Eti dada, Kwa nini umelopoka??Amekwambia anataka kupendwa na kila mtu? Mama ni mwanasiasa mahiri na ana akili timamu usidhani kama anafikiri kupendwa na kila mtu kwasababu sio kitu ambacho kinawezekana, Ameamua kuongoza kwa misingi ya utu, upendo na haki.
Ninini kinakutesa?
Tutamkumbuka kwa MabayaSoon mtakuja kurudi hapa mnamkumbuka Magu
Unaikumbuka comment yako au una ugonjwa wa kusahau?Eti dada, Kwa nini umelopoka??
Achana na mabaya chukua mazuriTutamkumbuka kwa Mabaya
Kuna ushahidi akina mama hulemaza watoto. Kwa lugha anayotumia ni dhahiri kutakuwa na viongozi watakaolemaa
Shida sio kujishughulisha tatizo lilikua vitu vingi vimeminywa ,ni biashara ngapi zimefungwa kwa mkandamizo wa kodi?? Wawekezaji wangapi wameondoka kwa sera za ubabe na uonevu?Hakuna kitu kitabadilisha maisha kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the problem is you
leo umeona tofauti ya Rais na mpayukaji?Achana na mabaya chukua mazuri
Wabongo ndio wanapenda sana mambo haya kupetiwa petiwa....
mkimpata mtu anayewachana live kwa ukweli na kuwakaripia mnapokosea mnalia lia
Unataka yule aliyekua anawakomaza watoto kwa kuwaambia wakae na mavi yao au kuwauliza wakina mama kama wanataka kupanuliwa?Kuna ushahidi akina mama hulemaza watoto. Kwa lugha anayotumia ni dhahiri kutakuwa na viongozi watakaolemaa
Mzee hata kuongezewa mishahara na kupanda madaraja kwa watumishi hakibadilishi maisha ya mtu?Hakuna kitu kitabadilisha maisha kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the problem is you
........Sitaki kodi za dhuluma mie......Nimemkubali sana Mama.....Vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe.
Mdomo huumba kwa hili la leo wacha nijitose kumpongeza mama hongera sana1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae
2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba
3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha
4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba
5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae
6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania
7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe
Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye ( Mama ) inamuuma.
Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Pole sana tena sana.....Msishindane na marehemu fanyeni yenu ya onekane. Marehemu alifanya na yalionekana Mijizi na Mafisadi ndio hawakuona hilo. Sasa mnapomnanga marehemu tunajiuliza ndio tuseme mijizi na mafisadi wamechukua hatamu tena? Je mlioko serikalini na utumishi wa umati wa Watanzania ambao hamkubalini na majizi na mafisadi mtakaa muangalie kinyonge kinyonge na msifanye lolote?