MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #241
Dalili ya mvua achana nayo ...subiri tuu mvua inyeshe...
Msemo wa nyota njema huonekana asubuhi ulishapitwa na wakati...
Refer late stone age...
Inaweza nyesha acidic rain Kama hapo zamani za kale .
Zama za mawe
Wewe unadhani watu hawajishughulishi? Ukweli ni kuwa watu wako busy sana kutafuta maisha kwa kujishughulisha lakini mazingira yaliyowekwa na serikali ni magumu mno!
Alishapoteza upendo wako sio wetu mkuu,usituzungumzie.Angekuwa amepoteza upendo wa Watanzania maombolezo yasingekuwa kama yalivyokuwa.It is unprecedented.Watu wanatandika nguo zao barabarani!Ni upendo ambao ulishuhudiwa tu kwa Bwana Yesu.Jiwe alikua kashapoteza upendo wetu kabisa
Hii kiutaalamu tunaita PRODUCTIVE SUPER SUBMUNGU ni fundi Sana ndiyo maana alimchukua marehemu POMBE mapema kabla ya mambo hayajaharibika
Mkuu viapo ni kutimiza sheria tu,wala havina uhusiano wowote na utendaji.Infact katika vitu ambavyo ni useless ni viapo,ni wastage of time.Tumewashuhudia wengi wakiapa na baadae kufanya madudu na hivyo kwenda kinyume na viapo vyao bila kuchukuliwa hatua yeyote kama sheria inavyotaka.
Hayo yote Hayati Magufuli aliyakemea sana mkuu,kwa hiyo ni issue ya watendaji na ndio maana Hayati Magufuli alikuwa mkali kwa watendaji.Kwa laxity hii ya huyu mama,let's keep our fingers crossed,lakini kwa Watanzania ninavyo wajua,I can only predict doom for Tanzanians.Watanzania wanahitaji mkono wa chuma!Kwa wafanyabiashara wanaoanza kuna kodi nyingi na kubwa ambazo zinatozwa hata kabla ya biashara kuanza. Kwa wafanyabiashara wakubwa makadirio ya kodi ni makubwa kuliko uhalisia na rushwa na vitisho kibao. Kwa wakulima kuna vikwazo katika kuuza mazao na kodi kibao. Watu wanashindwa kusafirisha mazao yao kuyafikia masoko sababu ya ushuru. Aidha kuna taasisi nyingi za utozaji kodi kama halmashauri, tra, TBS, tfda nk.
Mkuu kwani wanaomshangilia mama wanategemea atawaletea ugali , mbna kama hujafkr vyema kutoa argumen yako......
Istoshe wanaoshinda vijiweni ndo wanaomshangilia Jiwe , Kwa mpambanaji wa dhati kabisa mwanaharakati Ile Ile anayehitaji kutoboa mpak anga za juu hawezi kumshangilia jiwe , JPM alikuwa Raisi wa hovyo mno
Kipu nilicho ki-present hapo ambacho sio kweli?Kawe Rais Wewe ili Uridhike. Hopeless!!!
Hayo yote Hayati Magufuli aliyakemea sana mkuu,kwa hivyo ni issue ya watendaji na ndio maana Hayati Magufuli alikuwa mkali kwa watendaji.Kwa laxity hii ya huyu mama,let's keep our fingers crossed,lakini kwa Watanzania ninavyo wajua,I can only predict doom for Tanzanians.Watanzania wanahitaji mkono wa chuma!
Kipu nilicho ki-present hapo ambacho sio kweli?
Mazingira yapi ni magumu mkuu.
Jibu swali,matusi hayasidii sana.Sana sana umeonyesha tu jinsi ulivyo firisika kimawazo.Rubbish post from an authentic Moron.
Ukipewa ajira maisha yako hayabadiriki, gazeti lako likifungiwa maisha yako hayabadiriki, ukiongezwa mshahara maisha yako hayabadirik, ukikosa soko la mahindi maisha yako hayabadiriki, ukikopwa kisha hulipwi maisha yako hayabadiriki?Hakuna kitu kitabadilisha maisha yako kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu wa kimaarifa vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the PROBLEM IS YOU
Mimi nalishwa na shemeji yangu,au mimi ndiye ninayelisha shemeji.Niombe radhi mkuu hilo tusi.Sasa kama 24/7 unakaa na Kulishwa tu na Shemeji yako utayaona kweli hayo ( haya ) Maisha magumu wanayoyapitia Watanzania wengi?
Jibu swali,matusi hayasidii sana.Sana sana umeonyesha tu jinsi ulivyo firisika kimawazo.
Kama ni hivi kazi haiwezi kuendelea.Kazi iendelee,🤪
Wewe inaelekea ulishatumbuliwa na Magufuli au ulishaingia kwenye anga zake,no wonder you hate him.Anyway mimi sio mtu wa "Ngwini," I am above that,jambo la maana ni kwamba umenielewa,hiyo ndiyo maana ya lugha.Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hatuna neno lako la ' firisika ' bali tuna neno letu sahihi la ' Fillisika ' sawa Wewe Idiot?
Wewe inaelekea ulishatumbuliwa na Magufuli au ulishaingia kwenye anga zake,no wonder you hate him.Anyway mimi sio mtu wa "Ngwini," I am above that,jambo la maana ni kwamba umenielewa,hiyo ndiyo maana ya lugha.
Kama vile Nini ndugu yanguWewe unadhani watu hawajishughulishi? Ukweli ni kuwa watu wako busy sana kutafuta maisha kwa kujishughulisha lakini mazingira yaliyowekwa na serikali ni magumu mno!
HayaKama kwa Kukazwa Kwako kweli tutalia.