Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Una mawazo kama yangu mkuuNimesikiliza hotuba yake.Tone ni too soft na hii itawafanya watendaji wa-relax sana.Nahisi pia kwamba watendaji wataachiwa wafanye maamuzi mengi wao bila close monitoring.Hii ni hatari,kwa mustakabali mzima wa taifa,unless wao wenyewe wako committed to their people and development of the country.Maneno "kayaangalieni haya' yanakosa msisitizo na authority na yana akisi wasi wasi wangu.Tusubiri,ila I can sense danger.
Swala la kuunda kamati ya wataalamu ya ushauri wa C-19 ni nyeti sana.Kamati hii inahitaji wataalamu wenye weledi mkubwa kuhusu maswala yote ya COVID na the so called Covid vaccine,what it is and the true agenda behind it.Jinsi wanavyoweza kupata contents zilizopo ndani ya the C-19 gene therapy au kinachoitwa kwa makosa vaccine,kitu ambacho ni muhimu, watajua wao,ila ni muhimu kujua kama kweli hivyo therapy inafaa kwa matumizi ya wanadamu.Already we know kwamba haifai kufuatana na vifo na madhara mengi ambayo yame ripotiwa kwa watu ambayo wamepata hiyo DNA modifying therapy.
Niseme wazi,akina Bill Gates,Rockefeller, Rothschild, Anthony Fauci,WHO na the World Economic Forum macho yao yote sasa yataelekezwa kwenye members wa kamati hiyo,and how to influence the final decision of the committee.Ni muhimu kwa hiyo kila mmoja wao akafuatiliwa kwa ukaribu ili asije akatumiwa kuingiza nchi mkenge.Fedha nyingi sana itatembea hapo,ili ku-influence maamuzi!Niseme in advance,hapa napo I can sense danger.In short I am not optimistic!
Watu hawa wanahitaji pia wawe na ufahamu wa the inner workings of underground societies na agendas of the NWO.Bila kujua yote haya tutaingizwa mkenge sana.Wataalamu hawa pia wanatakiwa kuwa true nationalists and lovers of mother Tanzania.This is basic.
In summary,nini "nahisi" kiko mbele yetu[emoji117]A Possible reserval of whatever Magufuli stood for,which will be a disaster for mother Tanzania and Tanzanians.
Awamu iliyopita hata wale ambao sio wavivu na kuoendekeza majungu walifunga biashara, kufilisika na wengine kukimbia, hapakuwa na nafuu, amekuja huyu wacha tumpe muda, wavivu watabaki na hali zao na wenye kujituma watanufaika na kujituma kwao.Kiongozi kama nchi ya wavivu,watu wenye majungu, maneno mengi kuliko utendaji kama Tanzania haitaji kiongozi awe kama muuza lamba lamba.
Muda ndio mwalimu.
Polee sana sukuma gangKuna ushahidi akina mama hulemaza watoto. Kwa lugha anayotumia ni dhahiri kutakuwa na viongozi watakaolemaa
Mungu acheni anitwe Mungu..hua ana namna yake ta kutatua kero za watu wake.
#MaendeleoHayanaChama
Hakuna kitu kitabadilisha maisha kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the problem is you
Mungu fundi kweli katufanyia super sub
Nimemkubali sana Mama.....Vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe.
1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae.
2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba.
3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha.
4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba.
5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae.
6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania.
7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe.
Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye (Mama) inamuuma.
Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Tufuate ushauri wa watu wa LUMUMBA, KATIBA ifanyiwe marekebisho mama aongoze nchi hadi achoke yeye
Kwenye ulimwengu wa roho ninafikiri majina yana sehemu yake . Jina la Pombe Magufuli. kwa kiasi fulani mambo yaliharibika. Mama Suluhu. Pamoja na kwamba ni mapema mno kmsifu lakini kutokana na Jina lake ameanza kuleta suluhu ya mambo mengi yaliyokuwa hayana suluhu.
Msishindane na marehemu fanyeni yenu ya onekane. Marehemu alifanya na yalionekana Mijizi na Mafisadi ndio hawakuona hilo. Sasa mnapomnanga marehemu tunajiuliza ndio tuseme mijizi na mafisadi wamechukua hatamu tena? Je mlioko serikalini na utumishi wa umati wa Watanzania ambao hamkubalini na majizi na mafisadi mtakaa muangalie kinyonge kinyonge na msifanye lolote?