Kwa CV hii ya Dkt. Mashinji simuoni wa kumfikia pale Lumumba, jamaa kapiga shule namtabiria uteuzi wa mapema

Kwa CV hii ya Dkt. Mashinji simuoni wa kumfikia pale Lumumba, jamaa kapiga shule namtabiria uteuzi wa mapema

Msomi anapoingia kwenye siasa anakua ameshindwa kuitumia elimu yake kumnufaisha na kusaidia wengine akaona atumie njia mbadala kutafuta mkate wa watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM mkitaka CDM iyumbe walau kidogo its very Simple...mnunueni Mbowe!! Hawa wengine mnamaliza hela za umma bure!!
Mbowe hana madhara yuko na kijana wake Ole sabaya pale Hai, watamalizana tu!
 
Hivi mashini ni dokta wa filosofia au MD?

Medical Doctor (MD) by Profession na pia Dr (PhD). 2010 - 2016 - Chuo Kiuu huria, PhD ya Uongozi. Unaweza kuargue the authenticity ya "Chuo Kikuu Huria" but atleast aliisotea na kuipata na sio kama wale wanaotunukiwa bure bwerere au wale wanaozipata within one year kupitia online studies
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
CV kubwa halafu ni mwanasiasa!!
CV kubwa angekuwa Petrobas,WHO huko.
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Na ccm je ukilinganisha hakuna anayemfikia cv yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe hana madhara yuko na kijana wake Ole sabaya pale Hai, watamalizana tu!
CCM watatumalizia fedha za walipa kodi, taasisi huwa haifi wala kudhoofika kwa kuwanunua makada wao....hizo sera ama mikakati ni ya kijima.
 
Mbowe hana madhara yuko na kijana wake Ole sabaya pale Hai, watamalizana tu!
Huyo mwimba mapambio mfululizo..
Mzee wa Kusifu ba kuabudu...badala ya kumwimbia Mwenyezi Mungu eti unamwimbia binadamu mwenzako kisa NJAA.
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
FB_IMG_1582119479574.jpg
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
\
Hazina sawa lakini msaliti, huyu hakumbuki kama TL kamininiwa sababu yao leo wenyewe wanafata vyeo mwenzao anao ulemavu wa kudumu. Hawa watu walifaa kupigwa risasi ili waone uchungu wa kuuza mechi.
 
Back
Top Bottom