Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Komenti ya kipumbavu toka kwa mpumbavu inyoungwa mkono na wapumbavu!!Pia ni Msukuma mwenzetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komenti ya kipumbavu toka kwa mpumbavu inyoungwa mkono na wapumbavu!!Pia ni Msukuma mwenzetu.
CCM mkitaka CDM iyumbe walau kidogo its very Simple...mnunueni Mbowe!! Hawa wengine mnamaliza hela za umma bure!!Nadhani hapo Chadema aliyekuwa anaielewa " lugha" ya Dr Mashinji ni Prof Safari na Tundu Lisu pekee!
Mbowe hana madhara yuko na kijana wake Ole sabaya pale Hai, watamalizana tu!CCM mkitaka CDM iyumbe walau kidogo its very Simple...mnunueni Mbowe!! Hawa wengine mnamaliza hela za umma bure!!
Hivi mashini ni dokta wa filosofia au MD?
CV kubwa halafu ni mwanasiasa!!Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Na ccm je ukilinganisha hakuna anayemfikia cv yake.Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Uwe unasoma uzi na kuelewa bwashee!
CCM watatumalizia fedha za walipa kodi, taasisi huwa haifi wala kudhoofika kwa kuwanunua makada wao....hizo sera ama mikakati ni ya kijima.Mbowe hana madhara yuko na kijana wake Ole sabaya pale Hai, watamalizana tu!
Huyo mwimba mapambio mfululizo..Mbowe hana madhara yuko na kijana wake Ole sabaya pale Hai, watamalizana tu!
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Basi msukumeniPia ni Msukuma mwenzetu.
\Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Komenti ya kipumbavu toka kwa mpumbavu inyoungwa mkono na wapumbavu!!
😲 Kichekesho cha Karnendio maana Chadema wameumia sana.
Chadema ilikuwa haimuingizii mshahara wake benki.....Ufipa ni bure kabisa bwashee!
Kwa hiyo yeye na familia yake walikuwa ulikuwa unawalisha wewe?Chadema ilikuwa haimuingizii mshahara wake benki.....Ufipa ni bure kabisa bwashee!
Alikuwa anashindia mihogo na tembele!