Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Hahahahaha..Mkuu sie wengine tukiandika majanga na history zetu utajiuliza nilifikaje hapa au ukahisi ni uongo..maana wengine wanaona ktk movie tu sasa sie tumeyapitia na ku experience..hapa tupo kufurahi mwanzo mwisho
Uko sahihi.
Mimi kuna time najionaga kama Mungu kanipendelea sana maana kuna history za watu nikiziangalia harakat za mapito yao unajiona kabisa wewe nenda kasomee 😂😂
 
Kuna vitu tunachukulia kawaida sana, may be sijui lakini dunia Haina Huruma na watu Hawana huruma, huyu binti naona Kuna kitu kinatafuna moyo early, lakini wapi apate msaada? Jamiiforum iliyojinasibu kuwa ni home of greater thinker Ina mkejeli na kumwita chizi............. Infinity love will end all
 
Kuna vitu tunachukulia kawaida sana, may be sijui lakini dunia Haina Huruma na watu Hawana huruma, huyu binti naona Kuna kitu kinatafuna moyo early, lakini wapi apate msaada? Jamiiforum iliyojinasibu kuwa ni home of greater thinker Ina mkejeli na kumwita chizi............. Infinity love will end all
Umewaza kama mimi mkuu,, Unique Flower umefunga PM why?
 
Umenikumbusha kipindi nikiwa mdogo, nilifundishwa nisiposali usiku, majini na wachawi watanijia.

Nilikua nateseka sana, nilikua naogopa giza, kila muda nawaza kuna jini amenijia, nilikua naona vitu vya ajabu usiku, nikisikia kelele za ajabu nje mfano paka, silali.

Nataka kusema nini? Dini Ina dhana mbaya ya kutumia hofu ili kuwashikilia watu. Inafanya tuishi kwa woga sana.

Ukiumwa nenda hospitali kwanza ukajue kiini cha tatizo hayo mengine yatafuata baadae.

Hivi kile kipindi cha safari ya mshindi radio safina bado kipo? Nimevuta picha wewe unaweza kuwa mtu unaekifuatilia sana....
Duuh umenikumbusha mbali sana mkuu, mwanzo kilifahamika kama "safari ya msafiri" badae "safari ya mshindi" kila alhamisi nilikuwa siachi kukisikiliza badae sijui ikawaje wakakiondoa kabisa
 
Back
Top Bottom