Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii inahitaji kubadili motherboard yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii inahitaji kubadili motherboard yote.
Kuna matani nauserious sihitaji utani leo🤣🤣🤣🤣 Da mau hebu wataje tuwajue
sijuiKwa nini wanakufatilia adi kutaka kukutoa kafara kipenzi?
Najikuta kila nikiona post yake naumia sana na feel the way anavyopitiaKuna vitu tunachukulia kawaida sana, may be sijui lakini dunia Haina Huruma na watu Hawana huruma, huyu binti naona Kuna kitu kinatafuna moyo early, lakini wapi apate msaada? Jamiiforum iliyojinasibu kuwa ni home of greater thinker Ina mkejeli na kumwita chizi............. Infinity love will end all
Ndio tatizo Lilo hapo, huyu dada yetu naona anapitia vipind vigumu sana but no one care. Nadhani hata yeye kakosa pakumbiliaNajikuta kila nikiona post yake naumia sana na feel the way anavyopitia
Mungu amfanyie wepesi sana
Pole sana mkuu, kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo uovu unavyozidi kuenea duniani, shetani akaachilia vitu vyake kwa kasi sana. Mimi juzi kuna ndoto niliota kuhusu ulimwengu wa roho unavyoenda, hakika unabii uloandikwa na Yohana kuhusu Chapa ya Mnyama 666, Nabii wa Uongo, Sanamu ni vya kweli kabisa.Mie simjui alicomment hapa kidogo nikaona isiwe shida nikaenda pm kuongea naye akadai picha nikaogopa kumpa humu kidogo nikamshauri namba ya wtsupp ila sijampa picha akawa haongei namimi nikaanz akuugua nilipoona hali sio nzuri nikawa naokba nakushirikisha watu wanisaidie kimaombi ndio mida ya jana akanitext kuwa nabahati angenitoa kafara niliogopa sana napia kweli nikaona namavitu yake kweli yalikuwa home naada yakufuta mawasiliano naye nikapona nikapata nafuu
😂😂😂😂 Si aliolewa huyu na Kileo??Yaani mdogo wangu anatalewa kafara na huniiti?jamani
Alisema anaitwa Mwantumu Khalid Juma Kileo au nimekosea jina😁😁?😂😂😂😂 Si aliolewa huyu na Kileo??
Eh nimeolewa na kileo ila kunguru afugiki😂😂😂😂 Si aliolewa huyu na Kileo??
Dini, hasa makanisa yanayojiita ya kilokole, yanaharibu mno maish ya watu, japo mimi naamini mno ktk wokovu, yaani mtu kuokoka.Umenikumbusha kipindi nikiwa mdogo, nilifundishwa nisiposali usiku, majini na wachawi watanijia.
Nilikua nateseka sana, nilikua naogopa giza, kila muda nawaza kuna jini amenijia, nilikua naona vitu vya ajabu usiku, nikisikia kelele za ajabu nje mfano paka, silali.
Nataka kusema nini? Dini Ina dhana mbaya ya kutumia hofu ili kuwashikilia watu. Inafanya tuishi kwa woga sana.
Ukiumwa nenda hospitali kwanza ukajue kiini cha tatizo hayo mengine yatafuata baadae.
Hivi kile kipindi cha safari ya mshindi radio safina bado kipo? Nimevuta picha wewe unaweza kuwa mtu unaekifuatilia sana....
Hapana ila mume yupo basi yupo mbali sana so huyu alikuwa rafiki tunahangAlisema anaitwa Mwantumu Khalid Juma Kileo au nimekosea jina😁😁?
😂😂😂😂 Da mau bana ananipaga burudani sanaAlisema anaitwa Mwantumu Khalid Juma Kileo au nimekosea jina😁😁?
😜 ushamzingua shem hivo da mauEh nimeolewa na kileo ila kunguru afugiki
Tulia na mume wako mdogo wangu JF Kuna mazombie,Yale anayaimbaga Mondi we zombi weeHapana ila mume yupo basi yupo mbali sana so huyu alikuwa rafiki tunahang
Kasema walikuwa wanahang tu😁😂😂😂😂 Da mau bana ananipaga burudani sana
Juzikati hapa si ulitaka muongozo wa kuslim sasa mbona Bado unaamini katika damu ya yesu?JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.
Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .
nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .
Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Nipo kwenye maongezi naye atakuwa sawa tu..Dr salama?tunamsaidiaje mdogo wetu kitaalamu?
Shetani trokaaaaaa, pepo trookaaaaaa, shindwaaaaa, ondoka kwa jina la Yesu.JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.
Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .
nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .
Hii damu na roho ni ya bwana yesu.