Kwa 'body language' tu ya Mama azungumzapo huhitaji Akili Kubwa kujua ya kwamba...

Hapa nakubaliana na wewe Asilimia 💯 maana nawaambia watu bila kufanya kazi hela hamtaipata wala kuonekana, mara ooh hayupo aliekuwa anabania hela, nawaambia nyie mnacheza yani mchezo bado ni ule ule

Wanafiki katika Jamii huwa hamkosi pia.
 
Hata akiingia rais mwingine itakuwa hivyo
 
Kuna ushahidi akina mama hulemaza watoto. Kwa lugha anayotumia ni dhahiri kutakuwa na viongozi watakaolemaa

Aliyekuambia Kuiongoza Familia Kiukali ndiyo Kuilea vyema nani? Hebu tupisheni hapa Wanafiki na Wapuuzi wakubwa nyie. Rais wa Tanzania sasa ni Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan na siyo mwingine na kama kweli mlikuwa mnampenda aliyeondoka na nyie ondokeni mumfuate huko aliko Mapumzikoni sasa.
 
Wabongo ndio wanapenda sana mambo haya kupetiwa petiwa....
mkimpata mtu anayewachana live kwa ukweli na kuwakaripia mnapokosea mnalia lia

Kama ulikuwa ukimpenda sana na Wewe Fariki kwa Makusudi ili uzikwe ukapige nae Stori huko aliko na akupe na Cheo kama ukitaka ili uendelee Kumpenda.

Tanzania ya sasa ipo chini ya Mama yetu Mpendwa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na ninamkubali kuliko Maelezo kwakuwa namjua siyo Mshamba na Mpumbavu.
 

Maelezo marefu halafu ni Pumba tupu.
 
Binafsi nimefurahia sana hotuba ya mama...Yaani naiona Tanzania mpya kabisa kama kila kitu kitafuatwa kama alivyosema mama.

Watanzania tumuombee sana na kumsupport.

Kwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan anavyofanya sasa na kila nikiota naona kaletwa Kutufuta Machozi ya Tabu, Dhiki, Manyanyaso na Shida Watanzania hata nikiambiwa nimlinde 24/7 bila Mshahara na ninavyompenda Generalist nipo tayari kufanya hivyo muda wowote ule.
 
Waliosema kufa usifiwe inabidi watafakari tena kauli yao, maana mwendazake ni kama kauli hii imeanza mpita kando
 

Kwanini umeamua kutaja Jina lake lote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…