Kwa CHADEMA kuwa Rafiki na Chama cha Kikiristo cha UJERUMANI, Wanafuata Mrengo wa chama hicho?

Kwa CHADEMA kuwa Rafiki na Chama cha Kikiristo cha UJERUMANI, Wanafuata Mrengo wa chama hicho?

Status
Not open for further replies.
Sasa ndio napata jibu kwanini Chadema kampeni zao wanatumia sana makanisani leo utaona maaskofu, mapadri wanaacha kuwachunga kondoo wanaingia kwenye siasa wanakuwa wabunge wanataka waingie IKULU RASMI wakamilishe ukristo wao hii ni HATARI sana.
 
NCHI YETU HAINA UDINI HATUTAKI MTULETEE UDINI PELEKENI HUKO ujeruman MLIKOYATOA HAPA WAONEENI HURUMA WATOTOWENU NA VIJUKUU VYENU MTAICHAFUA HII NCHI VIBAYA isikaliketena.
 
Hizi ni propaganda zisizo na maana kwa kweli. Tuache kubandika picha za watu kuonyesha sehemu moja tu. Vyama vyote duniani ni complex. Na ushirikiano wowote na chama chochote haina maana kwamba u mfuasi wa chama kile au unakubaliana nao kwa asilimia mia moja katika mambo yote. Kuna vyama vinashirikiana kwa sababu kiitikadi wanajali zaidi maslahi ya walala hoi bila kujali ni atheists, communists, Christians, au any other category. Kuna watu wanashirikiana kwa sababu tu wanakereka wanaposikia mashoga wanapata haki zaidi. Hao utawakuta wengine in Wakristu na wengine ni Waislamu. Kuna watu wanashirikiana kwa sababu wako katika kutetea maslahi ya matajiri. Wanaweza kuwa wanajificha nyuma ya majina kama Wakristu au conservative, nk. Ni lazima kuangalia kwa mapana yote ili kutathmini na kusema kwamba chama fulani ni cha Kikristu au watafuata desturi za dini fulani.
Ukiniona na rafiki yangu Athmani, usijefikiria kwamba tunakubaliana 100% katika kila jambo. Inawezekana kuna jambo moja tu linalotuunganisha. Najua inasemwa kwamba utamtambua mtu kwa kampani yake. Lakini tuwe waangalifu, tusijewalaani watu na kuwatenga kwa visababu vya uongo vinavyokusudiwa kuwapandisha watu mzuka.
 
Enhe, tuambie hii leo Tanzania nani unayemsikia kwenye makanisa akiendesha harambee kuliko mwanasiasa yeyote? Hint: si wa CDM. Fanya upembuzi yakinifu.
Sasa ndio napata jibu kwanini cdm kampeni zao wanatumia sana makanisani leo utaona maaskofu, mapadri wanaacha kuwachunga kondoo wanaingia kwenye siasa wanakuwa wabunge wanataka waingie IKULU RASMI wakamilishe ukristo wao hii ni HATARI sana.
 
