Kwa Chuki zetu, Wivu wetu na Roho mbaya zetu Waswahili tutamsema sana, ila kwa sasa Tanzania hakuna Kipa bora na Mahiri kama Aishi Salum Manula

Kwa Chuki zetu, Wivu wetu na Roho mbaya zetu Waswahili tutamsema sana, ila kwa sasa Tanzania hakuna Kipa bora na Mahiri kama Aishi Salum Manula

Hahaa wazazi wako wapo vizuri kwa kuhifadhi kumbukumbu ,hao wote nimewashuhudia uwanjani live ,enzi hizo luninga ni issue.
Mkuu hongera sana kwa kuwaona hao manguli 👊....

Ninachowashukuru wameyahifadhi magazeti yote ya zamani katika zile waraka ngumu zisizoingiza maji na mavumbi.....

Wakati wa likizo toka niko shule ya msingi kazi yangu nikusoma magazeti hayo ya Uhuru ,Mfanyakazi , Mzalendo,Majira ,Rai ,Rai ya Mwema n.k....

Kwa hiyo nimewasoma wachezaji wengi ijapokuwa sijawahi kuwaona kama akina Razzak Yusufu Carecca ,Sahau Kambi ,Lunyamila ,Malota Soma ,Edward Chumila ,Mwakuruzo ,Sanifu Lazaro ,Said Mwamba ,Masatu George , Kenneth Mkapa na yule Mkapa mwingine daaah yaani ukisoma habari zao kipindi hicho cha utoto mwili unasisimka kama unawaona vile ha ha ha ha 🤣
 
Mkuu hongera sana kwa kuwaona hao manguli 👊....

Ninachowashukuru wameyahifadhi magazeti yote ya zamani katika zile waraka ngumu zisizoingiza maji na mavumbi.....

Wakati wa likizo toka niko shule ya msingi kazi yangu nikusoma magazeti hayo ya Uhuru ,Mfanyakazi , Mzalendo,Majira ,Rai ,Rai ya Mwema n.k....

Kwa hiyo nimewasoma wachezaji wengi ijapokuwa sijawahi kuwaona kama akina Razzak Yusufu Carecca ,Sahau Kambi ,Lunyamila ,Malota Soma ,Edward Chumila ,Mwakuruzo ,Sanifu Lazaro ,Said Mwamba ,Masatu George , Kenneth Mkapa na yule Mkapa mwingine daaah yaani ukisoma habari zao kipindi hicho cha utoto mwili unasisimka kama unawaona vile ha ha ha ha 🤣

Aiseee yaani unavyowataja kama nawaona Salum Kabunda "NINJA" ,Sanifu Lazaro "TINGISHA" ,Said Sued "SCUD" ,Said Mwamba "KIZOTA"
 
Nampongeza sana Mshambuliaji Simon Msuva kwa Kufunga Goli zuri, tamu na la Viwango ambalo limetupa Alama Muhimu leo.

Nawapongeza mno Wachezaji wote wa Kikosi cha Taifa Stars kwa Mchezo mzuri walioucheza leo na hadi kutupa Ushindi na kuna Kitu nimegundua kuwa ukitaka Taifa Stars ishinde basi tishia kama Unaisusa Timu Kutoishangilia na Kuwachamba pia Wachezaji ( kama nilivyofanya Mightier hapa JamiiForums Jana ) na watakaza na kujitahidi hadi watashinda.

Nilipongeze pia Bench la Ufundi linaloongozwa na Kocha Paulsen ( anayewajua vilivyo Wachezaji wengi wa Tanzania kwani 75% ya wanaong'aa sasa aliwafundisha Timu za Vijana ) kwa Kupokea Ushauri na Kufanyia Kazi lawama zetu ambazo zimezaa Matunda na leo tumeshinda.

Mightier sitokuwa na Furaha kama leo nisipompa Pongezi zangu nyingi zaidi Kipa namba Moja Aishi Salum Manula kwa Kiwango Kikubwa alichokionyesha na jinsi ambavyo kila Siku anaimarika na Kutuumbua wale tunaomchukia na Kumlaumu kila Siku ( hasa Mashabiki wa Yanga SC )

Kweli Simon Msuva katufungia Goli Muhimu na katuweka patamu ( pazuri ) ila Kwangu Mimi Mightier ( na Sikulazimishi unikubalie ) Mchezaji Bora wa Mchezo ( Man of the Match ) ni Golikipa wa Taifa Stars na Simba Sports Club Aishi Salum Manula.

