Kwa CV hii ya Dkt. Mashinji simuoni wa kumfikia pale Lumumba, jamaa kapiga shule namtabiria uteuzi wa mapema

Kwa CV hii ya Dkt. Mashinji simuoni wa kumfikia pale Lumumba, jamaa kapiga shule namtabiria uteuzi wa mapema

Ukiwa msomi alafu ukaendelea kukaa na wale vilaza wa Chadema unaonekana na ww ni chizi kama wao
Kwa mtu msomi mzuri mwenye CV zake
Ukikaa pale Chadema unapotea kabisa

Simuoni kabisa yule prof baregu,,

Namuona mwanangu tu prof J
PALE KAFIKA NDIO CHAMA CHAO
Mihemko bila Hoja piga kelele upate wafuasi
Kizamaaaaani.....


Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ile report ya TWAWEZA si ilisema kuwa CCM ndiyo inayopendwa na watu wenye elimu ndogo na wazee?
 
Kwa hiyo sababu kubwa iliyompeleka huko ni dili ya kufutiwa mashitaka katika kesi inayomkabili pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Chadema, na kama ni hivyo huu ni ushahidi kuwa Mahakama inafanya kazi zake kwa maagizo toka Lumumba. Waswahili wanasema kuchamba kwingi kuondoka na mavi. Johnthepaptist unafikiri unaitetea CCM kumbe unaipaka mavi. Asante kuijuza dunia kuwa Mahakama zetu haziko huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa ni sayansi bwashee!
 
Kaungana na watu waliomfungulia kesi ya mauaji ya Aquelina.

Anayekuambia elimu ni ukombozi anakudanganya.
kweli uelewa wako ni mdogo sana, mtu ako na phd kisa anahamia chama kinaongzwa na makatili, watekaji, wauaji na waimba hela za walipa kodi. Huyu mimi naona hata hii phd yake ni kaa ya jiwe tu, haina maana yeyote, tena kaipata tz, huyu akienda vyuo vya ulaya hata shule ya msingi hawezi akaweza kufundisha, lakini ni musukuma, vizi karibuni atakuwa mkuu wa mkoa geita au mwanza, nawasilisa hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!

Tatizo kubwa ni kwamba ukishaingia kwenye siasa, CV yako unaiweka pembeni, unapigishwa kwata na ilani za vyama.
Ndiyo maana utakuta mtu ana CV nzuri sana kwenye fani fulani, na angeweza kuzalisha watu wazuri kwenye fani hiyo, lakini akishaingia kwenye siasa, anafanya vituko vya ajabu.

Kuwa na nafasi kwenye chama au nafasi za kuteuliwa na mkuu haiitaji kuwa na cv nzuri, ndiyo maana kuna watu wana Phd, Dr, nk lakini hawakuteuliwa hata kuwa wakurugenzi, wakuu wa wilaya au wakuu wa mikoa, lakini bahite anawapigisha kwata.
 
Tatizo kubwa ni kwamba ukishaingia kwenye siasa, CV yako unaiweka pembeni, unapigishwa kwata na ilani za vyama.
Ndiyo maana utakuta mtu ana CV nzuri sana kwenye fani fulani, na angeweza kuzalisha watu wazuri kwenye fani hiyo, lakini akishaingia kwenye siasa, anafanya vituko vya ajabu.

Kuwa na nafasi kwenye chama au nafasi za kuteuliwa na mkuu haiitaji kuwa na cv nzuri, ndiyo maana kuna watu wana Phd, Dr, nk lakini hawakuteuliwa hata kuwa wakurugenzi, wakuu wa wilaya au wakuu wa mikoa, lakini bahite anawapigisha kwata.
Nimekuelewa bwashee!
 
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Ninachoshangaa mimi ni kuwa mtu mwenye cv ya namna hii anawezaje kwenda ccm? Hajui kuwa kule ni lazima utoe akili yako kwanza? Masikini mwone Bashiru alivyo sasa, mwanzo alikuwa mwanazuoni wa kuaminika lakini sasa akili yote imeondoka!! Mashinji naye ngojeni atakapoanza kutumiwa, hutaamini kuwa ni msomi wa kiwango hiki.
 
Kwa bike
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.

Nimeipitia CV ya Dr. Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.

Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.

Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.

Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa vile ni mpwa wa aliyeketi cha enzi ataupata faster
 
Nimekuelewa bwashee!

Tumeuwa vipaji na hazina ambayo ingezambazwa kwa vizazi vyetu kwa kuingiza wataalamu kwenye siasa.

Hawa watu wangekuwa vyouni, mashuleni wangewafundisha na kuwagawia watu wengi sana hiyo taaluma waliyo nayo.
Kinyume chake wamekuwa watu wakuamrishwa na kupiga makofi bila kuuliza wanachopigia makofi ni nini na je ni kizuri au kibaya.
 
Back
Top Bottom