johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Kwani kazi aliyoifanya hapo Chadema hujaiona.Wanababaika sanaaa.. Sijaiona popote jamaa wanayemsifia alipofanikiwa ktk ufanyaji kazi wa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwarejesha mawaziri wakuu wastaafu wawili mahali wanapostahili kuwepo unadhani ni jambo dogo bwashee?!