Kwa 'body language' tu ya Mama azungumzapo huhitaji Akili Kubwa kujua ya kwamba...

Kwa 'body language' tu ya Mama azungumzapo huhitaji Akili Kubwa kujua ya kwamba...

Dalili ya mvua achana nayo ...subiri tuu mvua inyeshe...
Msemo wa nyota njema huonekana asubuhi ulishapitwa na wakati...
Refer late stone age...

Inaweza nyesha acidic rain Kama hapo zamani za kale .
Zama za mawe

Rubbish post from an authentic Moron.
 
Wewe unadhani watu hawajishughulishi? Ukweli ni kuwa watu wako busy sana kutafuta maisha kwa kujishughulisha lakini mazingira yaliyowekwa na serikali ni magumu mno!

Kwa Madini yako haya mazuri tu Ndugu unategemea kweli kueleweka vyema na huyo Juha Mwandamizi kutoka MATAGA ya Hayati?
 
Jiwe alikua kashapoteza upendo wetu kabisa
Alishapoteza upendo wako sio wetu mkuu,usituzungumzie.Angekuwa amepoteza upendo wa Watanzania maombolezo yasingekuwa kama yalivyokuwa.It is unprecedented.Watu wanatandika nguo zao barabarani!Ni upendo ambao ulishuhudiwa tu kwa Bwana Yesu.
 
Mkuu viapo ni kutimiza sheria tu,wala havina uhusiano wowote na utendaji.Infact katika vitu ambavyo ni useless ni viapo,ni wastage of time.Tumewashuhudia wengi wakiapa na baadae kufanya madudu na hivyo kwenda kinyume na viapo vyao bila kuchukuliwa hatua yeyote kama sheria inavyotaka.

Kawe Rais Wewe ili Uridhike. Hopeless!!!
 
Kwa wafanyabiashara wanaoanza kuna kodi nyingi na kubwa ambazo zinatozwa hata kabla ya biashara kuanza. Kwa wafanyabiashara wakubwa makadirio ya kodi ni makubwa kuliko uhalisia na rushwa na vitisho kibao. Kwa wakulima kuna vikwazo katika kuuza mazao na kodi kibao. Watu wanashindwa kusafirisha mazao yao kuyafikia masoko sababu ya ushuru. Aidha kuna taasisi nyingi za utozaji kodi kama halmashauri, tra, TBS, tfda nk.
Hayo yote Hayati Magufuli aliyakemea sana mkuu,kwa hiyo ni issue ya watendaji na ndio maana Hayati Magufuli alikuwa mkali kwa watendaji.Kwa laxity hii ya huyu mama,let's keep our fingers crossed,lakini kwa Watanzania ninavyo wajua,I can only predict doom for Tanzanians.Watanzania wanahitaji mkono wa chuma!
 
Mkuu kwani wanaomshangilia mama wanategemea atawaletea ugali , mbna kama hujafkr vyema kutoa argumen yako......
Istoshe wanaoshinda vijiweni ndo wanaomshangilia Jiwe , Kwa mpambanaji wa dhati kabisa mwanaharakati Ile Ile anayehitaji kutoboa mpak anga za juu hawezi kumshangilia jiwe , JPM alikuwa Raisi wa hovyo mno

Muda wa Kuwajibu hao Fools mnautoa wapi? Tanzania ya Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ndiyo iliyokuwa ikitakiwa na Watanzania wengi tunaojielewa kama Wewe, Mimi na Wenzetu wengi tu Ndugu.
 
Hayo yote Hayati Magufuli aliyakemea sana mkuu,kwa hivyo ni issue ya watendaji na ndio maana Hayati Magufuli alikuwa mkali kwa watendaji.Kwa laxity hii ya huyu mama,let's keep our fingers crossed,lakini kwa Watanzania ninavyo wajua,I can only predict doom for Tanzanians.Watanzania wanahitaji mkono wa chuma!

Rubbish post from an authentic Moron.
 
Hakuna kitu kitabadilisha maisha yako kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu wa kimaarifa vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the PROBLEM IS YOU
Ukipewa ajira maisha yako hayabadiriki, gazeti lako likifungiwa maisha yako hayabadiriki, ukiongezwa mshahara maisha yako hayabadirik, ukikosa soko la mahindi maisha yako hayabadiriki, ukikopwa kisha hulipwi maisha yako hayabadiriki?
Serikali za dunia zimeshikilia maisha yetu acha kudanganya watu.
 
Sasa kama 24/7 unakaa na Kulishwa tu na Shemeji yako utayaona kweli hayo ( haya ) Maisha magumu wanayoyapitia Watanzania wengi?
Mimi nalishwa na shemeji yangu,au mimi ndiye ninayelisha shemeji.Niombe radhi mkuu hilo tusi.
 
Jibu swali,matusi hayasidii sana.Sana sana umeonyesha tu jinsi ulivyo firisika kimawazo.

Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hatuna neno lako la ' firisika ' bali tuna neno letu sahihi la ' Fillisika ' sawa Wewe Idiot?
 
Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hatuna neno lako la ' firisika ' bali tuna neno letu sahihi la ' Fillisika ' sawa Wewe Idiot?
Wewe inaelekea ulishatumbuliwa na Magufuli au ulishaingia kwenye anga zake,no wonder you hate him.Anyway mimi sio mtu wa "Ngwini," I am above that,jambo la maana ni kwamba umenielewa,hiyo ndiyo maana ya lugha.
 
Wewe inaelekea ulishatumbuliwa na Magufuli au ulishaingia kwenye anga zake,no wonder you hate him.Anyway mimi sio mtu wa "Ngwini," I am above that,jambo la maana ni kwamba umenielewa,hiyo ndiyo maana ya lugha.

Rubbish post from an authentic Moron.
 
Wewe unadhani watu hawajishughulishi? Ukweli ni kuwa watu wako busy sana kutafuta maisha kwa kujishughulisha lakini mazingira yaliyowekwa na serikali ni magumu mno!
Kama vile Nini ndugu yangu
 
Back
Top Bottom