CDU cha Angel Merkel ambacho ni cha Kikristo, kinashirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa kikristo kikipambana na vyama vingine vya mrengo wa kati. Ikumbukwe kuwa CDU ndo chama rafiki cha CHADEMA na wamekuwa wakiitumia taasisi ya KAS kutengeneza vyama vibaraka ulimwenguni kote ambavyo vinafuata mrengo wa Kikristo. Kutokana na Katiba ya hapa Tanzania kutoruhusu vyama vya mrengo huo, tumeshuhudia CHADEMA wakitekeleza sera za CDU kwa kificho. kwa CHADEMA kuwa rafiki na chama cha kikristo na kutokana na chama hicho kuwa na mwelekeo wa kupendelea watu wa dini ya kikristo hasa katika kupanga safu ya uongozi na uteuzi wa nafazi za wagombea, je si wakati muafaka sasa wa kukifuta chama hiki? Tujiridhishe jinsi wajerumani wenyewe wanavyoelezea muungano wa vyama hivyo
Kushirikiana kwenye lipi?
sasa hapo uzushi na propanganda ziko wapi?
-je chadema hawana ushirikiano na The Christian Democratic Union of German?
-au hicho chama mshirika hakina mlengo kwa kidini?
-hapa sasa wewe mwenyewe jiulize iwapo viongozi wako wameamua kushikamana na chama chenye mlengo wa kikatoliki agenda yao nini?
Cdm sio chama cha kitaifa,bali ni cha kikristo mbona waslamu wengi wanakijuwa hicho ndiyo maana kimetamalaki maeneo hayo hayo ya kanisa na makada wake ni mapadre na wachungaji,masikofu hilo halipngiki.cdm wadini sana wakanda sana wakabila sana mafisadi sana wabinafsi sana,lakini huo ndiyo mfumo wa kanisa na hao wakingia madarakani wanataka kuendeleza mfumo kristo,kiukweli chama hiko mtu mwenye akili zake timamu hingii, hamna chama umo muna kanisa tu
Chadema kina urafiki na wafadhili wakuu ni CDU ni waasisi siasa zenye msingi wa ukatoliki,CDU hufadhili chama ambacho kilicho tayari kufuata masharti yake, sharti kuu ni "applying the principle of Christian democracy" CDU inakataa uanachama wa uturuki kwenye EU. Ikumbukwe uturuki ina waislamu zaidi ya 85%
Nimewaambia mara nyingi na leo narudia bila kificho... Kwamba CCM haina watetezi wa kweli... Humu mtanaoni kuna watu wanaojifanya kuwa ni wana - CCM kwa sababu mbali mbali. Makundi hayo ni:
1. Watoto wa waliowahi kuwa viongozi wa juu serikalini au CCM;
2. Waliopewa nafasi za uongozi kwa kubebwa kama vile 3. Waislamu walioaminishwa kuwa kwakuwa viongozi wakuu wa serikali, CCM, na polisi n.k. wameteuana kidini basi CCM ni chama cha dini moja..
4. Wale wote waliosaliti na kujikuta wakitumiwa kuvuruga vyama vya upinzani. Baada ya kushitukiwa na kutimuliwa hasira zao wamegeuza kuipigania CCM ambayo nayo inawatumia kama Ko.ndo.mu.
Wote hao hawana uchungu na CCM.
Kundi la tatu limesahau kwamba:
1. CCM imewahi kujifanya kuwa chama cha kikristo mwaka 1996 -2005 na kuita CUF ni chama cha WAISLAMU ili wapate kura za wakristo wengi.
2. Leo CCM tena imejifanya ni chama cha waislamu na kuunda safu ya juu ikiwa na waislamu wengi 2006 -2015, na sasa mmeaminishwa ni chama cha waislamu na zaidi ya yote mnakesha mitandaoni kukijenga "CHAMA CHA WAISLAMU"..
3. Hivi kama CCM ipo kwa ajili yenu wameshindwa nini kuwapa mahakama ya kadhi?
4. Imekuwaje mbele ya utawala huo shehe ponda anapigwa risasi wakati hakukaidi amri yoyote? Hivi angepigiwa simu aende mwenyewe kituo cha polisi angekaidi? Ni amri ya nani iliyomletea madhara? Chombo hicho kinaongozwa na nani?
5. Hivi 2015 mgombea wa CCM akiwa mkristo nyie mtaendelea kuwa mashabiki wa CCM?.. TUSUBIRI!!!!
 
Sasa ndio napata jibu kwanini cdm kampeni zao wanatumia sana makanisani leo utaona maaskofu, mapadri wanaacha kuwachunga kondoo wanaingia kwenye siasa wanakuwa wabunge wanataka waingie IKULU RASMI wakamilishe ukristo wao hii ni HATARI sana.
Kawaambie mashehe wagombee.. Wachungaji walioko CCM akina Mwanjale na Rwakatare bado hawajakubatizeni? Maalimu seif ni kiongozi wa dini au siasa. 2015 akigombea mkristo mtarudi kwenye chama chenu.
 
NCHI YETU HAINA UDINI HATUTAKI MTULETEE UDINI PELEKENI HUKO ujeruman MLIKOYATOA HAPA WAONEENI HURUMA WATOTOWENU NA VIJUKUU VYENU MTAICHAFUA HII NCHI VIBAYA isikaliketena.
Huu siyo udini? kushabikia CCM kwa madai inaongozwa na .... na kuviita vyama vingine vya kidini?
 
Mmeguswa kidogo tu mnaongea kama mmepigwa ufunguo

Kamdanganye bibi yako na siyo sisi werevu?

Maneno matupu hayavunji mfupa ungekuwa wa maana kama ungetuambia wanachangia asilimia ngapi ila kwa sasa mi nakuona kama wahuni wengine tu.

ushirikiano unakubalika ni baina ya taasisi za dini siyo chama cha siasa na chama chenye mlengo wa kidini


Mkuu Lizaboni,

Jamaa anadhani kila mtu ni mateka wa Chadema.

