Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Status
Not open for further replies.
Mkuu Masaningala .... hili siyo jambo la katiba???
 
YES BUT NOT ALWAYS.
American Presidents who did not graduate from college


 
Wewe una shahada gani wakati hata hatima yako ya chuo huijui?
 
Ndio maana CHADEMA wana makelele mengi! Inanikumbusha ule msemo wa 'Debe tupu'

Peoplzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz! Elimu kwanza jamani.
 

Hao wa ccm unaodhani wana hizo shahada wamesaidia nini nchi hii zaidi ya kututia umaskini.
 
Mwinyi anadiploma na hana degree mbona aliweza kuwa rais wa nchi? Acha majungu! 2015 chagua CDM

Kuweza kuwa rais wa nchi ni tofauti na kuweza kuitumikia hiyo nafasi ipasavyo!
 
kwa hiyo akili ndogo (Mbowe) inaongoza akili kubwa (Prof. Safari) siyo by Pastor Msigwa

Msigwa ni mpuuzi, alikuwa akiongea vile akidhani anaisema serikali kumbe alikuwa akimpa mipasho bwana ake Mbowe!
 
Wekeni na cv ya yule waziri wa maliasili na utalii aliyetokea mwanza,,,mrefu kwenda chini
 
Emmanuel Nchimbi, alisomea wapi UPOLISI??? Uongozi una vigezo vingi wewe! Jk Kiketwe alisomea wapi URAIS? Au huijui degree yake nini ni AIBU! Ccm hoyee.

Mkuu, unataka kusema elimu+utaalamu havina umuhimu katika kuongoza?

Basi nadhani twende kule kwa vijana wetu waliopata sifuri tuwaunganishe na Mbowe huko CHADEMA ili waweze kuongoza nchi baada ya 2015!
 
Hii CV ndiyo yenyewe kwa kusimami Maliasili na Utalii kwani katika Biblia - Zaburi 24:1-2 inasomeka:

"Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake. Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha."
 

Hizi habari umetoa kichwani kwako au.wapi?
 
Ndio maana CHADEMA wana makelele mengi! Inanikumbusha ule msemo wa 'Debe tupu'

Peoplzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz! Elimu kwanza jamani.

Debe tupu.... pro chadema wajaze hapa!
 

Bila shaka wewe ni CHADEMA, mkiishiwa hoja na kushikwa pabaya mnakimbilia vifungu vya biblia!!
 
kwa cv hiyo anafaa kupewa nafasi hiyo sijaona shida yoyote
 
Haya kazi uliyotumwa umemaliza sasa kachukue hela zako pale lumumba kwa nape mwambie tumekuona ni kilaza fulani pia mpumbavu fulani hivi kweli miccm mmeishiwa........ Msingwa jembe wewe mtafanya kazi kubwa sanaa kumshusha na hashuki ng'o.... saiv CDM ni mdogo mdogo mpk magogoni.
 

Nami niulize maswali yafuatayo:

1. Kama Dr Magufuli alifanya vizuri kwenye wizara ya uvuvi, ni kwa sababu amesomea uvuvi? Sasa hivi anafanya 'vizuri' kwenye wizara ya ujenzi, ina maana amesomea mambo ya ujenzi?
2. Kama Dr Mwakyembe akifanya vizuri kwenye sekta ya usafirishaji ni kwa sababu amesomea usafirishaji?

Mimi nadhani rudi, kajipange upya ndiyo uposti tena uzi wako. Your reasoning doesn't hold water! "If the theory does not match the practice, ignore the theory."
 

Hao wabunge wenu/viongozi wenu wenye Shahada wame2fksha wap? Sumaye alikuwa wazr mkuu acye na shahada lkn uliona kaz alyoifanya? Hv huwa mnafkria kwa ku2mia nn? Agustino Mrema hakuwa na Shahada lakn aliiongoza wizara ya mambo ya ndan kwa ufanic wa hal ya juu kuliko hata hao madoctor wenu. Achen Umburura.
 
Umenena vema mkuu,hawa magamba tutawapa darasa kila siku hapa.system inayotumiwa na CCM HAITATUMIWA NA CDM KAMWE,ndio maana wametufikisha hapa tulipo wizara nyingi kuna maprofesa na madaktari feki unategemea wataleta matokeo gani???Rejea kitabu cha Msemakweli hivi si walisema wataenda mahakamani kesi inaendeleaje???teh ,teh,teh.
 

Una bahati mbaya mkuu, kila unae mgusa CCM ana doctorate, sasa hawa uliowataja wana PhD na ukisoma hiyo kitu wewe una kuwa na extra ordinary ability, hivyo ukiwekwa popote unaweza ukapata matokeo mazuri hasa kwenye maeneo ya utawala. Huyo Msigwa ni bora umfananishe na UVCCM sio hao vichwa kina Mwakyembe na Magufuli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…