johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Wasifu wa mtu siyo kujisifu bwashee!Mwenye elimu hupati shida kumuelezea,elimu yake inatafsiriwa na matendo yake ktk maisha yake ya kila siku.
Ukiona mtu anajisifu ana elimu na hajui anachokiamini hapo hamna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafsiri ya hilo neno "sayansi" inaweza ikawa ni pana kuliko ulivyolitumia hapa.Siasa ni sayansi bwashee, hata JJ Mnyika atawashangaza wengi hapo mwezi June baada ya bunge kuvunjwa!
Kumbe unapiga porojoWapi alipoomba kazi bwashee?!
Serikali ndio itamuomba akaitumikie!
Nimekwambia soon atapata uteuzi sasa porojo ziko wapi?
Uliiona CV ya Prof. Assad, licha ya uadilifu wake, nani aliyejali hata ukweli wake zaidi ya kujitafutia maadui ndani ya CCM. Hiki ni chama ambacho hakiitaji mawazo na fikra mpya, ubunifu, ugujnduzi wa mambo mapya, isipokuwa kumsifia tu Mwenyekiti Taifa, hata kama amepwelea ktk nafasi hiyo.Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
KabisaBongo ukiwa na makaratsi then unaongea English wanajua wewe una akili sana
Exposure za Kufa mtu zimejaa hapa, ujanjaujanja wote nnao, hata uje na PhD yko hapa hufui dafu.......... Najua mambo billion kdgTuwekee ya kwako ya melini bwashee!
SawaNimekwambia soon atapata uteuzi sasa porojo ziko wapi?
Uliwahi kumuona Augustino Lyatonga Mrema anaomba kazi?
Na Chadema panawafaa wajanja wajanja kama nyie ila Waseminari kama akina Dr Slaa, Dr Mashinji na baba paroko Selasini hawapawezi bwashee!Exposure za Kufa mtu zimejaa hapa, ujanjaujanja wote nnao, hata uje na PhD yko hapa hufui dafu.......... Najua mambo billion kdg
Wenzako kichwa hiki wanakikubali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa elimu aliyonayo anastahili!Mashiji anakuja hapo Lumumba kiwaongoza na kuwafundisha kazi kama ambavyo anafanya Albert Nsando.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣 ni wazi mleta mada anamuona Dr.Mashiji ni mtu anayetakiwa kuvaa viatu vya Dr.Bashiru.Unadhani anaweza kuchukua nafasi ya Dkt Bashiru?
Dr. Mashiji ni jembe linalotosha kuwa katibu mkuu wa CCM baada ya Dr.Bashiru.Anaweza kuwa katibu mkuu wa wizara!
Hapana, mtu anaweza kuwa na makaratasi mazuri sana, lakini akawa hawezi kutekeleza mambo in the real world.Mafanikio huanzia kwenye hayo makaratasi bwashee!
Labda watampa nafasi ya Bashiru hpo lumumba sasaWanababaika sanaaa.. Sijaiona popote jamaa wanayemsifia alipofanikiwa ktk ufanyaji kazi wa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashiru ni daktari wa Siasa atabaki pale alipo akiendelea kuwafunza Siasa wapinzani.Dr. Mashiji ni jembe linalotosha kuwa katibu mkuu wa CCM baada ya Dr.Bashiru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa elimu ile kazi ziko nyingi sana bwashee!