Endelea kutoa darasa watanzania wapenda amani wanakosoma.

wamesahau wenzao waliwaita MASHOGA bungeni?? da kweli mtendwa akitendwe hupiga mayowe sana. chadema ni wanafiki tu. hawana sera
>Hivi kama CCM ipo kwa ajili yenu wameshindwa nini kuwapa mahakama ya kadhi?
>Imekuwaje mbele ya utawala huo shehe ponda anapigwa risasi wakati hakukaidi amri yoyote? Hivi angepigiwa simu aende mwenyewe kituo cha polisi angekaidi? Ni amri ya nani iliyomletea madhara? Chombo hicho kinaongozwa na nani?
>Hivi 2015 mgombea wa CCM akiwa mkristo nyie mtaendelea kuwa mashabiki wa CCM?.. TUSUBIRI!!!!
 
Mmeguswa kidogo tu mnaongea kama mmepigwa ufunguo
Kamdanganye bibi yako na siyo sisi werevu?
Maneno matupu hayavunji mfupa ungekuwa wa maana kama ungetuambia wanachangia asilimia ngapi ila kwa sasa mi nakuona kama wahuni wengine tu.
ushirikiano unakubalika ni baina ya taasisi za dini siyo chama cha siasa na chama chenye mlengo wa kidini
Mkuu Lizaboni, Jamaa anadhani kila mtu ni mateka wa Chadema. Endelea kutoa darasa watanzania wapenda amani wanakosoma.
wamesahau wenzao waliwaita MASHOGA bungeni?? da kweli mtendwa akitendwe hupiga mayowe sana. chadema ni wanafiki tu. hawana sera
Of cz wanafuata mlengo wa kikristo kwani hiyo ni siri? Hukumbuki lawama walizozipata ktk uchaguzi mkuu uliopita? Kwani kuwepo kwa Dr Slaa kama katibu au kuwa mgombea wa Uraisi kwa tiketi ya CHADEMA ilikuwa ni bahati mbaya. Hivi Dr Slaa ana CV gani? Kwanini hawamtaki yule kijana mbunge machachari wa CHADEMA wa kigoma? Kwa sababu hana mambo ya kikristo? Watanzania mkiitaka Chadema ichagueni, lakini yatayowapata msilie wala msiseme hamkuyajua. UKRISTO ndio mbele katika CHADEMA.
Upo sahihi mkuu
Tungewekewa katiba au ilani ya uchaguzi ya CDM tungepata majibu ya udini, ukabila wa CDM
Chadema ni chama killicho waz bila maficho kutekeleza sera za kanisa alichokisema mheshimiwa kina ukweli sema tu ubishi na ushabiki tu hamna kingine.......
Kutetea haki za waislam dhidi ya mfumo kristo unaomnyima Ponda dhamana!
Fine!... Inawezekana kwa sasa CCM ni chama cha kiislamu kwakuwa hakina watu wa imani nyingine..
Hivi 2015 mgombea wa CCM akiwa mkristo nyie mtaendelea kuwa mashabiki wa CCM?.. TUSUBIRI!!!!
 
Mmeguswa kidogo tu mnaongea kama mmepigwa ufunguo

Kamdanganye bibi yako na siyo sisi werevu?

Maneno matupu hayavunji mfupa ungekuwa wa maana kama ungetuambia wanachangia asilimia ngapi ila kwa sasa mi nakuona kama wahuni wengine tu.

ushirikiano unakubalika ni baina ya taasisi za dini siyo chama cha siasa na chama chenye mlengo wa kidini

Mkuu Lizaboni,

Jamaa anadhani kila mtu ni mateka wa Chadema.

Endelea kutoa darasa watanzania wapenda amani wanakosoma.

wamesahau wenzao waliwaita MASHOGA bungeni?? da kweli mtendwa akitendwe hupiga mayowe sana. chadema ni wanafiki tu. hawana sera

Of cz wanafuata mlengo wa kikristo kwani hiyo ni siri? Hukumbuki lawama walizozipata ktk uchaguzi mkuu uliopita?

Kwani kuwepo kwa Dr Slaa kama katibu au kuwa mgombea wa Uraisi kwa tiketi ya CHADEMA ilikuwa ni bahati mbaya. Hivi Dr Slaa ana CV gani? Kwanini hawamtaki yule kijana mbunge machachari wa CHADEMA wa kigoma? Kwa sababu hana mambo ya kikristo?

Watanzania mkiitaka Chadema ichagueni, lakini yatayowapata msilie wala msiseme hamkuyajua. UKRISTO ndio mbele katika CHADEMA.

Upo sahihi mkuu

Tungewekewa katiba au ilani ya uchaguzi ya CDM tungepata majibu ya udini, ukabila wa CDM

Chadema ni chama killicho waz bila maficho kutekeleza sera za kanisa alichokisema mheshimiwa kina ukweli sema tu ubishi na ushabiki tu hamna kingine.......