Hongereni Taifa Stars na Heko Manula.
Wewe ndo unataka kuleta chokochoko muacheni kijana
 
Aiseee yaani unavyowataja kama nawaona Salum Kabunda "NINJA" ,Sanifu Lazaro "TINGISHA" ,Said Sued "SCUD" ,Said Mwamba "KIZOTA"
Daaah ya kale dhahabu mkuu 😍

Kuna mmoja anaitwa Gagarino eti nasikia hajapata kutokea.....nipe sifa zake.....
 
Aiseee yaani unavyowataja kama nawaona Salum Kabunda "NINJA" ,Sanifu Lazaro "TINGISHA" ,Said Sued "SCUD" ,Said Mwamba "KIZOTA"
Nasikia Chambua alitakiwa aende Afrika ya kusini wazee wake wakamwambia abaki Yanga na Lunyamila alifanya mtihani wa form 4 kambini kwa Stars hivi ni kweli ama "gahwa" tu?!! 🤣🤣
 
Nasikia Chambua alitakiwa aende Afrika ya kusini wazee wake wakamwambia abaki Yanga na Lunyamila alifanya mtihani wa form 4 kambini kwa Stars hivi ni kweli ama "gahwa" tu?!! 🤣🤣

Yes ni Kweli mkuu kina sekilojo wa kishua,Edibily Jonas Lunyamila anatoka school anaingia uwanjani na ukaupigwa mwingi hatari.
 
Yes ni Kweli mkuu kina sekilojo wa kishua,Edibily Jonas Lunyamila anatoka school anaingia uwanjani na ukaupigwa mwingi hatari.
Hataree Sana mkuu

Zamani kulikuwa na watu haswa naskia ndugu zetu Simba walifanya "janjajanja" wakakosa Kombe la CAF kwa kupigwa nyumbani(Kichwa cha mwendawazimu) 🤣🤣

Waliahidiwa gari za KIA 🤣
 
Hataree Sana mkuu

Zamani kulikuwa na watu haswa naskia ndugu zetu Simba walifanya "janjajanja" wakakosa Kombe la CAF kwa kupigwa nyumbani(Kichwa cha mwendawazimu) 🤣🤣

Waliahidiwa gari za KIA 🤣


Enzi hizo Gari za KIA ndio habari ya Mjini ,KIA ilikuwa New Version ya gari za Chai Maharage!!
 
Aiseee yaani unavyowataja kama nawaona Salum Kabunda "NINJA" ,Sanifu Lazaro "TINGISHA" ,Said Sued "SCUD" ,Said Mwamba "KIZOTA"
Ukitaka kumuona Sanifu Lazaro Tingisha nenda Buguruni Stendi sasa ni Kondakta wa Mabasi ya Mbagala - Buguruni ila najua utalia tu kwa Kusikitika.
 
Balaaa.....

Hussein Masha naskia ndio kiungo wa mwisho fundi....hatujapata kama yeye hadi sasa....
Kwasababu tu Marehemu Hamis Tobias Gaga ( alias Gagarino ) alikuwa Mlevi wa Bia na Gongo ndiyo maana hatumtaji kuwa alikuwa Kiungo Bora kabisa tena mwenye Kipaji cha hali ya Juu kuwahi kutokea hapa Tanzania.

Kwa mliozaliwa Juzi ni kwamba Udambwi Udambwi alionao Clatous Chama na alikuwa nao Augustine 'Jay Jay' Okocha Marehemu Gaga 'Gagarino' alikuwa akiufanya mara Mbili yao.

Acheni mzaha Gaga alikuwa Fundi hasa.

Cc: Jumbe Brown
 
Air manula alikuwa man of the match pia tusisahau mashabik wa mpira wa miguuu huwa wanahitaj ushindi ulitaka uwanyamazishe shinda match bas
 
Kwasababu tu Marehemu Hamis Tobias Gaga ( alias Gagarino ) alikuwa Mlevi wa Bia na Gongo ndiyo maana hatumtaji kuwa alikuwa Kiungo Bora kabisa tena mwenye Kipaji cha hali ya Juu kuwahi kutokea hapa Tanzania.

Kwa mliozaliwa Juzi ni kwamba Udambwi Udambwi alionao Clatous Chama na alikuwa nao Augustine 'Jay Jay' Okocha Marehemu Gaga 'Gagarino' alikuwa akiufanya mara Mbili yao.

Acheni mzaha Gaga alikuwa Fundi hasa.

Cc: Jumbe Brown
Kuna mjerumani alitaka kumchukua kumpeleka kwao akachezea Kila akifatwa anakimbia
 
Back
Top Bottom