Business as usual ndio tunalolitarajia mkuu.Kutakuwa na tofauti kubwa ya kiutendaji na Hayati kwa kuwa mama huenda akatumia ushawishi zaidi kuliko usimamizi kwa kuwa hakuna jipya. Kwa jinsi Watanzania walivyo watatumia mwanya huo kufanya "business as usual". Kiasi gani atakuwa mkali kuliko mtangulizi wake, muda utatoa jibu
mitano tena kwa mamaSasa CCM leteni ile agenda yenu ya kuongeza muda wa utawala. Kama ingepita kwa yule sijui ingekuwaje! CCM tumieni akili. Sasa wote mtaanza mapambio ya kumsifia mama yetu, Rais Mpendwa saaaaana aliyekuja kivingine, akiachana na utawala wa kibabe huku mkimtukuza Mwendazake na kumlinganisha na Yesu! Hivi huwa mna ubongo vichwani au mafua tu?!!
Mama Samia Suluhu Ni Faraja baada ya dhiki, ni Heshima penye dharau, ni Pendo penye Chuki, na ni Matumaini penye Kukata tamaa. Yeye hasa ndio MWENGE WA UHURU!!!!!!.
Kiongozi kama nchi ya wavivu,watu wenye majungu, maneno mengi kuliko utendaji kama Tanzania haitaji kiongozi awe kama muuza lamba lamba.Mama anaongea kama kiongozi, wakati huohuo kama mama, kweli ni mapema ila kwa uanzaji wake, sifa tumpe.
Una matatizo mkuu! Comment yangu ndiyo inakufanya ukose Raha na uropoke? Changia unavyoona wewe, sio kusahihisha mtu na kumpangia cha Ku commentUnaikumbuka comment yako au una ugonjwa wa kusahau?
May the Soul of our Hero JPM rest in eternal peace. Let the people talk, but let them keep some words within themselves.. You may praise her at the moment..but mark my words..you are going to regreat..what i saw yesterday, i can say it was a total embarrasment in her regime.1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae
2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba
3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha
4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba
5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae
6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania
7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe
Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye ( Mama ) inamuuma.
Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Kweli kabisa, wizi na ukandamizaji wa uhuru na haki.Soon mtakuja kurudi hapa mnamkumbuka Magu
Mosi mimi sio mtoto ,pili ninafanya biashara na ni mhanga wa sera kimeo za Magufuli. Hakuna uhuru wa kijinga as long as sheria zilizopo zimetungwa kwa kulinda haki zetu wote sio kwa watawala tu.Wee ipyana, kila zama na kitabu chake. Pambana na yaliyo mbele yako.
Sema kwa sababu ninyi ni watoto, je kuna raha na uhuru wa kijinga ambao watu waliupata katika kipindi cha kikwete??? lkn walimtukana kila uchao. Hivyo usifikiri huyu mama atakuwa analeta chakula mezani kwako, au kujaza pesa mifukoni mwako, bado wewe binafsi unahitaji kuwa na nidhamu na kujituma kulingana na malengo yako na Mwenyezi Mungu alivyokujalia.
Tatizo nyie ni waaribifu kama wew ni mpinzani wa Mama pole yako ila tuliowengi karibia nchi nzima tunayaona matumaini mapya kwa mama Samia na kwa hali hii naomba Mama aongezewe ulinziIla wapitisha mizigo na wau flow mita bandarini ili wasilipecvodi ni sawa. Ndio maana ya msemo huu kama hukuzingatia kilichopelekea maamuzi hayo .
Malizia na neno zaidi.MUNGU ni fundi Sana ndiyo maana alimchukua marehemu POMBE mapema kabla ya mambo hayajaharibika
Mosi mimi sio mtoto ,pili ninafanya biashara na ni mhanga wa sera kimeo za Magufuli. Hakuna uhuru wa kijinga as long as sheria zilizopo zimetungwa kwa kulinda haki zetu wote sio kwa watawala tu.
kamshika kende Abbasi leo alikua nusu ajinyee pale ikulu yaani kavimba alitaka kupasuka qhymaamae zake, alsahaf mama anapindua sana meza yaniHuyo ndio mama
Tatizo nyie ni waaribifu kama wew ni mpinzani wa Mama pole yako ila tuliowengi karibia nchi nzima tunayaona matumaini mapya kwa mama Samia na kwa hali hii naomba MAMA AONGEZEWE ULINZI
We malaya zoea mashoga wenzakonoana imekuingia vzr, inama kidogo nimalizie cha mwisho
Kubambikiwa kesi, kodi, kuvunjiwa nyumba......utachoka tu kujitoa fahamu kama mafarisayo.Huna hoja bora ungenyamaza. Hapo ni chuki binafsi tu kwa jpm kwa kudhibitiwa kwako dhidi ya maslahi ya umma. Kama sio cheti feki kutumbuliwa na kadhalika.
Hakuna kitu kitabadilisha maisha kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the problem is you