Kutetea haki za waislam dhidi ya mfumo kristo unaomnyima Ponda dhamana!

haya ndo madhara ya kulewa viroba. umesoma lakini hujaelewa. CDU maana yake ni Christian Democratic Union. chadema kwa tafsiri ya uswazi ili wafanane nao ni Christian Democratic Movement (CDM)

hebu ainisha hzo sera za CDU zinazopandikizwa nchini otherwz kajpange..omba wanalumumba wakuelekezee namna ya kutunga uongo uonekane ukweli..

Akili za Bavicha utazijua tu kwa michango yao haya nenda mtaa wa Ufipa ukachukue viroba vyako.

Nchi hii sikuzote ukisema ukweli sio unaonekana hufai,mchochezi ktk jamii lakini mm siachi kusema ukweli,kwasababu ndivyo nilivyo umbwa namutanichukia kweli,kama ponda anavyoonewa na serikali hii dhalimu kwa sababu kasimama kwenye ukweli
Nimewaambia mara nyingi na leo narudia bila kificho... Kwamba CCM haina watetezi wa kweli... Humu mtandaoni kuna watu wanaojifanya kuwa ni wana - CCM kwa sababu mbali mbali. Makundi hayo ni:
1. Watoto wa waliowahi kuwa viongozi wa juu serikalini au CCM;
2. Waliopewa nafasi za uongozi kwa kubebwa kama vile Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba;
3. Waislamu walioaminishwa kuwa kwakuwa viongozi wakuu wa serikali, CCM, na polisi n.k. wameteuana kidini basi CCM ni chama cha dini moja..
4. Wale wote waliosaliti na kujikuta wakitumiwa kuvuruga vyama vya upinzani. Baada ya kushitukiwa na kutimuliwa hasira zao wamegeuza kuipigania CCM ambayo nayo inawatumia kama Ko.ndo.mu.
Wote hao hawana uchungu na CCM.
 
Mmeguswa kidogo tu
Kamdanganye bibi yako
Maneno matupu
chama chenye mlengo wa kidini
wamesahau wenzao waliwaita MASHOGA bungeni??
Of cz wanafuata mlengo wa kikristo kwani hiyo ni siri? Kwanini hawamtaki yule kijana mbunge machachari wa CHADEMA wa kigoma? Kwa sababu hana mambo ya kikristo?
Upo sahihi mkuu
udini, ukabila wa CDM
Chadema ni chama killicho waz bila maficho kutekeleza sera za kanisa.......
Kutetea haki za waislam dhidi ya mfumo kristo unaomnyima Ponda dhamana!
hebu ainisha hzo sera za CDU zinazopandikizwa nchini otherwz kajpange..omba wanalumumba wakuelekezee namna ya kutunga uongo uonekane ukweli..
mm siachi kusema ukweli
hapo chadema imeingiaje?
Cdm sio chama cha kitaifa,bali ni cha kikristo
Chadema kina urafiki na wafadhili wakuu ni CDU
Nimewaambia mara nyingi na leo narudia bila kificho... Kwamba CCM haina watetezi wa kweli... Humu mtandaoni kuna watu wanaojifanya kuwa ni wana - CCM lakini siyo. Ni Waislamu wachache walioaminishwa kuwa kwakuwa viongozi wakuu wa serikali, CCM, na polisi n.k. sehemu kubwa ni dini moja basi CCM ni chama cha dini moja..
Wote hao hawana uchungu na CCM.
Kundi hili limesahau kwamba:
1. CCM imewahi kujifanya kuwa chama cha kikristo mwaka 1996 -2005 na kuita CUF ni chama cha WAISLAMU ili wapate kura za wakristo wengi.
2. Leo CCM tena imejifanya ni chama cha waislamu na kuunda safu ya juu ikiwa na waislamu wengi 2006 -2015, na sasa mmeaminishwa ni chama cha waislamu na zaidi ya yote mnakesha mitandaoni kukijenga "CHAMA CHA WAISLAMU"..
 
Acha nikukumbushe CCM ndiyo walikuwa wanakinadi chama cha CUF Kuwa ni cha kidini lakini cha ajabu leo wamefunga NDOA nacho,Hivyo rekebisha kumbukumbu zako.

Bas mjue nahao chadema wote sawa wote wanafiki tu
 
ukaribu na urafiki wa chdm na cdu ni hatari kwa amani ya nchi yetu

CCM NI CHAMA CHA WAISLAMU?

