si rahisi kuipata labda jaribu kuchungulia mara kwa mara Jiji Online Shop mara moja moja huwa zinapatikana !
 
Back
Top Bottom