Kwa CV hii ya Dkt. Mashinji simuoni wa kumfikia pale Lumumba, jamaa kapiga shule namtabiria uteuzi wa mapema

Kwa CV hii ya Dkt. Mashinji simuoni wa kumfikia pale Lumumba, jamaa kapiga shule namtabiria uteuzi wa mapema

Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Chukua hiyo
tapatalk_1581740853000.jpeg
FB_IMG_1573890013567.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, mtu anaweza kuwa na makaratasi mazuri sana, lakini akawa hawezi kutekeleza mambo in the real world.

Sasa huyo Mashinji kwa level ya ukatibu mkuu wa chama cha siasa cha kitaifa kafanya kitu gani kipya?
Ameweza kuliokoa taifa kwa kiwango ambacho wewe huwezi kukiona bwashee!
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
PhD unalialia nja
tapatalk_1582037457335.jpeg
1572191514899.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CV ya Prof.Palamaganda nayo iko vizuri sana,kuna siku aliambiwa wewe pamoja na kwamba ni mkubwa ila wewe ni mpumbavu akainuka kwenye kiti chake na akainamia kiti cha mh. Huku akicheka cheka kwa furaha.

Baada ya hapo ndipo nilipokuja kuziaminia PH.d/CV za Lumumba.
 
Nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM ndiyo nafasi anayofit huyu Dr.Mashiji apewe chance aokoe chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mezani kwa Dr Bashiru kuna rundo la barua za viongozi wa Chadema wanaoomba kujiunga CCM wakiwemo wabunge 17, wewe unataka chama gani kiokolewe hapo?!

Huyu Bashiru ndio ameifuta Chadema kwenye ramani ya Siasa za Tanzania.
 
Unafiki wa wana CCM
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!

Kitochi Original
 
CV ya Prof.Palamaganda nayo iko vizuri sana,kuna siku aliambiwa wewe pamoja na kwamba ni mkubwa ila wewe ni mpumbavu akainuka kwenye kiti chake na akainamia kiti cha mh. Huku akicheka cheka kwa furaha.

Baada ya hapo ndipo nilipokuja kuziaminia PH.d/CV za Lumumba.
Tatizo liko wapi mbona Mbowe huwa anatulizwa na Job pale bungeni na huketi huku akichekacheka?!

Hayo ni mambo ya kawaida kwenye Siasa bwashee!
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Ishiii chadema kafanya nini vile pale..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mezani kwa Dr Bashiru kuna rundo la barua za viongozi wa Chadema wanaoomba kujiunga CCM wakiwemo wabunge 17, wewe unataka chama gani kiokolewe hapo?!

Huyu Bashiru ndio ameifuta Chadema kwenye ramani ya Siasa za Tanzania.
Ewaa, sasa hiyo meza akabidhiwe Dr.Mashiji ndiyo anawajulia vizuri hao walioleta maombi kujiunga na CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningeweza kukiona ningekuuliza?

Taja kiwango gani tujadili hapa, tuhakiki, isije kuwa unatufunga kamba tupu.
Wewe unajua Mbowe alimtoa wapi Dr Mashinji na kumpa ukatibu mkuu moja kwa moja?

Unajua kwanini ni " sasa" Mbowe amemuachilia Dr Mashinji ajiunge CCM?

Unajua ni kwanini Dr Mashinji wakati anapokelewa CCM ametumia sare za Chadema na CCM?..... Yaani aliingia na Sweta ya mtaa wa Ufipa na kutoka na Shati ya mtaa wa Lumumba?

Usiku mwema bwashee!
 
Wewe unajua Mbowe alimtoa wapi Dr Mashinji na kumpa ukatibu mkuu moja kwa moja?

Unajua kwanini ni " sasa" Mbowe amemuachilia Dr Mashinji ajiunge CCM?

Unajua ni kwanini Dr Mashinji wakati anapokelewa CCM ametumia sare za Chadema na CCM?..... Yaani aliingia na Sweta ya mtaa wa Ufipa na kutoka na Shati ya mtaa wa Lumumba?

Usiku mwema bwashee!
Hujajibu nilichokuuliza.

Mashinji kafanya kipi kipya?
 
Back
Top Bottom