Akili za Bavicha utazijua tu kwa michango yao haya nenda mtaa wa Ufipa ukachukue viroba vyako.
Kumbe wewe na MWANADIWANI tofauti ni ID tu?
[SIZE=4 said:
Lizaboni[/SIZE];7361952]Mkuu, kuna watu wengine humu JF wanakera sana. Bora kuwapa za uso tu kama alivyofanya Lizaboni
kwa hiyo hapo juu kenye red ulidhani umeingia kama LUSEWA? ID ya LUSEWA nyingine ni LIZABONI?
quote_icon.png
By Lusewa

Wadau, Wakati wa Kampeni za uchaguzi nchini Ujerumani zikiwa zimepamba moto, tumeshuhudia muungano wa vyama kwa misingi ya itikadi za vyama hivyo.

Hii posti kumbe ni marudio kwa ID tofauti?
 
Sawa!.. CCM ni chama cha dini gani?

Hili ni suali ? Ondoa question mark thn andika sisi ni wana m utajua ni wachama cha mfumo gani Kama huna elimu bas nakufahamisha ccm ni chama cha mfumo wa dini ya kuwadhulumu na kuwakomaza wananchi walokua wamesoma lakini daima hawataki haki Kama wewe
 
WATANZANIA wengine wanafiki sana, yaani hapa wanainanga CDU lakini kila mwaka tunapokea misaada kibao kutoka Ujerumani inayoongozwa na CDU. Sasa si tungesema hatutaki hiyo misaada maana CDU ni chama cha Kikristo??

Hivi unajua serikali ya CDU imewapa hifadhi Waislamu kutoka Somalia,Uturuki n.k kiasi gani?? mbona hatusemi msiende huko kwenye nchi inayoongozwa na chama cha CDU??
Bajeti yetu ina upungufu wa karibu 40% na wanaojalizia hiyo 40% ndio hao CDU, twapokea tena tukitabasamu sana na tunaomba zaidi, ila leo hatutaki kushirikana nao hata kwa ushauri eti kwa kua ni Ukristo.

Hivi chama cha Kikomunisti Cha Uchina (CCP) wanapinga uwepo wa MUNGU, na ukiwa unaamini MUNGU uwe Mkristo au Muislam ukijulikana unafukuzwa uanachama wa CCP. Wao CCP ni marafiki wa CCM sasa unataka kutuaminisha kuwa CCM nao ni watu wanaopinga uwepo wa MUNGU ndio mana wanatajwa kulipua watu kwa mambomu na risasi?? CCP kinatajwa kukiuka haki za binadamu sasa je na CCM ni hivyo ndio mana Waalimu wakidai nyongeza wanatishwa?? au ndio mana wazee wa East Africa hawajalipwa hadi leo??

Acga ushabiki na tulia jiulize ushirika wa CDU na CHADEMA ni kwenye maeneo gani?? au CCM na CCP ni kwenye maeneo gani???

VYAMA VINGINE VYENYE URAFIKI NA CHADEMA

Ecuador
Social Christian Party PSC in opposition
Georgia Christian-Democratic Movement
KDM in opposition
Germany Christian Democratic Union CDU leader of government coalition
Christian Social Union of Bavaria CSU leader of government coalition in Bavaria, junior party in federal government coalition
Peru Christian People's Party PPC in opposition

jE MPAKA HAPO UNASEMAJE.
 
Hili ni suali ? Ondoa question mark thn andika sisi ni wana m utajua ni wachama cha mfumo gani Kama huna elimu bas nakufahamisha ccm ni chama cha mfumo wa dini ya kuwadhulumu na kuwakomaza wananchi walokua wamesoma lakini daima hawataki haki Kama wewe
Umemaliza?
 
VYAMA VINGINE VYENYE URAFIKI NA CHADEMA

Ecuador
Social Christian Party PSC in opposition
Georgia Christian-Democratic Movement
KDM in opposition
Germany Christian Democratic Union CDU leader of government coalition
Christian Social Union of Bavaria CSU leader of government coalition in Bavaria, junior party in federal government coalition
Peru Christian People's Party PPC in opposition

jE MPAKA HAPO UNASEMAJE.
Kwa hiyo CCM ni chama cha WAISLAMU? Inakuwaje mnampiga RISASI kiongozi wa dini yenu? Ponda kawakosea nini?
 
Kuna watu hawana sera Kama ccm, chadema, cuf na ccm Lao moja mkuuu huo mfumo wa siasa usiwabeze mkajisahau daima mtapiga kura mtapewa viungo tu mvikoleze ila junguuu kuuuu wapo wahusika. Kaz kipiga kelele tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom