Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hongera sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sikuchori ninakusikitikia tu.UNanichora tena eh nyie ndio wale wale
Pole sana mkuuUkifungua pm nakutumia
Yaani nalog off kuanzia leoPole sana kwa yanayokusibu, nafikiri ungejipa break kidogo na hizi sosho midiaz inasaidia
Ndioo aisee yamenikutakama ni hivyo basi mayele asipuuzwe
HahahahahaUkifungua pm nakutumia
Hahahahaha..kwamba wanaendana eehmke wa kisandu tumempata sasa😀😀😆🤣
GoodYaani nalog off kuanzia leo
Aisee ni raha yako mtu akipata shida ehHahahahaha
Kwani yesu ni BABA yako ?Nafuta jina langu na roho yangu kwenu na hamtonimaliza maana hamjanileta duniani ni yesu pekee .
Tayari umerogwaJAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.
Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .
nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .
Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Hapana mie hupenda tu kufurahi iwe shida au raha...nimepitia shida nyingi sana mpk nafika hapa ..acha nifurahi ..Aisee ni raha yako mtu akipata shida eh
ni same same kabsa inabdi bwana mtemi deo kisandu akipatikana tu apewe huyu mke mahari mm nitalipa kwa niaba ya wana jf😂😂Hahahahaha..kwamba wanaendana eeh